Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
lazima mkae tu..
duhh,,,,mimi sipo huko mkuu
lazima mkae tu..
Kavumbagu jino kwa jino na YONDANI
Najua kaka una mapenzi na Yanga, simba unajilazimisha tu. Karibu tu Yanga
huu bado ana uyangayanga kiaina..
siku moja nitakaribia
1 - 1 half time
Azam kwa Yanga ni wateja. Watashambuliaaa ila mwisho wa siku watakalishwa!
Duuuuuuuuh! hawa spurs wametubania tena! 0key subiri hawa jangwan wanipe furahaFull time: MAN UTD 0-0 TOTENHAM
tupeni matokeo ya mtibwa game iliyopigwa asubuhi[/QUOTE
Stand 1 mtibwa0
walitoka sare ya 1;1 mkuu