Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,526
Nilidhan ile ya kutoa copy then unapeleka kwa wakili kugonga muhuri ndo unaiscan na kutumaVyeti vya kawaida una scan kuanzia form four, certificate na diploma
Nilidhan ile ya kutoa copy then unapeleka kwa wakili kugonga muhuri ndo unaiscan na kutumaVyeti vya kawaida una scan kuanzia form four, certificate na diploma
Nipo hapa NACTE tangu saa 4 asubuhi, kinachosikitisha ni kuwa wanafanya kazi taratibu sana. Imagine mtu mmoja anahudumiwa karibia ndani ya nusu saa.
Sijui kwa nini mfumo wao ni hovyo kiasi hiki.
Nilifanikiwa ila ilikuwa too late sana, sasa nasubiri second round ya application maana ya kwanza ya chuo nilichotaka imefungwa janaPole ndugu, Vp ndugu ulifanikiwa!
Shida ni mfumo wao mkuu. Ukiwaeleza wanakutatulia hapo hapo ila sijui kwa nini wanashindwa kutengeneza mfumo ili uwe automatic.Ukitoka njoo hapa utupe ulicho toka nacho huko,ili tupate mwanga...!
Hongera sana kama umepata AVN yako.Jiandae na dirisha la pili la maombi ya chuoShida ni mfumo wao mkuu. Ukiwaeleza wanakutatulia hapo hapo ila sijui kwa nini wanashindwa kutengeneza mfumo ili uwe automatic.
Poor IT wa Kibongo!
Mimi niliichukua bureeee mwaka 2017 chap kwa fasterNdio sh 10,000 labda wabadili mwaka huu Ila miaka iko hvyo
Hv nyie mbona mnatudanganya, Mara bure Mara elfu 20 Mara elfu 10..Mimi niliichukua bureeee mwaka 2017 chap kwa faster
Nadhani watakuwa na utaratibu wao ambao hauwalazimu kuwa na kizungumkuti cha avn za Nacte...!Kuna kila sababu ya hiki chama cha zamani,kizee kuondoka mamlakani...!Siyo kwa tabu hizi tunazozipata katika ardhi ya nchi yetu...!Naomba tu niishie hapa,maana nahisi kutapika nyongo...!Hivi kama mtu kasoma foundation , je inawezekana kupata AVN number from that foundation certificate ?
AVN ililipiwa 10000 hata kydhibitisha vyeti vya kuzaliwa Mimi naona huo ni wizi wa mchana serikali Ina taarifa zote kwanini itese watu walipie vyeti ambavo walishavilipi?Hv nyie mbona mnatudanganya, Mara bure Mara elfu 20 Mara elfu 10..
Kuweni wakweli basi
Elfu kumiAvn ni elfu 20 bab
Mimi nimelipia elfu kumi mwezi huu labda ka wamepandisha sasa hiviSio elfu kumi mwaka jn ilkuwa elf kumi mwak huu wanalipa elf 20
Hii inadhihirisha hakuna vya bure...!Bora hata hiyo huduma yenyewe ingekuwa inalingana na gharama ya pesa wanayo itoza...!Sio elfu kumi mwaka jn ilkuwa elf kumi mwak huu wanalipa elf 20
Uliiomba avn kwa njia hipi...!Kwa mtandao au physically ofisini(Nacte)Mimi nimelipia elfu kumi mwezi huu labda ka wamepandisha sasa hivi
Niliomba kwa online ikawa inagoma siunajua hizi website za serikali haziko vizuri ikabidi tuende Nacte wao waka update then tukarudi nyumbani tukamakizia nyumbani na kutumiwa control number na kulipia then tukapata AVNUliiomba avn kwa njia hipi...!Kwa mtandao au physically ofisini(Nacte)
Mimi mbona ni buku ten jamani this month baada ya kutoka NACTEAVN ni elfu 20..last yr ndo ilkuwa elf kumi..coz na mm nilimalza mwaka jn..wa mwaka huu walilipa elf 20
Tulijaza wenyewe kila kitu Nacte wakaenda tu ku update labda Hawa wasasa mda ulioongezwa ndio kubwa, but I wonder kwanini kusiwe na database moja iwepo vyuo vyote kuliko kusumbua watuUkienda nacte ni elfu kumi but ukifanya online umaambiwa ulipie elf 20
Kama matokeo yako yote yako submitted, kazi iliyobaki ni kuwa confirmed then verified na upatiwe AVN.Hakikisha semester zote zinasomeka Nacte.kama yapo yote,wakichelewa ku confirm basi fika ofisi za Nacte ili upate avn kwa uharaka zaidi.Heshima yenu wana JF, Naomba kuuliza..Ivi kwenye website ya nacte pale kwny page ya student verification ikiandika kuwa
semister 1- Confirmed
semister 2- Submitted
Ina maana kuwa matokeo yangu ya semister 2 wameyapokea ila bado yapo kwenye process au, sababu nahitaji kufatilia AVN mapema niapply second round ya vyuo vikuu, Majibu yenu tafadhali, nashukuru..,
Kama matokeo yako yote yako submitted, kazi iliyobaki ni kuwa confirmed then verified na upatiwe AVN.Hakikisha semester zote zinasomeka Nacte.kama yapo yote,wakichelewa ku confirm basi fika ofisi za Nacte ili upate avn kwa uharaka zaidi.