Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
sa ivi mwalimu wa hesabu akirudi home toka kazini unajiskiaje???? (Ni swali tu)mi nilikuwa nikimwona mwalimu wa hebabu walahi naanza kuumwa !sijui kwanini!
ehehheheh halafu nimekuja kuolewa na mwalimu wa hesabu sasa!what an irony!mwe!