Aulizwa aliponyolea nywele za siri

Aulizwa aliponyolea nywele za siri

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,217
Reaction score
7,255
Habari wanajamvi,

Kama masaa mawili yaliyo kulikuwa na timbwili kati ya mshikaji mmoja na mkewe. Mshikaji wangu kitambo tulijuana katika harakati za kutafuta maisha, katika harakati za pale tukajikuta tumepangwa bogi moja zamani, urafiki ukajengeka tukawa kama brothers, mkewe ninafahamian na kutaniana pia.

Sasa jamaa anamdogo wake anamfanyia michakato ampeleke JKT so jamaa akatumia kigezo hiko kutoka tangu asubuhi akajipumzishe na mchepuko wake, mkewe ana mimba changa mara amtukane jamaa mara hataki kumuona, mara ana nuka. Mshkaji akaenda kujipumzsha chemba.

Sasa jamaa kachelewa kurudi, tangu asubuhi na hakwenda akiwa kavaa nguo za kazi. Jamaa kurudi tu, mke kahisi huyu katoka kula mzigo, akawa anamlia timing, jamaa kwenda room ajipange kuoga mke kaona jamaa nywele za sehenu ya siri zimenyolewa safi kabisa wakati ameondoka fulu kichaka.

So mkewe maswali yakaanza umenyolewa na nani!? Jamaa nimenyoa mwenywe umeondoka hapa una fulu kichaka haya nambie umeenda kunyolea wapi na kwanini ? Hili swali likawa gumu kwa jamaaa, timbwili likaanza. Kumbe jamaa alipata mchepuko mpya, tena mchepuko unajua kuhudumia mwanaume hatari jamaa alipigwa maandalizi ikiwemo kutolewa nywele za ufukweni, hili limempa balaa.

Kuwa smart
 
hahahahahhahahahah labda jamani aliwashwa sana akapitia public bathrooms nod akazitoa.....
 
Dahh..... haya mambo mengine ni homa tupu!! ningekua mimi ningekufa gafla
 
Ningevizia naenda chooni bila yeye kuwepo nikivua nguo chumbani. Huko naenda na kinyoleo kwa kuzuga
 
  • Thanks
Reactions: G3T
haa haa haa daah kweli maisha ni tamthilia
 
Sikutegemea kuwa watu wanapekuana na kuchambuwa nyeti za wenza!!!

Huyu mkee wa jamaa ana mimba sometimes anamkazia game. Mara akirudi kazini anuswe kama ananukia manukato ya kike, vurugu mechi tu
 
Huyu mkee wa jamaa ana mimba sometimes anamkazia game. Mara akirudi kazini anuswe kama ananukia manukato ya kike, vurugu mechi tu
Mwanaume asichukulie uhasama au kukomoana !! Mkewe anambimba hivo hiyo mimba inampelekesha !! hilo nijambo la kawaida litapita baada ya kujifunguwa!!
 
Back
Top Bottom