The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,947
Nyie wazazi mabashite kweli. Hilo linawashindaje wakati shule ni private na mnatoa hela zenu.
Me mwanangu nishamtoaga nimempeleka bahari primary kitamboMjeuri balaa na ana majibu ya hovyo
Ipo wapi? Mimi namuonea huruma mwanangu kumpeleka shule za mbali, afadhali ya hii anapitiwa saa 1.Me mwanangu nishamtoaga nimempeleka bahari primary kitambo
Ada, Msosi & Usafiri kwa Term = 330,000HIVI ADA ZAO ZIKOJE KWA WATOTO WA NURSERY?
Kwani umeshikiwa bastola kwa watoto wako kusoma huko?Jamani kwa wale wote tulio na watoto katika shule hii ya Atlas, naomba kwa wale tuliopiga kelele sana kwa ishu ya usafiri tusaidiane tena kupiga humu jamvini ili mamlaka husika zisaidie...
Mimi nina watoto wawili katika shule hii, darasa la tatu na mwingine darasa la kwanza... Shule hii kitaaluma iko poa sana. Tatizo wanafeli sana ktk ishu ya usafirishaji wanafunzi.
Madereva wa shule hii hawana weledi ktk kazi zao, wenyewe kumuacha mtoto ubungo wakati alipaswa kushuka tcra cyo tatizo kwao.
Tumejaribu sana kuuelekeza uongozi wa shule hii kuhusu hili lakini naona wanatia pamba masikioni, baadhi ya magari yao ni mabovu, pia yako machache kiasi kwamba watoto wanapakatana.
Nimekwisha andika barua juu ya hili kwenda wizarani na nasubiria action yao dhidi ya shule hii. Watoto siwahamishi kwakua napenda mfumo wao wa ufundishaji ndiyo maana napambana wawe smart.
Ipo karibu na bahari beach hotel,, ukipita chuo cha Jeshi (DEFENCE COLLEGE )Ipo wapi? Mimi namuonea huruma mwanangu kumpeleka shule za mbali, afadhali ya hii anapitiwa saa 1.
Watu wanachoipendea hii shule ni Ufaulu na ada,Nyie wazazi mabashite kweli. Hilo linawashindaje wakati shule ni private na mnatoa hela zenu.
Okaay naifahamu si ipo upande wa kulia ukiwa unatokea njia ya mbuyuniIpo karibu na bahari beach hotel,, ukipita chuo cha Jeshi (DEFENCE COLLEGE )
pale kunduchi
Unapenda mteremko, huku mtoto anaumiaKwa Aziz Ali ni mbali ila ela wanapokea tena kwa tabasamu na makubaliano mazuri na mteja
Namtoa kabisa Atlas sitaki wanipe presha, Dereva unampigia anakupa majibu mepesi kabisa kama vile kaacha bogaBora umpeleke ubungo...madale mbali
Asante ,nitakwenda kuifuatilia naomba unielekeze vizuriJaribu kuicheki na Doris Nursery & Primary school ipo Mtoni Kijichi nao wapo Vizuri!
Na chakushangaza dereva ndiyo anapanga kituo cha kumpitia mtoto,na darasa lina wanafunzi wengi mno.Namtoa kabisa Atlas sitaki wanipe presha, Dereva unampigia anakupa majibu mepesi kabisa kama vile kaacha boga
Nitamuhamisha Dear, maana nishakwazana na Dereva mara kibao ! Asije siku akaniachia mwanangu Temeke bure asijue pa kuelekeaahaaaa ila shosti mimi nakaa jirani huku nimpe mwanetu huyo huko mbali jamani kama vipi muamishe
Bahari shule nzuri sana, pia wanangu wanasoma bahari, sikutaka kabisa kuwapeleka atlasMe mwanangu nishamtoaga nimempeleka bahari primary kitambo
Ipo kunduchi, maeneo ya chuo cha jeshiIpo wapi? Mimi namuonea huruma mwanangu kumpeleka shule za mbali, afadhali ya hii anapitiwa saa 1.
Hiyo hiyo, wako vizuri sanaOkaay naifahamu si ipo upande wa kulia ukiwa unatokea njia ya mbuyuni
Haaa haaaa! jamaa unautani wa mapanga, jamaa kakwambia mwenyeshule msikivu then unasema ni msikivu kwa mkewe tu! hii inamaanisha huyu mtoa namba ndo mke wake! coz ndo kasema mwenyeshule msikivu! NAJARIBU KURUDISHIA SEHEMU ZILIZOFUTIKA.Msikivu kivipi kama hasikilizi wateja wake? Au msikivu kwa mkewe?
Ipo karibu na Police staff Quarters pale Kijichi au NASACO zamani, ni wastani wa Km 3 tokea round about ya Mbagala Mission. Aidha maeneo hayo zipo nyingine 2 pia ni nzuri!Asante ,nitakwenda kuifuatilia naomba unielekeze vizuri
Sasa mkuu haya maoni yako si ungeyatoa moja kwa moja kwa management ya shule?Jamani kwa wale wote tulio na watoto katika shule hii ya Atlas, naomba kwa wale tuliopiga kelele sana kwa ishu ya usafiri tusaidiane tena kupiga humu jamvini ili mamlaka husika zisaidie...
Mimi nina watoto wawili katika shule hii, darasa la tatu na mwingine darasa la kwanza... Shule hii kitaaluma iko poa sana. Tatizo wanafeli sana ktk ishu ya usafirishaji wanafunzi.
Madereva wa shule hii hawana weledi ktk kazi zao, wenyewe kumuacha mtoto ubungo wakati alipaswa kushuka tcra cyo tatizo kwao.
Tumejaribu sana kuuelekeza uongozi wa shule hii kuhusu hili lakini naona wanatia pamba masikioni, baadhi ya magari yao ni mabovu, pia yako machache kiasi kwamba watoto wanapakatana.
Nimekwisha andika barua juu ya hili kwenda wizarani na nasubiria action yao dhidi ya shule hii. Watoto siwahamishi kwakua napenda mfumo wao wa ufundishaji ndiyo maana napambana wawe smart.