Azam TV nao wametugeuka, tuende wapi?

Azam TV nao wametugeuka, tuende wapi?

Tunalalamika wakati dawa tunayo sisi wenyewe duuuu vijana, wazee tuungane tujiandikishe na kupiga kura Octobet hayo yote tunayo ya lalamikia yatakuwa ni ndoto bila kuunganisha tofauti zetu na kupiga kura Octobet it's equal to zero
 
Ndugu mteja, kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya mwezi na ongezeko la thamani ya pesa za kigeni, inatubidi tuongeze bei ya vifurushi. Hivyo basi, kuanzia tarehe 1 Julai 2015, malipo ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo: Azam Pure itakuwa 12,000, Azam Plus 20,000, Azam Play 30,000.

Ngoja nirudi tu kwa mafisadi.

Hili ongezeko la gharama ni kutokana na kuajiri walembo wapya: Fatuma Alumasi Nyangasa na Ivon Kamutu. Starehe gharama mujini. Na bado gharama zitapanda maradufu pindi wakiwasili warembo wengine hivi karibuni. By UTAWALA.
 
Hili ongezeko la gharama ni kutokana na kuajiri walembo wapya: Fatuma Alumasi Nyangasa na Ivon Kamutu. Starehe gharama mujini. Na bado gharama zitapanda maradufu pindi wakiwasili warembo wengine hivi karibuni. By UTAWALA.

kwi kwi kwi kwi ...sawa Mtawala basi waturudishie Emmanuel tv
 
Kila mahala kisingizio dola imepanda
 
Hili ongezeko la gharama ni kutokana na kuajiri walembo wapya: Fatuma Alumasi Nyangasa na Ivon Kamutu. Starehe gharama mujini. Na bado gharama zitapanda maradufu pindi wakiwasili warembo wengine hivi karibuni. By UTAWALA.

hahaha umesababisha swaumu ipungue makali
 
hivi wabongo mnashindwa kuchokonoa king'amuzi mkapata ''service free?''
Tufundishe mkuu,yaani hawa azam wangejua tulivyowaamini na kuwapa promo wangetuonea hata huruma,kabla havijaanza hata kuuzwa tulishatenga kabisa budget ya kukinunua,tukiamini/shwa kuwa ndiyo itakuwa mkombozi kumbe wapi!! Walewale tu.
 
acha urongo

Mkuu,hicho chako ni unique,changu kinakupa free chanel kwa wiki mbili tu baada ya malipo yako ya mwezi kwisha,mwanzo walibakiza chanel kama 13 za east afrika,baadaye wakaondoa za nje ya tanzania,sasa hivi nao wamekuwa kama zuku tu.
 
hivi wabongo mnashindwa kuchokonoa king'amuzi mkapata ''service free?''

nakushauri nenda zambia kanunue decodar ya muvi tv, kisha nunua na kadi ya azam huko huko zambia kisha jisajiri huko huko alafu rudi tz funga dish lako.

utaona chanel za azam zote buree bila kulipa hata dala.
 
Nimekimbia zuku nimekuja azam nao wamepandisha.sijuwi nihamie wapi sasa.
 
Mi nakomaa na startimes sitaki kusikia hizo mbwembwe za kufuata mkumbo huku unapata stress kwa pesa yako. Tangu 2013 nifunge king'amuzi yao sijawahi lipia hata sh 1 na sijawahi kosa huduma. Hapa mujini ishi kwa akili sio mkumbo.

Hicho kinachoscratch scratch!!!
 
Dawa yao hawa wajinga ni cablr tu ,wazee wa flat rate ya 10 hata iweje.
 
nakushauri nenda zambia kanunue decodar ya muvi tv, kisha nunua na kadi ya azam huko huko zambia kisha jisajiri huko huko alafu rudi tz funga dish lako.

utaona chanel za azam zote buree bila kulipa hata dala.

Ukijumlisha hiyo nauli ya kwenda na kurudi Zambia si yaleyale tu
 
DSTV bado wanabaki kuwa the best option
 
nakushauri nenda zambia kanunue decodar ya muvi tv, kisha nunua na kadi ya azam huko huko zambia kisha jisajiri huko huko alafu rudi tz funga dish lako.

utaona chanel za azam zote buree bila kulipa hata dala.

Ndugu, umenifurahisha Sana, taarifa nunu kweli kweli.
 
Back
Top Bottom