Awamu ya Tano iliua UDART, hili tuliseme wazi si kumung'unya maneno

Mwekezaji alikuwa sio mtu wa kuaminika, ana makado-kando mengi sana tokea alivyokuwa Mwanza. Hata kupata huo miradi aliupata kimagumashi maana hajawahi kuendesha miradi kama huo popote pale duniani. Kwa tatizo lilikuwa kwenye upangaji wa nauli ambapo yeye alitaka iwe juu zaidi, serikali ilimkatalia kupandisha nauli. Akaona apunguze mabasi kwa kusingizia mabovu ili asitumie gharama kubwa kwenye uendeshaji na yeye apate mgao unaomtosha, kitu ambacho ni kinyume na dhana ya miradi huo. Matokeo yake, uhaba wa mabasi uliongezeka, abiria kujazana kwenye mabasi na mwisho watu kuyasusa kurudi kutumia magari yao.

Lakini tokea 2015, awamu ya tano imejaribu kutafuta wawekezaji wanaoelewa maswala ya usafirishaji mijini, lakini kila mwekezaji anayekuja anakutana na Madudu ya uzembe, anakimbia. Ili kupata mwekezaji mwenye nia, lazima serikali wasafishe wahuni wote waliokuwa kwenye miradi huo na kurudisha shirika kwenye hadhi ya kubinafshwa.
Hayo unayotoa ni mawazo tegemezi ya mtu anayeshindwa kufikiri nje ya box.
Ati mtu hajawahi kuendesha mradi kama huo duniani!
My foot!
Nyie bongolala mmejiaminisha kuwa hamuwezi kitu mpaka mzungu awatie boost.

Mtaamka lini?
Mtimanyongo wenu unaua ari ya uwekezaji wa Watanzania.
Mfanyabiashara akiwekeza kigezo lazima kiwe faida na gharama za uendeshaji.
Walioajiriwa huwa hawajui hii fact.
 
Hayo unayotoa ni mawazo tegemezi ya mtu anayeshindwa kufikiri nje ya box.
Ati mtu hajawahi kuendesha mradi kama huo duniani!
My foot!
Nyie bongolala mmejiaminisha kuwa hamuwezi kitu mpaka mzungu awatie boost.

Mtaamka lini?
Mtimanyongo wenu unaua ari ya uwekezaji wa Watanzania.
Mfanyabiashara akiwekeza kigezo lazima kiwe faida na gharama za uendeshaji.
Walioajiriwa huwa hawajui hii fact.

Haha, uzi wako ulikuwa sio wa kuongelea matatizo ya mwendo kasi ila ni kunyoosha vidole utawala wa awamu ya tano.

Kama mwekezaji alikuwa anajuwa kigezo chake ni faida, kwanini alitaka kwenda kinyume na mkataba kwa kupandisha nauli wakati hakuna viashiria vyovyote vilivyo support upandishaji wa nauli? Bei ya mafuta ilikuwa ile ile, thamani ya shilingi haikubadilika sana, mfumuko wa bei ulikuwa unazidi kushuka, maishahara haikupanda. Kama sio ulafi na ubinafsi ni nini?
 
DJ Weka ngoma sie tucheze bhana! Tuko vizuri ! HAPA KAZI TU
images (14).jpeg
 
Haha, uzi wako ulikuwa sio wa kuongelea matatizo ya mwendo kasi ila ni kunyoosha vidole utawala wa awamu ya tano.

Kama mwekezaji alikuwa anajuwa kigezo chake ni faida, kwanini alitaka kwenda kinyume na mkataba kwa kupandisha nauli wakati hakuna viashiria vyovyote vilivyo support upandishaji wa nauli? Bei ya mafuta ilikuwa ile ile, thamani ya shilingi haikubadilika sana, mfumuko wa bei ulikuwa unazidi kushuka, maishahara haikupanda. Kama sio ulafi na ubinafsi ni nini?
Sasa lipo Bora? aliyekua anapandisha nauli kwa shiling Mia ili kampuni iendelee na kuua kamupini isiwepo.
 
Rais hawezi kusimamia kila kitu, mpaka pen maofisi au sindano mahospitali. Mh. Spika juzi kasema, vijana wa kitanzania bila kuiba hawana raha moyoni, mradi huu, unafilisiwa na watu walioaminiwa na wala sio tax holiday au uwekezaji.

Kumbuka bado kuna mabasi 100 yanazurula mitaani, lakini mapato yake yanaishia mifukoni kwa wale wanaojiita watoto wa mjini.
Rais ni Taasisi kubwa sana ina kila kitu inauwezo mkubwa sana, lawama lazima ibebe lawama kwa parfomance poor ya mradi wa UDART
 
Rais hawezi kusimamia kila kitu, mpaka pen maofisi au sindano mahospitali. Mh. Spika juzi kasema, vijana wa kitanzania bila kuiba hawana raha moyoni, mradi huu, unafilisiwa na watu walioaminiwa na wala sio tax holiday au uwekezaji.

Kumbuka bado kuna mabasi 100 yanazurula mitaani, lakini mapato yake yanaishia mifukoni kwa wale wanaojiita watoto wa mjini.
Umewahi kujiuliza kwanini Maxmalipo alipigwa Chini?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Rais ni Taasisi kubwa sana ila kila kitu inauwezo mkubwa sana, lawama lazima ibebe lawama kwa parfomance poor ya mradi wa UDART
Lakini si ni kampuni binafsi ndio ilikuwa na mamlaka ya kuendesha UDART kulingana na makubaliano ya mkataba? Sasa taasisi ya rais itaingiliaje uendeshaji bila ya kuwa na sababu za msingi? Serikali inatakiwa kuingilia pale tu inapoonekana kampuni inaendeshwa shughuli zake kinyume na makubaliano.
 
Uache siasa za changa la macho, Serikali ya JPM ndiyo imeua utendaji wa UDART.

Barabara za UDART kweli ni mali ya serikali lakini mradi wa mabasi mwendo kasi ulikuwa toka mwanzo ni mradi binafsi (private investment) uliowekezwa na mtanzania, Nd Kisenha.

Serikali ilifanya kila njia kumnyima pumzi mwekezaji huyu wa UDART. Alipoagiza mabasi alinyimwa katakata kuyatoa bandarini mpaka hela yote ipatikane kulipa kodi.

Huku ni kukosa ushirikiano kwa muwekezaji, ambapo wale wa kigeni hupewa Tax Holiday au Mkataba maalum kwa malipo ya kodi kubwa.

Hii ingewezesha huduma iendelee, biashara iendelee na kodi ilipwe. Hili ni kosa, maana serikali haikuwa na msaada wowote kwa muwekezaji.

Pili, tunasikia tetesi kuwa sasa UDART ni mali ya Serikali maana baada ya Nd Kusenha kufunguliwa madai ya Uhujumu uchumi, kwawaida ya modus operadi ya Awamu ya 5kwa wafanyabiashara, serikali imejimilikisha uendeshaji.

Serikali zote toka Awamu ya kwanza hadi nafikiri Mwinyi (miaka zaidi ya33) mfupa wa DMT (Dra es Salaam Motor Transport) na UDA (Usafiri Dar es Salaam), ziliwashinda.

Sasa sijui Awamu ya 5 ndio wangeweza Kuendesha UDART?

Mbaya zaidi serikali inaua moyo wa wazalendo kuingia miradi mikubwa kiuwekezaji, kinyume cha wanachoongea majukwaani. Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa kwa UDART kweli sioni mantiki yake zaidi ya kusema Serikali imachukua na kuanza mradi huu on a false start.

Sana sana ni kujikosha kwa wananchi kwa failures za serikali yenyewe, kusaidia wazalendo kuwekeza nchini mwao.
You must be crazy and misinformed! Usijiandikie tu! Haya ndo yanayochotwa na wabunge na baadhi ya wana JF wasiokuwa na uelewa na kuwapotosha.
Hapakuwa na mwekezaji mwenye mtaji bali mtu tapeli na mwizi. Serikali ilidai hisa zake na zile za jiji. Iliidai UDA yake iliyochotwa kitapeli, sasa ulitaka aachiwe wizi wa wazi? Andikeni kama wenye uelewa na siyo mashabiki wa watu washenzi tu!
 
Acha kupotosha wewe,

Ukweli ni kwamba huyo marehemu ndiye alikuwa anapiga. Ubabe wake ulikuwa ni zuga tu na uhuni wake. Marehemu amepiga hela ndefu Sana mfano alitumia 1.2 trillion kununua ndege by cash ambapo alilipwa 10% ya hiyo hela ,unafikiri ni sh ngapi?

Yeye alikuwa ni mwizi Namba 1 wa nchi hii.

Usijifanye hujui wakati unajua acha kudemka.
weka ushahidi hapa
 
Uache siasa za changa la macho, Serikali ya JPM ndiyo imeua utendaji wa UDART.

Barabara za UDART kweli ni mali ya serikali lakini mradi wa mabasi mwendo kasi ulikuwa toka mwanzo ni mradi binafsi (private investment) uliowekezwa na mtanzania, Nd Kisenha.

Serikali ilifanya kila njia kumnyima pumzi mwekezaji huyu wa UDART. Alipoagiza mabasi alinyimwa katakata kuyatoa bandarini mpaka hela yote ipatikane kulipa kodi.

Huku ni kukosa ushirikiano kwa muwekezaji, ambapo wale wa kigeni hupewa Tax Holiday au Mkataba maalum kwa malipo ya kodi kubwa.

Hii ingewezesha huduma iendelee, biashara iendelee na kodi ilipwe. Hili ni kosa, maana serikali haikuwa na msaada wowote kwa muwekezaji.

Pili, tunasikia tetesi kuwa sasa UDART ni mali ya Serikali maana baada ya Nd Kusenha kufunguliwa madai ya Uhujumu uchumi, kwawaida ya modus operadi ya Awamu ya 5kwa wafanyabiashara, serikali imejimilikisha uendeshaji.

Serikali zote toka Awamu ya kwanza hadi nafikiri Mwinyi (miaka zaidi ya33) mfupa wa DMT (Dra es Salaam Motor Transport) na UDA (Usafiri Dar es Salaam), ziliwashinda.

Sasa sijui Awamu ya 5 ndio wangeweza Kuendesha UDART?

Mbaya zaidi serikali inaua moyo wa wazalendo kuingia miradi mikubwa kiuwekezaji, kinyume cha wanachoongea majukwaani. Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa kwa UDART kweli sioni mantiki yake zaidi ya kusema Serikali imachukua na kuanza mradi huu on a false start.

Sana sana ni kujikosha kwa wananchi kwa failures za serikali yenyewe, kusaidia wazalendo kuwekeza nchini mwao.
Story kama hizi naomba tafadhali msimulie nyanya yako ndiyo atakusikiliza na kukubali lakini sio sisi.
 
Udart sasa nao wapo kwenye kutumikia karma ya maxcom na karma ya kudhulumu wafanyakazi stahiki zao ikiwemo mafao.

Ukweli hawa watendaji wasio na ujuzi na mambo ya magari ni tatizo sana kwa taasisi nyingi + ukabila uliokuwa umetamalaki kwenye huo mradi ni lazima haya yajitokeze, management iliyoshindwa kuendesha daladala zilizopewa njia bila mshindani kule mnazi mmoja kivukoni na baadae kwenye huu mradi kamwe hawakustahili kupewa hiyo nafasi, maana waliwaletea figisu maxcom wanawaibia pesa wakatolewa wakaanza kukusanya wao Pesa majumbani kwa watu na mifukoni, TTCL Sijui kitu gani kiliwashinda kirejesha mfumo kama ule wa awali wa maxcom, haiingii akilini Mashine za Ku swap kadi na ticket zipo na zimeagizwa kwa Pesa nyingi, cha kuzisimamisha kwa miaka mitatu ni hujuma kubwa sana hii.


Ukirudi kwa wafanyakazi waliomaliza mikataba wengi wao mafao yao na hata michango yao ya kila mwezi haikupelekwa hii pia ni uzembe au kuna watu walikuwa wananufaika na ucheleweshwaji wa kupelekwa kwa michango kwenye mifuko husika.

Miaka mitano sasa ni aibu mradi ule wa mabilioni kushindwa kujiendesha kwa faida na inasikitisha wao mishahara haikosekani ila faida na malipo kwa wastaafu hakuna.

Nitarudi baadae mjukuu wangu analilia simu.
 
Hayo unayotoa ni mawazo tegemezi ya mtu anayeshindwa kufikiri nje ya box.
Ati mtu hajawahi kuendesha mradi kama huo duniani!
My foot!
Nyie bongolala mmejiaminisha kuwa hamuwezi kitu mpaka mzungu awatie boost.

Mtaamka lini?
Mtimanyongo wenu unaua ari ya uwekezaji wa Watanzania.
Mfanyabiashara akiwekeza kigezo lazima kiwe faida na gharama za uendeshaji.
Walioajiriwa huwa hawajui hii fact.
Mwajiriwa kila Hela inayooingia Ofisini anajua faida

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom