Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Tongue blister you must be a hater!Mkuu the Boss nadhani ni kuunge mkono katika hili !!!! Hawa si watu wa kutazama hata kidogo na mwingine ni Lady Jey Dee..!! Hata kutazama filamu zao sipendi wala kwenda kwenye miziki yao , Nikiwa ndani ya Bus wakiweka filamu au nyimbo zao huwa napata kichefu chefu au nijifunike na mto nisione wala kusikia..Sipendi Vicheche hao..!!!!
Asante sana BalantandaHapana ni binti ila jina lake ni Aunt baba yake ndo anaitwa Ezekiel,ni binti wa mwanasoka mahiri wa zamani Ezekiel Greyson 'Jujuman'..