Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Ahsanteni mimi nilikuwa best man kwenye SEND_OFF nmeombwa ushauri.
Kwa hiyo harusi(reception) ilikuwa na bestman mwingine?
Ahsanteni mimi nilikuwa best man kwenye SEND_OFF nmeombwa ushauri.
Bibi harusi ni muuaji huyo!
Hata kama ana sababu...hawezi kumshawishi mtu kwamba ilikuwa fair kulipiza kisasi namna hiyo!
Jamaa apige moyo konde na kuanza mchakato upya....Sheria imsaidie kupata haki yake ya talaka. Vinginevyo ataendelea kujulikana kama mume halali wa huyo mwanamke!
Kwa Wakatoliki ndoa inakamilishwa na tendo la ndoa...sina hakika ya taratibu za makanisa mengine.....
inategemea na "kilichomkuta alipoenda supermarket kununua coligeti ya kusafishia meno"...inawezekana ALITEKWA NYARA NA KUPELEKWA KUSIKOJULIKANA NA WASIOJULIKANA ....
pia inawezekana bi-harusi ana matatizo ya akili thats y alifanya kituko cha karne ijayo kwa tanzania ila kwa wenetu kina kim kardashian ni simpo tuuu....
Sheria inasemaje?Kwa Wakatoliki ndoa inakamilishwa na tendo la ndoa...sina hakika ya taratibu za makanisa mengine.....
Sawa ila hawa jamaa tayari walishatia mkono kwenye paper!!
Hapo hakuna ujanja...lazima waonane na wale waheshimiwa wanaoongela lugha yao wenyewe wawasaidie kutafsiri sheria ya Mwaka 1971!!
Bibi harusi ni muuaji huyo!
Hata kama ana sababu...hawezi kumshawishi mtu kwamba ilikuwa fair kulipiza kisasi namna hiyo!
Jamaa apige moyo konde na kuanza mchakato upya....Sheria imsaidie kupata haki yake ya talaka. Vinginevyo ataendelea kujulikana kama mume halali wa huyo mwanamke!
Usalama wa Taifa walifuatilia sms za mwisho na kujua alipo na kuona kuwa walikuwa wanawasiliana na jamaa hadi tym ya kutoroshwa!!
Inamaanisha kuwa HAKUTEKWA ili ilikuwa PLANNED!!!!
Usalama wa Taifa walifuatilia sms za mwisho na kujua alipo na kuona kuwa walikuwa wanawasiliana na jamaa hadi tym ya kutoroshwa!!
Inamaanisha kuwa HAKUTEKWA ili ilikuwa PLANNED!!!!
Kwa hiyo harusi(reception) ilikuwa na bestman mwingine?
Nini kufuate?Jamaa keshatoa Talaka cz Tendo la kukamilisha ndoa halikufanyika!!!
Nini kifuate??!!
Jamaa keshatoa Talaka cz Tendo la kukamilisha ndoa halikufanyika!!!
Nini kifuate??!!
Mkuu kuna sehemu fulani ya hii hadithi hujaiweka wazi.....
Ni kwa nini binti akubali ndoa halafu asepe ndani ya saa 24!
Nini kufuate?
Asonge mbele,au anataka kumwomba huyo dada warudiane?
Lizzy, Mahari vp?? Gharama za harusi vip?? Time na Fedheha vp??
Kwa anayefahamu sheria ya makosa ya kujaamiiana inasemaje?