Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 13,570
- 38,281
Klabu ya Simba Sc leo, Septemba 16, 2026, inatarajiwa kushuka dimbani kukabiliana na Azam Fc katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Premier League msimu wa 2026/27.
Simba inaingia katika mchezo huo ikiwa na rekodi nzuri baada ya kushinda michezo yake yote mitano iliyopita ya ligi na kukusanya pointi 15, na kumfulumusha mpinzani wake katika ligi ya mabingwa magoli 6 na kuweka rekodi ya dunia.
Tegemeo la simba lipo kwa mshambuliaji hatari machachari
Mfungaji bora wa NBC DOUMBIA
Simba inaingia katika mchezo huo ikiwa na rekodi nzuri baada ya kushinda michezo yake yote mitano iliyopita ya ligi na kukusanya pointi 15, na kumfulumusha mpinzani wake katika ligi ya mabingwa magoli 6 na kuweka rekodi ya dunia.
Tegemeo la simba lipo kwa mshambuliaji hatari machachari
Mfungaji bora wa NBC DOUMBIA
NB:SIMBA AKIFUNGWA NIPIGWE BAN LA MWAKA