The Great Engineer
Member
- Aug 8, 2016
- 39
- 44
- Thread starter
- #21
hiyo ni kawaida mkuu na kuhusu kuiba labda ningeonesha circuit diagram na code ya hiyo system labda ndo wangeiba lakini hizo picha ni system iliyokamilika mkuu so hakuna tatizo.Kuna wengine ni wiziwa idea za watu.
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app