Atorokea Kenya na hela ya mchango wa harusi yake

Atorokea Kenya na hela ya mchango wa harusi yake

Watu wanakimbia na pesa ya sanda au sanduku la maiti hao ndio wa kulaumiwa kuhusu hao wametumia fursa hizo suti zenu ziwekeni sherehe bado zipo nyingi ikishindikana mwisho wa mwaka pana sherehe mtavaa hayo magauni yenu.
 
Hata wakimkamata kesi akiisikia mtukufu wetu RAIS Dr JPM lazima mtuhumiwa ATATOLEWA HARAKA na atapewa kazi ya kufanya serikalini. nampongeza sana Bwana harusi na Bibi harusi kuwa na akili nyingi kuzidi kamati, wanapaswa kuiga katika maendeleo ya dunia ya leo
 
Back
Top Bottom