Bhampupile
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 810
- 636
Haaaaa, vipaja vya kuku bye bye.
Hivi polisi wanaweza kutoa RB kwa issue kama hii? michango si ni hiari? Pili hiyo kamati ni vilaza, why hawakutunza hizo pesa? hawakuwa na mhasibu?Habari wadau,
Bwana harusi mmoja hapa mtaani kwetu kaacha bumbuwazi baada ya kutoroka na fedha za harusi yake takribani milioni 26..
Kuna madai kwamba deal hili lilichongwa mapema yeye na mkewe mtarajiwa ambao waliamua kutotumia michango yao kufanya sherehe na badala yake wakaamua kutimkia nchini Kenya kufanya biznez..
Wanakamati wanamsaka na RB.
Sisi tutakimbilia Somalia mwaya!Sasa RB ya nini
Kwani wameiba au kupora?
Eti eehSisi tutakimbilia Somalia mwaya!
Somalia ni salama zaidi hata serekali ya Tanzania haiwezi kufika huko dear!Eti eeh
Harusi yangu kulikuwa na mweka hazina, lakini alikuwa anaweka kwenye akaunt yangu ya benki. Ilikuwa kupimana imani kwelikweli, lakini nashukuru mpaka siku ya kuvunja kamati waliniachia 4.1m. Hata hivyo nilikuwa nshaitumia kama 2mKwani hizo pesa walikabidhiwa wao maharusi? Mana najua kamati ndiyo zinakaa na hela kwa ajili ya kufanikisha hilo swala.....au mweka hazina alikuwa bwana harusi.?
Okay lakini uaminifu ni jambo jema kuna leo na kesho unawezaje kuwarudia hao uliowafanyia uhuni na kuomba msaada wao incase ukihuihitaji tena.Harusi yangu kulikuwa na mweka hazina, lakini alikuwa anaweka kwenye akaunt yangu ya benki. Ilikuwa kupimana imani kwelikweli, lakini nashukuru mpaka siku ya kuvunja kamati waliniachia 4.1m. Hata hivyo nilikuwa nshaitumia kama 2m
Ooh basi twendage yakheSomalia ni salama zaidi hata serekali ya Tanzania haiwezi kufika huko dear!