Mtoto ni nani sasa mimi, yeye au wewe?
Nimetafsiri lakini bado sijaelewa
Nimefanya ila bado sieleweiYaap, tafuta dictionary tafsiri word-to-word utajua anamaanisha nini..
Asante kwa ushauri ila hapo kwenye Nia ni nia ya nini wakati tumeachana?Tulia tu usimtafute,yeye mwenyewe atakutafuta kama ana nia.
Hahah wewe mapenzi hayana watoto au wakubwa. Mapenzi ni mapenzi
Kwanini?Unazngua ww
yes bishoo haswaaa
Mahusiano huwa hayana formula maalumu,leo mnaweza kugombana kesho akawa mkeo.Asante kwa ushauri ila hapo kwenye Nia ni nia ya nini wakati tumeachana?
Hvi haya mapenz ha kupeana block yapo kwetu sie wazee ama kwa vijana tu?
Ushawa kupewa au kutoa block?Ni kwa wote
Sijawahi kutoa block kama sitaki kuwasilina na mtu sisomi mesej zake au sipokei simu lakini simbkock ila huwa napewa block mara nyingiUshawa kupewa au kutoa block?
Bas jua unadate vitotoSijawahi kutoa block kama sitaki kuwasilina na mtu sisomi mesej zake au sipokei simu lakini simbkock ila huwa napewa block mara nyingi
Hiyo formula Hai apply kwa mimi. Mimi yakiisha yameisha hakuna kurudi nyuma. Siwezi kutafuta furaha sehemu niliipotezaMahusiano huwa hayana formula maalumu,leo mnaweza kugombana kesho akawa mkeo.
Hahah haya
Mwanamke ana nguvu kubwa sana ya kumbadilisha mwanaume kama akiamua;Samson alishindwa,Daudi alishindwa n.kHiyo formula Hai apply kwa mimi. Mimi yakiisha yameisha hakuna kurudi nyuma. Siwezi kutafuta furaha sehemu niliipoteza
lol sio mtoto yeye ni mkubwa amenizidi miaka miwiliBas jua unadate vitoto
Sasa ukimblock mtawasiliana vp akat unampenda?Huyo bado anakupenda.
Ukiona mdada /sisi tumekublock ujue bado tuna mapenzi.
Kama hatuna mapenzi huwa tunakupotezea tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeachana ni week mbili sasa. Tokea tumeachana ameniblock kila sehemu. Leo ameniblokua WhatsApp halafu amenitumia mesej "if I still love you that's my fault" nikataka nimuulize ameemaaanisha nini nakuta ameni block tena mesej haziendi. Ati atakuwa anamaanisha nini?