my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Tokea nizaliwe sijawahi kupewa zawadi kama hii. Huyu kaka sijui anafikiria mimi mzungu mwezake au sijui anafanya makusudi.
Sasa ndio zawadi gani ati ameniletea miti mitatu halafu ananipa maelezo kabsa "nimeitengeneza vzuri hutakiwi kuweka maji kla siku utakuwa unaweka maji kwa wiki mara 1 kwasababu ya weather" 😂😂 valentine yte hii zawadi ya miti, kwan mimi mama mazingira.
Mwezi tu nadhani yte itakuwa imekufa maana time ya kufatilia ati leo sku ya ngapi nitie maji sina 😏 mue mnangalia zawadi ya kuwapa rafiki zenu km wanaendana nazo sio tu unanunua km vle umejinunulia mwenyewe.
Sasa ndio zawadi gani ati ameniletea miti mitatu halafu ananipa maelezo kabsa "nimeitengeneza vzuri hutakiwi kuweka maji kla siku utakuwa unaweka maji kwa wiki mara 1 kwasababu ya weather" 😂😂 valentine yte hii zawadi ya miti, kwan mimi mama mazingira.
Mwezi tu nadhani yte itakuwa imekufa maana time ya kufatilia ati leo sku ya ngapi nitie maji sina 😏 mue mnangalia zawadi ya kuwapa rafiki zenu km wanaendana nazo sio tu unanunua km vle umejinunulia mwenyewe.