Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,246
Yale madish ya futi 8 ya FTA si bado yanapatikana..?
Mengi sana kariakoo
Yale madish ya futi 8 ya FTA si bado yanapatikana..?
Mkuu,hicho chako ni unique,changu kinakupa free chanel kwa wiki mbili tu baada ya malipo yako ya mwezi kwisha,mwanzo walibakiza chanel kama 13 za east afrika,baadaye wakaondoa za nje ya tanzania,sasa hivi nao wamekuwa kama zuku tu.
Mengi sana kariakoo
Ndugu mteja, kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya mwezi na ongezeko la thamani ya pesa za kigeni, inatubidi tuongeze bei ya vifurushi. Hivyo basi, kuanzia tarehe 1 Julai 2015, malipo ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo: Azam Pure itakuwa 12,000, Azam Plus 20,000, Azam Play 30,000.
Ngoja nirudi tu kwa mafisadi.
Ukijumlisha hiyo nauli ya kwenda na kurudi Zambia si yaleyale tu