Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,595
- 1,863
azamtvtz mnachotufanyia wateja wenu sio sawa, mumepandisha gharama za vifurushi mara dufu ila ubora wa picha ni ovyo kabisa sio HD kabisa , ukiangalia mpira ovyo kabisa hakuna ubora kabisa ni janja njaja. Pia kwenye mpira kuna tatizo la kamera zenu hazionyeshi matukio kila kona hasa offside.
Msitufanyie ubabe kwa sababu hamna mshindani kwenye matangazo ya mpira wa Tanzania, maisha yana badilika . Hiyo HD yenu ni uongo kabisa na muone aibu.
Msitufanyie ubabe kwa sababu hamna mshindani kwenye matangazo ya mpira wa Tanzania, maisha yana badilika . Hiyo HD yenu ni uongo kabisa na muone aibu.