Aunty Ezekiel ampiga dongo Lema

Duh hii ID ya Tuntemekesanga imefufuka, si ndio hii ilikuwa inatumiwa na vijana wa Zito kuvuruga CDM, akina J.Shonza, Mwambamba nk
 
Mambo ya facebook utapelekaje bungeni? Angalia sasa mbunge mzima anashushuliwa ktk vyombo vya habari na bongo movies!! Shame...

Nasikia Chadema wakichukua nchi Lema atakuwa Waziri Elimu..teh teh
 
Mbona alitajwa wakati anahojiwa Leo tena

Siku nyingine ukile mada hapa usishabikie upande wwt, wacha watu waijadili kwa uhuru...lasivyo kama una ushabiki binafsi usiilete???

Sawa dogo?
 

ndio nini sasa ??
 
Nikisoma post za wengi humu nabakia kushangaa. Je si kweli Waziri alienda na huyo kimada USA kwa gharama zetu? Hiyi picha hapo juu ilikuwa Ubungo ?

Sasa na huyo hawara anabwabwaja nini. Au tulete proof wakiwa kitandani. Acheni hizo ... Spade iitwe spade sio kijiko kikubwa
 

hahaaa, we ngoja waendelee kuropoka tujue mengi. Bongo muvi atangaze vivutio vya utali wapi na wapi? Au ndo utalii wa kutudhalilisha na kikyup alikovaa?
 

Mkuu,

Kuna watu humu wana akili ujazo wa KISODA!Yaan MTU anasafiri kwenda US kwa gharama za kodi za wananchi halafu watu wanaleta ushabiki wa kipuuzi hapa!

Au mnataka kusema Aunt Ezekiel ni BODYGUARD wake?Au nani kwenye wizara ya maliasili na utalii?
Au Aunt Ezekiel ndio utambulisho wa utalii wa nchi ya Tanzania?

Ndio maana Muhongo aliwahi kusema watanzania no MBUMBUMBU!

Pengine labla alikuwa sahihi!!
 
labda kuna watu walitaka aingie na twiga ukumbini hapo...
 
Lema wakati anaropoka bungeni alijua ndoa inavunjika, wako wako happy to mpaka leo.
 
Why don't you write in Swahili or your venacular?
 
Nasikia Chadema wakichukua nchi Lema atakuwa Waziri Elimu..teh teh

sasa unashangaa nini ,? hivi lema na Kilaza mulugo nani anaafadhari .? Waziri mzima anaulizwa kwa nn mwl anakaa daraja B la mshahara zaidi ya miaka mitano yy anajibu atajitahidi kuhakikisha anaingia daraja A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…