ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Nadhani wataalamu wetu waliosomea fani ya maji na walioajiriwa katika mamlaka ya maji wanapitia wakati mgumu Sana na nadhani wanajuta kwanini walisomea taaluma hizo hasa wahandisi.
Muda uliopita nimeona Aweso ameamrisha watumishi wa maji sengerema 6 wakamatwe na wakawekwe ndani kwasababu wananchi wamekosa maji na wanaopata shida, juzi MH Rais amesema anafanya mabadiliko makubwa kwa mainjinia wa maji. Tatizo hatujiulizi kwanini wahandisi karibu wote waonekane kushindwa kazi, yaani wote hao no wazembe, Rais labda amepewa taarifa za uchonganishi kuwa wahandisi ndo tatizo na japokuwa sifahamu Wala sijui hao watu wa maji na mainjinia wao wanafanyaje kazi lakini naamini Kuna tatizo zaidi ya watu au watendaji ambao kila siku wanalaumiwa.
Lazma tatizo na chanzo Cha matatizo ya maji kijulikane kiini ni Nini , hii biashara ya kuwalaumu watendaje Aweso atafeli kabisa, na ameshafeli, alipaswa aunde timu ijue na ichunguze Nini kiini Cha matatizo haya. Hata Kama utapata mainjinia wazuri kutoka mmarekani watafeli Kama watatumia namna inavyokwenda.
Acheni kuwaonea watendaji wa maji, mnawabully mno, haiwezekani wote waonekane hawafai, Mambo yataendelea kuwa mabaya tu,
Muda uliopita nimeona Aweso ameamrisha watumishi wa maji sengerema 6 wakamatwe na wakawekwe ndani kwasababu wananchi wamekosa maji na wanaopata shida, juzi MH Rais amesema anafanya mabadiliko makubwa kwa mainjinia wa maji. Tatizo hatujiulizi kwanini wahandisi karibu wote waonekane kushindwa kazi, yaani wote hao no wazembe, Rais labda amepewa taarifa za uchonganishi kuwa wahandisi ndo tatizo na japokuwa sifahamu Wala sijui hao watu wa maji na mainjinia wao wanafanyaje kazi lakini naamini Kuna tatizo zaidi ya watu au watendaji ambao kila siku wanalaumiwa.
Lazma tatizo na chanzo Cha matatizo ya maji kijulikane kiini ni Nini , hii biashara ya kuwalaumu watendaje Aweso atafeli kabisa, na ameshafeli, alipaswa aunde timu ijue na ichunguze Nini kiini Cha matatizo haya. Hata Kama utapata mainjinia wazuri kutoka mmarekani watafeli Kama watatumia namna inavyokwenda.
Acheni kuwaonea watendaji wa maji, mnawabully mno, haiwezekani wote waonekane hawafai, Mambo yataendelea kuwa mabaya tu,