Aunt Ezekiel: Mvuto wa kipekee

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,514
11,277
Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel.

ezekiel8.jpg

ezekiel7.jpg

ezekiel6.jpg

ezekiel5.jpg

ezekiel4.jpg

ezekiel3.jpg

ezekiel2.jpg

ezekiel1.jpg

AuntG_Ezekiel.jpg

 
Kama ni kuweka mapozi ya kutega tu, namkubali
7368d1262477996-a-full.jpg
 
Mhhhh.......

Mimi msichana tanzania hii akiwa yupo kwenye muziki au
filam za kibongo au hata urembo huwa nakuwa sina hamu nae kabisa

mimi huwa na kinyaa sana.....

Wasichana kama hawa na hao wengine
wanaosifiwa na magazeti ya udaku

sjui irene uwoya au wema sepetu au johari au ray c...

Hata nipewe bure siwataki............
 
Nimekuelewa BOSS, ila tukiweka pembeni tabia na mengineyo tukaangalia tu uumbaji wa Mola, una lipi la kusema?
 
Mhhhh.......

Mimi msichana tanzania hii akiwa yupo kwenye muziki au
filam za kibongo au hata urembo huwa nakuwa sina hamu nae kabisa

mimi huwa na kinyaa sana.....

Wasichana kama hawa na hao wengine
wanaosifiwa na magazeti ya udaku

sjui irene uwoya au wema sepetu au johari au ray c...

Hata nipewe bure siwataki............

Definetely, I support your point!!!
 
Wanatumika mno na kila mwenye vijisenti hapa mjini, kama yule mainda sijui alikuwa mweusi wa kawaida lkn ukimuona leo hii sijui kanywa kidonge, kawa mweupe pe kushinda hata maimartha, mh kweli inasikitisha
 
Wanatumika mno na kila mwenye vijisenti hapa mjini, kama yule mainda sijui alikuwa mweusi wa kawaida lkn ukimuona leo hii sijui kanywa kidonge, kawa mweupe pe kushinda hata maimartha, mh kweli inasikitisha

hivi maimartha yupo?
 
Hebu nielewesheni huyu ni mwanamke au transvestite? Naona jina lake ni Ezekiel lakini munavomjadili kama mwanamke!
 
Sio wote wenye tabia mbaya kuna wengi tu nawafahamu wanatabia nzuri na wako kwenye fani za music, film, miss etc. I repeat SIO WOTE.
 
Sio wote wenye tabia mbaya kuna wengi tu nawafahamu wanatabia nzuri na wako kwenye fani za music, film, miss etc. I repeat SIO WOTE.

Kweli ati, ila nadhani wengi wana-konsida ule msemo wa samaki mmoja akioza...

Ila huyu dada ana mvuto wajameni.
 
Ila huyu dada ana mvuto wajameni.
Hapa rahisi ukiwa na mai waifu wako jirani ukakuta unapigwa konzi maana kuacha kumwangalia si rahisi. Watu wengine wameumbwa kuleta vurugu duniani tu aaaaaggggggggggggggh!
 
Mhhhh.......

Mimi msichana tanzania hii akiwa yupo kwenye muziki au
filam za kibongo au hata urembo huwa nakuwa sina hamu nae kabisa

mimi huwa na kinyaa sana.....

Wasichana kama hawa na hao wengine
wanaosifiwa na magazeti ya udaku

sjui irene uwoya au wema sepetu au johari au ray c...

Hata nipewe bure siwataki............


Mkuu the Boss nadhani ni kuunge mkono katika hili !!!! Hawa si watu wa kutazama hata kidogo na mwingine ni Lady Jey Dee..!! Hata kutazama filamu zao sipendi wala kwenda kwenye miziki yao , Nikiwa ndani ya Bus wakiweka filamu au nyimbo zao huwa napata kichefu chefu kibaya utadhani nilikuwa kwenye bembea kama lile la Jamaica !!! Huwa naombaga wazime au wanipatie pillow nijifunike nisione wala kusikia..Sipendi Vicheche hao..!!!!
 
Back
Top Bottom