mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,092
Simba ipi ndugu au hii ya bongo yakuchonga madroo!!!!Basi atakuwa anastahili kuchezea simba. Hapo ndala anaji-waste tu.
Simba ipi ndugu au hii ya bongo yakuchonga madroo!!!!Basi atakuwa anastahili kuchezea simba. Hapo ndala anaji-waste tu.
Bado kuna Kiemba Azam na Chanongo Stand Utd...
Yondani yukoje leo?
Simba ipi ndugu au hii ya bongo yakuchonga madroo!!!!
Kiujumla yanga wanacheza vizuri kuliko azam.
Hii defence ya Yanga hovyo kabisa. Azam wakikaza buti kidogo tu basi..
come on azam fc..Dk 29 Azam 1 Yanga 1
Ni kweli Tambwe alikuwa na uwezo lakini kulingana mfumo wa mwalimu ulivyokuwa hapakuwa na namna na siku zote si kila mchezaji anayeachwa ni mbaya, ninachoweza kulaumu kuachwa ni kwa jinsi alivyoachwa, Yanga walionyesha interest naye before kwa hiyo viongozi kama walijua wanamuacha wangeweza kunegotiate na Yanga wakamuuza maana hawakuwa wanamuhitaji.Tambwe hakuwa mchezaji wa kuachwa, hasa kipindi hiki timu haifanyi vizuri.
Simba mmechemsha sana, mtamkumbuka na ana kisirani yule atafanya vizuri Yanga mpaka mjute.
Huyu mliberia mbinafsi sana, lile si lilikuwa goli kabisa.
Yanga wanapata goli ila linakataliwa.
come on azam fc..