Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,824
- 5,812
Unadhani kwanini jamii forums wameweka option ya profile kwenye forum yao?All jokes aside. new topic...mkuu wewe Ni Ke? I mean a homo sapiens specie with a Vagina?
Unadhani kwanini jamii forums wameweka option ya profile kwenye forum yao?All jokes aside. new topic...mkuu wewe Ni Ke? I mean a homo sapiens specie with a Vagina?
Ni kweli hata Yesu anaonyeshwa kwenye filamu nyingi tu akisulibiwa na kuuliwa msalabani mbona hatujasikia watu kuipiga serikali hizo filamu zisionyeshwe." Wakristo wakionekana kuchinjwa kama kuku". Ni ishara ya ushindi kwa wakristo kuifia imani yao,ukristo sio lele mama, mitume na manabii walikufa wakitetea ukristo.
Unatafuta Basha siyoKama jirani yako wanae wanalala chumba kimoja basha, basi na ww unamgeza
Mhadithia mvua imenyea nyea kwa sana!Unatafuta Basha siyo
Tatizo unaishi kwa kukariri maisha. Maisha unayoishi wewe nyumbani kwako unafikiri kila mmoja anaishi hivyoSiamini sote tukubali tukatae bidhaa za Azam haziepukiki kuzitumia.....mfano mdogo ngano yake hutumika kupikia maandazi,chapati je nazo izo zote hutumii wakati wa asubuhi ?
Tatizo sio kuumiza jamii moja au ingine, tatizo ni somo wanalo jifunza baadhi yetuWakristo wala haituumuzi kama kweli hiyo tamthiliya ipo
Mm ndo mana nasema Waislamu wote duniani ni magaidiTatizo sio kuumiza jamii moja au ingine, tatizo ni somo wanalo jifunza baadhi yetu
Kuna sehemu nimesema ninaidhoofisha Azam? Kwani mtu akisema hatumii kitu fulani ndio anakidhoofisha? Kila mmoja na maamuzi yake, fuata yakoNi Miaka 8 Sasa Tangu Wewe na Familia Yako Mchukue Huo msimamo. Tunaomba Matokeo Kama mmefanikiwa kuidhoofisha Azam Au Njaa Ndio Imezidi Katika Familia Yako..?