Ati atakuwa anamaanisha nini?

Tumeachana ni week mbili sasa. Tokea tumeachana ameniblock kila sehemu. Leo ameniblokua WhatsApp halafu amenitumia mesej "if I still love you that's my fault" nikataka nimuulize ameemaaanisha nini nakuta ameni block tena mesej haziendi. Ati atakuwa anamaanisha nini?
Dada samahani lakini kuanzia jina lako, mada yako na hata majibu yako inaonekana we ndio mwanaume na huyo mwenzako ndio mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom