Really no comment. Ni nini maudhui ya uzi huu?
Mnyonge Mnyongeni, lakini haki yake mpeni.
Katika kikao cha saba cha bunge lilohitimishwa jana, kamati yake ya Hesabu za serikali a mitaa ilitoa ripoti moja nzuri sana juu ya ubadhirifu mkubwa ulioonekana katika serikali za mitaa. Kamati yake, tofauti na kamati nyingine za bunge, ilithubutu kutaja kwa majina na mahali walipo wahusika wa ubadhirifu wa mali za halmashauri na kutoa mapendekezo mazuri sana ya hatua za kuchukua dhidi ya wahalifu hao na namna ya kuzuia wizi huo kwa siku zijazo. Mheshimiwa huyu aliongea kwa uchungu sana namna anavyoumizwa na wizi huu, huku huduma za kijamii zikizorota kwa kukosa pesa.
Behind the Scene (vibwagizo)
- Mrema ni mtu pekee ambaye amewahi kupewa cheo kisichotambulika katika katiba ya nchi (Naibu waziri Mkuu), enzi za mzee Ruksa. Enzi hizo pia alikuwa ni waziri wa mambo ya ndani na utendaji wake ulijulikana sana.
- Ni mtu pekee ambaye amekuwa mbunge katika majimbo mawili tofauti. Alikuwa mbunge wa Jimbo la Temeke mkoani Dar Es Salaam mnamo mwaka 1996 baada ya mahakama kutengua ubunge wa Ally Kihiyo, ambaye alighushi elimu yake katika wasifu wake, na kwa sasa Mrema ni mbunge wa jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro
- Ni mtu pekee ambaye amekuwa mwenyekiti wa vyama viwili tofauti vya kisiasa kwa nyakati fofauti na amegombea uraisi kupitia vyama hivi viwili tofauti. Alikuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mnamo mwaka 1995 enzi hizo Mabere Marando akiwa katibu mkuu na aligombea ubunge mwaka huo. Alihama NCCR na kuhamia TLP ambako alimpindua Leo Lwekamwa na kumtimua Thomas Ngawaiya aliyemkuta hapo, na amegombea uraisi mara mbili kwa tiketi ya chama hiki.
- Ni mmoja wa wabunge waliokunywa 'Kikombe' cha Babu Ambilikile Mwasapile wa Loliondo
Mwenye vibwagizo zaidi aongezee
Nawasilisha
mkuu mamdenyi inaelekea tumetoka sehemu moja, mbonyi mbee
Cha iyoSasa kama umetoka huko mbona huwa unashabikia migamba au unafaidika nini kufanya hivyo (iyo numtondo sana)
Mrema ndiyo JOGOO PEKEE LINALO WIKA TANZANIA
Hii naikumbuka sana. Teh teh teh. Hiyo situation ya stand still huenda ikamgharimu ubunge mwaka 2015amewahi kuwa mbunge wa moshi vijijini, Temeke na sasa Vunjo ..... na amewahi kujiuzulu katika nyadhifa yake katika dhana ya uwajibikaji
ingawa kwa sasa uwezo wake upo katika stage ya "standstill"
Hapana. Mimi mwanzisha thread si wa Kiraracha, mie ni mpiga kura kutoka jimbo la Mhe. Profesa Maji Marefuhii thread kaanzisha mwenyewe mzee wa kiraracha pole sana mzee
Yule Albert Mnali hakuhamishwa, alikaushwa kabisa kibarua (uteuzi wake ulitenguliwa), kwa sasa ni raia wa kawaida tu.Mrema ndo waziri pekee aliyetishia kutandika wanaume viboko na kupunguza women abuse! Yule mkuu wa wilaya aliyeiga akacharaza waalimu sijui alihamishiwa wilaya gani?
Hahahahhhh. Matumizi mabaya ya madaraka hayoNi mtu pekee aliyeweka mapipa ya lami kule kilema akiwa na lengo la kujenga barabara
japo hakufanikiwa baada ya serikali kumtimua unaibu waziri, hivyo mshiko ukawa kidogo.
Hiki kioja nakikumbuka sana. Si yeye peke yake aliyefanya kituko hicho, yule jamaa wa PPT Maendeleo bwana Kuga Peter Mziray naye alifanya hivyo kule kwao Same.Chama chake ni chama pekee kinachotumia Jogoo kama alama ya Bendera yao. Na ni Mwaenyekiti pekee wa chama aliyeacha kumpigia kampeni mgombea wake wa urais 2010 na kumpigia ****** ili magamba yasimsumbue.
Kwa nini unachangia kitu usichojua maudhui yake? Ushakunywa chai?Really no comment. Ni nini maudhui ya uzi huu?
Hii na yenyewe ni ya kipekeeni kiongozi pekee nchini aliyekuwa na uwezo wa kuwaamuru majambazi wasalimishe silaha zao na walifanya hivyo.
Tell them sirKuna watu ni wagumu sana wa kuelewa. Wanataka kila kinachoandikwa humu basi kiwe kinaongelea only the future and present. Sijui kwa nini?
Unajua maana ya Jogoo?
Nadhani wengi hamufahamu vizuri ni mtu mbinafsi sana anayependwa kusifiwa kwa miaka ya nyuma alipata sifa sana na watu walikuwa hawafahamu sasa nenda vunjo wanajuta .kwa sasa amalize nngwe yake kwa kura za huruma alizopata.