Ati atakuwa anamaanisha nini?

Anatingisha kibiriti kuona kimejaa kiasi gani, ila bado mnapendana.

Tumeachana ni week mbili sasa. Tokea tumeachana ameniblock kila sehemu. Leo ameniblokua WhatsApp halafu amenitumia mesej "if I still love you that's my fault" nikataka nimuulize ameemaaanisha nini nakuta ameni block tena mesej haziendi. Ati atakuwa anamaanisha nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom