Ningependa tu kufahamu kama kuna mwenye kuelewa, ni Rais yupi alianzisha huu mtindo wa kumlipa Mbunge kwa kuja kwenye kikao cha Bunge laki 3/siku sijui wanapata.
Sitingi Awalawansi ilikuwa kifumba mdomo Kwa bunge lililofanya kazi halisi ya kibunge ya kusimamia, kukosoa na kushauri serikali japokuwa hakikufanikiwa kuwafumba mdomo Hadi Spika akatakiwa kubadili jinsia kama alitaka kuendelea kuwa Spika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.