Arch.katunzi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 250
- 143
Habari zenu waungwana!
Leo 15/09/2020, katika kalenda ya NACTE ya 2020 ilikuwa kuanza kwa zoezi la vyuo kuweka matokeo kwenye mfumo wa data wa NACTE (Uploading Diploma Results to NACTE Database).
Nilijaribu kufatilia kama zoezi limefanyika bila mafanikio. Niliwasiliana na chuo ambako nimesoma, wao wanasema hawana taarifa hiyo.
Sasa kwa yeyote mwenye updates ya suala hili naomba atujuze, ili kujua kinacho endelea. Nimeingia katika website ya NACTE mara kadhaa kuona kama kuna taharifa yoyote, lakini wapo kimya hao jamaa.
Nilijaribu kuwatafuta kupitia zile namba zao zilizo kwenye admission page yao bila mafanikio yoyote.
Kama kuna yeyote mwenye mawasiliano ya NACTE ya moja kwa moja basi aweke hapa ili kuwasiliana nao juu ya jambo hili...!
Kupata AVN limekuwa suala gumu sana kwa upande wangu nisijue kwa wenzangu. Vyuo tunako soma wanatuangusha sana, hawatimizi wajibu wao. Unasoma unamaliza unaanza kuhangaika nao ili wapeleke taharifa zako NACTE, hii siyo sawa sawa.
Wale ambao bado wako vyuoni,hasa vyuo hivi vya elimu ya kati hakikisheni mnafuatilia kama vyuo mnako soma wanapeleka matokeo yenu nacte na yanasomeka katika system.Yasije kuwakuta haya tunayopitia sisi kwa sasa.
Leo 15/09/2020, katika kalenda ya NACTE ya 2020 ilikuwa kuanza kwa zoezi la vyuo kuweka matokeo kwenye mfumo wa data wa NACTE (Uploading Diploma Results to NACTE Database).
Nilijaribu kufatilia kama zoezi limefanyika bila mafanikio. Niliwasiliana na chuo ambako nimesoma, wao wanasema hawana taarifa hiyo.
Sasa kwa yeyote mwenye updates ya suala hili naomba atujuze, ili kujua kinacho endelea. Nimeingia katika website ya NACTE mara kadhaa kuona kama kuna taharifa yoyote, lakini wapo kimya hao jamaa.
Nilijaribu kuwatafuta kupitia zile namba zao zilizo kwenye admission page yao bila mafanikio yoyote.
Kama kuna yeyote mwenye mawasiliano ya NACTE ya moja kwa moja basi aweke hapa ili kuwasiliana nao juu ya jambo hili...!
Kupata AVN limekuwa suala gumu sana kwa upande wangu nisijue kwa wenzangu. Vyuo tunako soma wanatuangusha sana, hawatimizi wajibu wao. Unasoma unamaliza unaanza kuhangaika nao ili wapeleke taharifa zako NACTE, hii siyo sawa sawa.
Wale ambao bado wako vyuoni,hasa vyuo hivi vya elimu ya kati hakikisheni mnafuatilia kama vyuo mnako soma wanapeleka matokeo yenu nacte na yanasomeka katika system.Yasije kuwakuta haya tunayopitia sisi kwa sasa.