Hahhahahahaha ila we jamaa ni mchocheziiiiiii....Haaa haaaa! jamaa unautani wa mapanga, jamaa kakwambia mwenyeshule msikivu then unasema ni msikivu kwa mkewe tu! hii inamaanisha huyu mtoa namba ndo mke wake! coz ndo kasema mwenyeshule msikivu! NAJARIBU KURUDISHIA SEHEMU ZILIZOFUTIKA.
Nilikuwa na mahusiano na dada mmoja mboga saba. Yeye kasoma international schools kuanzia kindergarten mpaka form six. Mwenzie mimi nimesoma public mpaka form six.Mi nilishasema mwanangu atasoma shule iliyo karibu na nyumbani..full stop..kumuamsha sa kumi nope....shule ziko nyingi mno na nzuri
Hivi ni lazima watoto wako wasome hapo ?Jamani kwa wale wote tulio na watoto katika shule hii ya Atlas, naomba kwa wale tuliopiga kelele sana kwa ishu ya usafiri tusaidiane tena kupiga humu jamvini ili mamlaka husika zisaidie...
Mimi nina watoto wawili katika shule hii, darasa la tatu na mwingine darasa la kwanza... Shule hii kitaaluma iko poa sana. Tatizo wanafeli sana ktk ishu ya usafirishaji wanafunzi.
Madereva wa shule hii hawana weledi ktk kazi zao, wenyewe kumuacha mtoto ubungo wakati alipaswa kushuka tcra cyo tatizo kwao.
Tumejaribu sana kuuelekeza uongozi wa shule hii kuhusu hili lakini naona wanatia pamba masikioni, baadhi ya magari yao ni mabovu, pia yako machache kiasi kwamba watoto wanapakatana.
Nimekwisha andika barua juu ya hili kwenda wizarani na nasubiria action yao dhidi ya shule hii. Watoto siwahamishi kwakua napenda mfumo wao wa ufundishaji ndiyo maana napambana wawe smart.
Mkuu hao bahari gharama zao zipoje kwa primaryBahari shule nzuri sana, pia wanangu wanasoma bahari, sikutaka kabisa kuwapeleka atlas
Tatizo letu wazazi hatufanyi maandalizi mapema ya kuwatafutia watoto wetu shule, huwa tunafuata mkumbo na maandalizi ya zima moto, wakati tunataka watoto wasome shule nzuri
Lazima tuwatendee haki, kuanzia mazingira mpaka elimu
Mimi si mzazi ila nimechangia. Kujua jambo hakuhitaji uwe mzazi.Ikiweka mada ya watoto ndo utagundua jf wote wazazi, wakati huo kwenye jukwaa la MMU wengi mabikra!! Ila nyie watu!
Kwani umeshikiwa bastola kwa watoto wako kusoma huko?
Yap,,ndio yenyewe kabisa,,,wana magari zile eicher, ,watoto wanajinafasi aswa,,,Okaay naifahamu si ipo upande wa kulia ukiwa unatokea njia ya mbuyuni
Duh tabia za ujaama zimesha waja akilini unaandika wizarani ili iweje kwani hiyo shule ulipangiwa na wizara.....tuko ktk capitalism ukiona iko againest masilahi yako quite plz wtz tumezoea kulalamika lalamika hasa watu waliosoma kipindi cha ujaama ni problem tupu......Tayari kwa maneno na kwa maandishi.. Soma thread vizuri... Hata barua nimeandika wizarani..
Hivi ni lazima watoto wako wasome hapo ?
Nitakwenda kufuatilia J3 InshaAllah, si mkono wa kushoto ukitokea Mjini Unachukua barabara ya upande wa kanisa katoliki? Shukrani sanaIpo karibu na Police staff Quarters pale Kijichi au NASACO zamani, ni wastani wa Km 3 tokea round about ya Mbagala Mission. Aidha maeneo hayo zipo nyingine 2 pia ni nzuri!
Kwa sababu nasomesha bure !? Hebu nitolee kisilani chako hapa,watoto wanaokaa buza shule Muhimbili huku wanapanda daladala za umma huwaoni!!Unapenda mteremko, huku mtoto anaumia
Mimi sina kisilani, ila nahurumia ukuaji wa mtoto,kiakili na mazingiraKwa sababu nasomesha bure !? Hebu nitolee kisilani chako hapa,watoto wanaokaa buza shule Muhimbili huku wanapanda daladala za umma huwaoni!!
2,400,000 kwa mwaka, pamoja na usafiriMkuu hao bahari gharama zao zipoje kwa primary
Bei ya viwanja vya bagamoyo vinavouzwa na serikalHIVI ADA ZAO ZIKOJE KWA WATOTO WA NURSERY?
Unasema madereva wake hawana wered ....ckuelewiii kivp ww ndo....czan kama mtoto akisema nashuka mwenge ataenda kushushwa makumbusho...ni uzembe wake .....afu uko ni kuharibiana biashara umu hakuna kamati ya shule kusema utasaidiwaa....atlas wana group lao la watsap wazazi woote wako mule peleke mule shida zako
NOT3:mwanangu anasoma pale form 2 mwakani anaingia panapouzima