Atorokea Kenya na hela ya mchango wa harusi yake

Atorokea Kenya na hela ya mchango wa harusi yake

Wanamsaka kwa lipi sasa hapo, wao kazi yao ni kuchangishan na kutoa hela matumizi wamwachie bwana harusi

Saaaafiii kashapata mtaji
 
Swali
Hivi Bwana harusi ndio huwa anashikiria hela za michango?
 
Waweke kumbukumbu za wachangiaji vizuri baada ya miaka 5 warudi na kuwarudishia michango yao na kuwaomba msamaha.
Wakirudi bila kufunga ndoa ndo waombe msamaha, lakini wakija na uthibitisho kwamba walifunga ndoa basi hela itakuwa imetumika kwenye malengo yake. Hangera zao 26m za fasta si haba.
 
Wametibua mpango wangu, maana mimi nilitaka nifanye hivi hivi ila sasa nitimkie Eritrea..
 
Cha msingi wakifika huko Kenya wafunge ndoa,watumie japo hata mil 5 hivi, Bi.Arusi akodi shela na Bw.Arusi anunue suti alafu wapige picha wawatumie wanakamati wakiwashukuru kwa michango yao ya dhati iliyowafanikisha kwenda kufungia ndoa yao majuu kama ya Dkt.Mengi na Jackline.Mlichangia harusi na harusi imefanyika,mchezo umeisha!
 
Mlitoa kwa moyo kwa ajili ya kuwachangia wao. Wasameheni tu,tena wamewapunguzia gharama za kushonesha sale za hiyo sherehe.
 
Jamaa amefariki na mkewe yu mahututi. Walipata ajali ya gari last month
 
hapo unafunga ndoa ukirudi home unasonga ugali was maharage unashushia na Maji
pesa unafanyia mambo mengine ya maana binadam kuchangiana kwenye mambo ya kimaendeleo hawataki lakini kwenye ulaji wapo mstari wa mbele walichokifanya nasema wapo sahihi kabisa
 
Japo Kwa Namna Moja Inaonekana Ni Ujanja, Upanda Wa Pili Inaonesha Ni Watu Wasiojua Wanafanya Nini Ktk Life. Mtu Mwenye Mipango Hawezi Tu Kutoroka Na Kuacha Mambo Yake Nyuma.
 
Back
Top Bottom