Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Naandika kwa masikitiko makubwa sana baada ya kugundua kwamba miezi miwili sasa imepita bila kuwa na mwendekezo mzuri wa kuonyesha mechi za ligi kuu ya nbc,ndani ya mwezi unaangalia game mbili au tatu halafu unatakiwa kulipia tena.
Kwa mfano weekend hii iliyoisha kulikua na shida gani mpaka kusiwe na mechi za ligi? Hakuna timu iliyokuwa na mashindano ya kimataifa, weekend imeisha.
Napata mashaka ratiba inapangwa kimkakati ili kuwanufaisha hawa Azam.
Kwa mfano weekend hii iliyoisha kulikua na shida gani mpaka kusiwe na mechi za ligi? Hakuna timu iliyokuwa na mashindano ya kimataifa, weekend imeisha.
Napata mashaka ratiba inapangwa kimkakati ili kuwanufaisha hawa Azam.