DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,931
- 2,141
DSTV bado wanabaki kuwa the best option
best option kivip, wakati na wao wamepandisha bei?
Imeniuma juzi nimelipia 40000 na sikuona cha maana. Time hii nnafikiria kumiliki startimes Tu.
DSTV bado wanabaki kuwa the best option
We una bahati. Mimi zikipita wiki mbili local channels nazo zinasepa.
Ndugu mteja, kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya mwezi na ongezeko la thamani ya pesa za kigeni, inatubidi tuongeze bei ya vifurushi. Hivyo basi, kuanzia tarehe 1 Julai 2015, malipo ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo: Azam Pure itakuwa 12,000, Azam Plus 20,000, Azam Play 30,000.
Ngoja nirudi tu kwa mafisadi.
ZantaVipi Emanuel TV mbona wameiondoa wamebakiza za kisalmu pekee?
Ndugu mteja, kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya mwezi na ongezeko la thamani ya pesa za kigeni, inatubidi tuongeze bei ya vifurushi. Hivyo basi, kuanzia tarehe 1 Julai 2015, malipo ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo: Azam Pure itakuwa 12,000, Azam Plus 20,000, Azam Play 30,000.
Ngoja nirudi tu kwa mafisadi.
mkuu huyo jamaa anatetea asichokijua,azam tv kifurushi kikiisha local chanel baada ya wiki mbili wanaziondoa mpaka ulipie
Hicho kinachoscratch scratch!!!
Nina king'amuzi cha Azam, local channels na FTA, habari kwishney, acha waongeze! mi mpeto na FTA.
Taratibu tu tutaelewa ubepari unavyofanya kazi.
Halafu hawa Azam Tv hawana station vya bure...Yaani zile Tv kama TBC,Star TV,Channel 10,ITV and the like huwezi zipata kwa bure
Kitu kimoja hamkijui kuhusu kampuni za Azam ni kuwa mara zote wanapoanzisha huduma au bidhaa mpya, hutumia strategy ya price penetration ili kuvutia wateja na kuwatoa katika ushindani rivals wao. Mbinu hii Bakhressa ndio anayoitumia muda mrefu sasa. Anaanzisha bidhaa anashusha bei deliberately ili kuua competition . Then akishakua na uhakika wa soko anapandisha bei dramatically and leave customer with no choice since competitors wake wanakua hoi.