Wanaanzaga hivyo hivyo alafu badae wanageuka kama kinyonga.
Kusema haki na kusema kweli Mzee SSB wa Azam ni aliye Barikiwa kil kitengo kinazalisha na kustawisha kazi na shughuli za kijzmii..hadi uchumi una nova na kukiwa ...
Wananzaga hivyo hivyo ila wape muda utajionea tu.
Kama si uswalihina wa Bakhresa hawa jamaa wangeshaanzisha kiwanda cha bia saa hizi tungekuwa tunalewa Azzam lager kwa jerojero tu.Azam nae bado kuunda magari yake yenye lebo yake tu
Ni jambo zuri kwa azam kutokuuza vitu vya haramu..Kama si uswalihina wa Bakhresa hawa jamaa wangeshaanzisha kiwanda cha bia saa hizi tungekuwa tunalewa Azzam lager kwa jerojero tu.
Sema tenaKalete kutoka twitter basi