Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,500
dar mtoto anatoka mbagala anasoma kibaha .Yn wewe unamtoa mwanao huku kwa aziz ally unampleka madale..hebu muonee huruma huyo kiumbe..unamuamsha saa kumi![]()
Ile madale campus ilivyo mbali vile...kutoka tu mlimani city mpk madale kupitia makongo ni mbali..ndio sembuse huku temeke...plz...plz..hebu fanya mchakato ahame..
