Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Rugambwa Mkurugenzi wa wa bohari la madawa au mwingine?Namba ya.mmiliki wa shule hii hapa
0754651656 anaitwa Rugambwa.
Ni msikivu sana!
Rugambwa Mkurugenzi wa wa bohari la madawa au mwingine?Namba ya.mmiliki wa shule hii hapa
0754651656 anaitwa Rugambwa.
Ni msikivu sana!
Fanya mpango umuhamishe ni mbali mamiiKutokana na Location tuliyokua tunakaa Awali ilibidi nimpeleke hapo, lakini hata hiyo ya ubungo nasikia ni hayo hayo!
Kulingana na Location tuliyokua tukiishi awali ndio maana nilimpeleka hapo! Nitamuamisha si kwa sababu ya umbali ila ni kwa sababu ya ahadi zisizokwisha ambazo zina dalili ya kutupotezea watoto ,kwani pesa tunayolipa haiendani na huduma wanayopewa ya usafiri maana hata walio ubungo nao wana lalamikaYn wewe unamtoa mwanao huku kwa aziz ally unampleka madale..hebu muonee huruma huyo kiumbe..unamuamsha saa kumi![]()
![]()
Ile madale campus ilivyo mbali vile...kutoka tu mlimani city mpk madale kupitia makongo ni mbali..ndio sembuse huku temeke...plz...plz..hebu fanya mchakato ahame..
Kwa Aziz Ali ni mbali ila ela wanapokea tena kwa tabasamu na makubaliano mazuri na mtejaMbali saana labda kama kuna Azizi Ali makongo ama mbezi ila kama ni Azizi ya Ali ya napopajua na madale ni mbaali.
Tulipokua tukiishi awali hapa kua na tatizo hilo,na tulikua tukingoja kijana afanye mtihani wake wa Taifa alafu tumuhamishie Campus ya ubungo lakini malalamiko ni hayo hayo usafiri sasa namtafutia tu shule nyingine Darasa la 5 akaanze nje ya AtlasNimejiuliza labda kama anatutania maana madale na kwa Azizi Ali ni mbali sana aisee huyo mtoto sijui atakua anaamka saa ngapi.
Kuna shule nzuri kuliko atlas zipo kati kati ya mji bora hata angeenda huko.
Isingekua ubaguzi wa rangi kwa kweli ningempeleka hata Indian school mbagala ila sasa ukiangalia ile shule ubaguz ni mwingiFanya mpango umuhamishe ni mbali mamii
Mie nadhani wazazi wao ndio wahamie Madale ili mtoto awe jirani Na shule wao ndio wawe wanaamka mapema Na kurudi kwa kuchelewa waone mateso yakeMnoo aisee mwisho mtoto aone shule ni mateso
Ha ha ha umenichekesha.Mie nadhani wazazi wao ndio wahamie Madale ili mtoto awe jirani Na shule wao ndio wawe wanaamka mapema Na kurudi kwa kuchelewa waone mateso yake
Mie nadhani wazazi wao ndio wahamie Madale ili mtoto awe jirani Na shule wao ndio wawe wanaamka mapema Na kurudi kwa kuchelewa waone mateso yake
nimekuelewa Steve,asanteKama Na Ya Ubungo ina Changamoto ya Usafiri ni shida Sasa maana mwanangu nataka akaanze Nursery Mwakani paleKutokana na Location tuliyokua tunakaa Awali ilibidi nimpeleke hapo, lakini hata hiyo ya ubungo nasikia ni hayo hayo!
Haya bwana shemeji... wakoromee wasije wakakuletea mengine kwa mwanao.Kwa Aziz Ali ni mbali ila ela wanapokea tena kwa tabasamu na makubaliano mazuri na mteja
Bora wewe ulivumilia mwaka,mimi alisoma mihula miwili tu nikamhamishaAna watoto wengi sana! Mimi wanangu walisoma kwa mwaka mmoja tu wakahama. Na wingi wa watoto ni kwa kuwa ada zake ziko chini kidogo uilinganisha na shule zingine. Ndo maana wazazi wanawatoa watoto umbali mrefu sana kuwapeleka huko. Yaani Goba yote, mbweni salasala, kunduchi ni balaa. Mbezi yote mpaka Mpiji, wengine hadi Kibaha can u imagine! So kuhandle issue ya usafiri ni shida kwa wingi ule wa watoto
Rugambwa Mkurugenzi wa wa bohari la madawa au mwingine?
Hahahaha pole mkuuBora wewe ulivumilia mwaka,mimi alisoma mihula miwili tu nikamhamisha