Azam TV uwekezaji wenu Naona Hamuuthamin

abdulhamis

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
1,436
2,292
Habar wadau
Azam TV ni kampuni kubwa sasaiv Tanzania na Africa Mashariki na Mwanzo walianza vizur ila Naona mwisho sio mzur hasa kwenye swala la Bondia now days wanaanza kufeli

Before Azam na Makanpuni mengine mengi Wali jitaid kuurudisha mchezo wa Ngumi Hapa Tanzania ila matokeo na muitikio vilikua tofaut Mpaka pale Mwakinyo alipo Kuja kuupa Thaman mchezo wetu wa Ngumi na kufanya kuwa baadh ya michezo inayo pendwa Tanzania na kua Kati ya michezo yenye uwezo wa kuingiza watu elfu 2 kwa usiku mmoja

Na kama kawaida Baada tu ya Bondia Kuanza kutoa matunda wale watu wapenda mseleleko wakaanza kujitokeza pia na Bondia wale walio shindwa before wakaanza kurud na kujiita Mabingwa uku wakitaka kua wakubwa Zaid ya Mwakinyo pia na promoter kuona kazi ni nyepesi na kudhan kua Bila mwakinyo mambo yataenda kama wanavyo dhan

Matokeo yake wanalazimisha mapambano yasio na hadhi kwa kuleta mabondia wabovu ili tu Mabingwa walio watangaza wao washinde
Tumeshuudia twaha kiduku akiletewa mzee et ni Bondia pia hata Dula mbabe imekua ivyo ivyo

Azam TV embu angalien maon ya watanzania kwenye mitandao ya kijamii juu ya malipo toka na mnapo elekea. Azam TV angalien muitikio wa watanzania siku izi japo mnapiga promo kubwa Lakin watu hawaj wala hawajitokez

Ngumi ilikua imerud na kufika pazur ila naiona inaenda kufa Tena sababu ya watu kuto heshim michango ya watu
. Azam Mjitafakar sababu hata Mimi Binafs sikuiz ngum siangalii Tena

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
kwa kukusaidia tu, azamtv hairatibu mapambano ya boxing ya hapa tz yanayoonyeshwa katika king'amuzi chake.

waandaaji na waratibu ni watu wengine wanaoingia mkataba na azamtv ili mapambano yao yapate fursa ya kuonyeshwa kwenye tv.


wanaoharibu mchezo wa boxing ni hao waandaji kwa kuleta mabondia legelege(ndizi) ili iwe rahisi kupigwa na mabondia wao waliowazoea.
 
Habar wadau
Azam TV ni kampuni kubwa sasaiv Tanzania na Africa Mashariki na Mwanzo walianza vizur ila Naona mwisho sio mzur hasa kwenye swala la Bondia now days wanaanza kufeli

Before Azam na Makanpuni mengine mengi Wali jitaid kuurudisha mchezo wa Ngumi Hapa Tanzania ila matokeo na muitikio vilikua tofaut Mpaka pale Mwakinyo alipo Kuja kuupa Thaman mchezo wetu wa Ngumi na kufanya kuwa baadh ya michezo inayo pendwa Tanzania na kua Kati ya michezo yenye uwezo wa kuingiza watu elfu 2 kwa usiku mmoja

Na kama kawaida Baada tu ya Bondia Kuanza kutoa matunda wale watu wapenda mseleleko wakaanza kujitokeza pia na Bondia wale walio shindwa before wakaanza kurud na kujiita Mabingwa uku wakitaka kua wakubwa Zaid ya Mwakinyo pia na promoter kuona kazi ni nyepesi na kudhan kua Bila mwakinyo mambo yataenda kama wanavyo dhan

Matokeo yake wanalazimisha mapambano yasio na hadhi kwa kuleta mabondia wabovu ili tu Mabingwa walio watangaza wao washinde
Tumeshuudia twaha kiduku akiletewa mzee et ni Bondia pia hata Dula mbabe imekua ivyo ivyo

Azam TV embu angalien maon ya watanzania kwenye mitandao ya kijamii juu ya malipo toka na mnapo elekea. Azam TV angalien muitikio wa watanzania siku izi japo mnapiga promo kubwa Lakin watu hawaj wala hawajitokez

Ngumi ilikua imerud na kufika pazur ila naiona inaenda kufa Tena sababu ya watu kuto heshim michango ya watu
. Azam Mjitafakar sababu hata Mimi Binafs sikuiz ngum siangalii Tena

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kama yule mkenya ni komedy iliyopitiliza ngumi hajapigwa hata 1 kajitoa da hatari sana
 
Nafikiri tatizo sio Azam tv coz wao jukumu lao ni kurusha mubashara mapambano hayo ya boxing, tatizo lipo kwa promoters wa mchezo ambao wana husika na kuleta mambondia pamoja na kuandaa mapambano.
 
Chanzo kabisa ni nini? Hizi janja janja Tanzania zishazoeleka.
 
Shukrani za dhati ziwafikie AZAM TV !!

Bila nyie Azam TV sijui tungewezajee..
Heshima na taadhima na tashriffa kwa Azam TV...
 
Wala Azam Tv haihusiki kwa lolote katika hizo ngumi zaidi ya kuonesha. Kama ni hasira zielekeze kwa mapromota ambao wanaleta mabondia hovyo.
 
Lakini Azam wanarusha matangazo kama sehemu ya wadhamini.
Kwa maana hiyo Azam wakitangaza kukataa kurusha utopolo na hao wadhamini watajirekebisha.
 
Habar wadau
Azam TV ni kampuni kubwa sasaiv Tanzania na Africa Mashariki na Mwanzo walianza vizur ila Naona mwisho sio mzur hasa kwenye swala la Bondia now days wanaanza kufeli

Before Azam na Makanpuni mengine mengi Wali jitaid kuurudisha mchezo wa Ngumi Hapa Tanzania ila matokeo na muitikio vilikua tofaut Mpaka pale Mwakinyo alipo Kuja kuupa Thaman mchezo wetu wa Ngumi na kufanya kuwa baadh ya michezo inayo pendwa Tanzania na kua Kati ya michezo yenye uwezo wa kuingiza watu elfu 2 kwa usiku mmoja

Na kama kawaida Baada tu ya Bondia Kuanza kutoa matunda wale watu wapenda mseleleko wakaanza kujitokeza pia na Bondia wale walio shindwa before wakaanza kurud na kujiita Mabingwa uku wakitaka kua wakubwa Zaid ya Mwakinyo pia na promoter kuona kazi ni nyepesi na kudhan kua Bila mwakinyo mambo yataenda kama wanavyo dhan

Matokeo yake wanalazimisha mapambano yasio na hadhi kwa kuleta mabondia wabovu ili tu Mabingwa walio watangaza wao washinde
Tumeshuudia twaha kiduku akiletewa mzee et ni Bondia pia hata Dula mbabe imekua ivyo ivyo

Azam TV embu angalien maon ya watanzania kwenye mitandao ya kijamii juu ya malipo toka na mnapo elekea. Azam TV angalien muitikio wa watanzania siku izi japo mnapiga promo kubwa Lakin watu hawaj wala hawajitokez

Ngumi ilikua imerud na kufika pazur ila naiona inaenda kufa Tena sababu ya watu kuto heshim michango ya watu
. Azam Mjitafakar sababu hata Mimi Binafs sikuiz ngum siangalii Tena

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hata mwakinyo baada ya kumpiga sam anatuletea vituko vibabu vya ajentina huko
 
Hata Mwakinyo pia analetewa mabondia wachovu, unazungumziaje hilo?
 
Back
Top Bottom