Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,133
- 34,100
Hahaha, ile filamu ya Jesus of Nazareth naiangalia hata kila siku, Naipenda sanaAnzeni kuomba kufungia na ile inayomdharirisha huyo yesu wenu wakati akisulubiwa! Pili acheni upuuzi wa kujiona nyie ndo wamiliki pekee wa Tanzania
Hakudhalilishwa, ile imeakisi hali iliyotokea na yale matendo alitendewa Yesu Kristo lakini ajabu ni kwamba YU HAI LEO.
Ndio aliyetufanya tuitwe Wakristo, sisi ambao mnajitahidi kushindana nasisi lakini bado mnashindwa
Wabillah Tawfiq,