grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Gender balance at work, hapo bado kujipandikiza kisiki ili wafanane nacc.
Gender balance at work, hapo bado kujipandikiza kisiki ili wafanane nacc.
After all it seems to be ladies for sure. Kweli siku hizi K haina thamani.
Nitoke vipi at work, wenye kuiga fasheni kwazi kwao.
jamani wakuu! thread imesema RAHA YA KUPENDA, sasa sio kila kupenda no demu tu, hata baba,mama,rafiki n.k bia,bangi nk waweza zipenda! mana naona watu wote wamekimbilia kwenye bmambo yetu tu! huyu anaweza kuwa bibi na mjukuu! au majirani, na hii raha ya kupenda, inaweza ikawa jamaa anapenda kupika!
watu wanajua kupenda ni kwa ajili ya yale mambo yetu tu.