Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 6,995
He...!!!! Ina maana unataka kumkagua..??
anataka nimkague
He...!!!! Ina maana unataka kumkagua..??
Lol ningeijua hii zamani mbona darasani wangenikoma . Nilipokua darasa la tatu ilinisumbuaje table ya tisa kuiweka kichwani.Asante sana kwa ugunduzi huu nitawafundisha wanangu.
we acha tu watoto wa leo wana raha sana maana wana njia nyingi za kurahisisha maisha . Kipindi chetu hata haya mambo ya computer ilikua bado ndoto. Nakumbuka hata tv hazikuwepo. Yaani njia hii ni nyepesi sana hutumii msuli eti . Nilikua namchukia sana mwlm wa hisabati hasa akiingia asubui na chemsha bongo yake nakumbuka alikua akifika tu mlangoni anaanza haya tebo ya pili hadi 12 anza kuimba sasa mimi namumunya maneno ikifika tebo ya 9 si akanigundua alinitesaje.tebo ya tisa ilikwa mwisho wa reli bana!
nimekla sana ubapa wa rula kweny vidole (nilikuwa namchukia kakangu mkubwa(R.I.P cuth) kwa haya makitu ya kunizalimisha(nilikuwa nasema hivo hivo) kushika tebo!
angenifundisha kwa njia hii mbn angekuwa bonge la best yangu!
mi nilikuwa nikimwona mwalimu wa hebabu walahi naanza kuumwa !sijui kwanini!we acha tu watoto wa leo wana raha sana maana wana njia nyingi za kurahisisha maisha . Kipindi chetu hata haya mambo ya computer ilikua bado ndoto. Nakumbuka hata tv hazikuwepo. Yaani njia hii ni nyepesi sana hutumii msuli eti . Nilikua namchukia sana mwlm wa hisabati hasa akiingia asubui na chemsha bongo yake nakumbuka alikua akifika tu mlangoni anaanza haya tebo ya pili hadi 12 anza kuimba sasa mimi namumunya maneno ikifika tebo ya 9 si akanigundua alinitesaje.
anataka nimkague
Haya mama Tabibu kazi kwako mtendee haki mgonjwa huyo...
Mimi ndio King Mswati wa JF, wengine fotocopy mkuu.
Mimi ndio King Mswati wa JF, wengine fotocopy mkuu.
hahahahahahaaa!!!!!!!! Ndio maana nikakukimbia lol!!!
hahahahahahaaa!!!!!!!! Ndio maana nikakukimbia lol!!!
Mbona alishatupiga mkwara kuwa ana mpango wa muda mrefu na wewe...
Aaafu wewe!!!!!!?
Mbona alishatupiga mkwara kuwa ana mpango wa muda mrefu na wewe...