Atheists tulionekana wa ajabu sana!

Atheists tulionekana wa ajabu sana!

Kwamba Mungu aliletwa Africa kwa mashua?😀😀😀😀😀
Kwan uwongo sasa??

Mababu zetu walikuwa wanaabudu chini miti au makabulini au mapangoni etc

Hao wajanja janja wazungu na.waarabu wamekuja baadae na.vitabu vyao

Wamechapa na kupiga na.kuuwa sana babu zetu kisa kuabudu MUNGU wao

Nw mambo kibao yapo waz.but watu hawaelewi kaz kweli kweli
 
Mungu hakuletwa kama usemavyo, Mungu alikuwepo katika kila jamii, lugha, jamaa, taifa na dunia kwa ujumla.
Unachojaribu kueleza ni kuwa watu walichanganya utamaduni na ubinafsi katika Kumtafuta na kumuabudu huyu Mungu.

Pia jamii moja kutaka kujitofautisha na jamii nyingi kulingana na mazingira na maumbile ndivyo vilivyopelekea Mungu aonekane kagawanyika.

Ukweli ni kwamba Mungu ni yule wa wote mwenye uweza japokuwa jamii zimemmilikisha Fulani zimemmilikisha na baadhi ya mataifa kumtaifisha huku baadhi ya watu kumbinafsisha. Jambo hili limefanya jamii nyingi kuchanganyikiwa.

Mfano wa watu waliojaribu kumbinafsisha Mungu ni pamoja na Waisrael ambao kupitia kitabu cha historia yao ambacho wengi hukiita kitabu kitakatifu "BIBLIA". Husema;
Mungu wa Ibrahimu, Isaka na yako, huku ni kumbinafsisha Mungu wa wote. Na ikiwa Mungu angekuwa wa Mtu mmoja mmoja basi ni wazi asingeweza kuwa wa Ulimwengu mzima.

Vitabu vya Biblia hasa Agano la kale, viliandikwa kiokombozi zaidi. Ukombozi pekee uliokusudiwa ulikuwa ni ukombozi wa taifa la Israel katika dunia hii. Hata alieandika vitabu vya mwanzoni kabisa alikuwa ni Mwanamapinduzi au Mkombozi wa awali wa taifa hilo. Mwanamapinduzi huyo na mwanaharakati ambaye aliitwa Nabii ili kwa malengo mahususi ndiye aliyeanzisha Vuguvugu kwa taifa hili ambalo lipo katika msuguano mpaka leo.

Nabii Musa mwanamapinduzi ndiye aliyeandika vitabu vitano vya awali katika biblia, aliandika vitabu hivyo kwa mtindo wa ubinafsi kwa taifa lake.
Nasema kwa Ubinafsi nikiwa namaanisha kabisa kutokana na baadhi ya visa vilivyomo katika vitabu vyake.

Aidha kuna kisa cha Yakobo na Esau ambacho kinaonyesha dhahiri lengo la mwandishi wa vitabu hivyo. Yakobo ambaye ndiye Israel aliutwaa ukubwa kwa Esau ambaye ni Baba wa waEdomu. Kisa hicho cha kusisimua kinaonyesha lengo kamili la mwandishi ambalo ni ubinafsi kwani Yakobo hakuwa na khaki yoyote ya kupata baraka ama kurithi katika familia ya Isaka. Musa akiwa mwanzilishi wa Kitabu cha Biblia kwa maandishi yake ndiye mtu aliyeleta mgogoro wa Uwapo wa Mungu.

Mfano wa Pili ni Wa Isaka na Ishimael.
Ubinafsi wa mwandishi katika kutetea asili ya mababu yake aliweza kuudhihirisha. Kisheria Mtoto wa kwanza hasa wakiume ndie anayetakiwa kuwa mrithi wa Mali.

Mtunzi Musa alijua kabisa Ishmael sio wa Taifa lake hivyo kumtukuza lilikuwa ni jambo baya sana kwake. Ukisoma kwa makini aya za kisa kile unaona jinsi Mungu alivyokuwa upande wa Ishmael.

Kama mtoto wa nje yaani wa mtumwa hajri hawezi kuwa Mrithi ilikuwaje kwa Yakobo na Wake zake wanne ambao kila mmoja alipata gawio katika nchi ya Kanani.

Biblia inasema kuwa Ibrahimu atabarikiwa na kuwa taifa kubwa lakini mtoto wake mmoja ambaye ni Ishmael ambaye ni wakwanza anafichwa kabisa pamoja na watoto zake wengine kwa mkewe Ketura. Watoto hawa wa ibrahimu Historia yao inawekwa kapuni na mwandishi Wa kitabu cha Mwanzo katika Biblia. Huku watoto wa Yakobo(Israel) wakiibuka kidedea katika historia. Moja ya sababu kubwa ni kuwa Mwandishi Musa alitoka katika moja ya makabila ya Israel hivyo huenda aliandika kwa ubinafsi au kwa kutojua ama kufuatilia vizuri historia ya vizazi vingine vya Ibrahimu.

Jambo jingine ambalo Musa alililenga si kumtangaza Mungu kama baadhi ya watu wadhaniavyo. Musa alishindwa kuandika mambo ya Msingi ikiwemo Asili ya mwanadamu. Ameelezea juu juu chimbuko la mwanadamu kana kwamba hakuona umuhimu wake. Pengine tusimlaumu kwa kutoelezea chimbuko lake kwani huenda hata yeye hakujua au hakuwa na taarifa muhimu zenye manufaa.
Musa alishindwa kuelezea Kwa kivipi Watoto Wa Adamu walivyopata wake zao.
Pia watu wengine walitoka wapi ambao Kaini aliogopa wasije wakamuua.

Mwandishi huyu pia alitumia lugha ambayo kimsingi huweza kumletea utata mtu mwenye akili ndogo au kubwa. Kwa mfano kitendo cha kusema Nyoka akamdanganya Hawa bado kinautelezi katika fikra za watu wengi.
Iweje nyoka amdanganye hawa wakati hakupewa uwezo kama binadamu aliye mfano wa Mungu.

Lugha ya mafumbo ya kitabu cha Mwanzo huwagawa watu katika makundi mbalimbali. Wapo wanaoachwa solemba kwa akili ndogo na wapo wanaotoa tafsiri kulingana nauwezo mkubwa wa akili zao.

Kwa mfano ikiwa wapo wanaofikiria kuwa nyoka alikuwa ni Shetani huku wakijiona wapo sawa basi hata wale wanaoona Tunda lilikuwa ni uchi au sex huenda nao wakawa sawa.

Musa hamtaji Shetani Mara kwa Mara jambo ambalo linazua utata. Mara nyingi hutumia watu Kama wachawi, waganga, wanajimu n.k. Jambo ambalo hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa huu ni Uchawi au ni muujiza. Na upi ni Mungu na upi ni washetani. Kwa bahati mbaya wote husema wanamtumia Mungu. Hivyo kila upande humwona mwenzake ni Mchawi atumiwaye na Shetani.

Musa alijikita kuelezea Historia ya taifa lake na kusahau historia ya mwanadamu. Ndio maana naweza kusema Musa alisahau iwe kwa kujua au laa kusimulia habari muhimu za asili ya mwanadamu.

Dunia ipo hivi Leo kwasababu ya Musa, japokuwa kuna Imani nyingi lakini nyingi zinaamini kulikuwa na Adamu na Hawa.

Historia ya mwanadamu ikiwekwa sawa ndio ukweli kuhusu Mungu kuwepo haitakuwa na Mashaka.

Mungu yupo sema waandishi ndio huongozwa na athari mbalimbali katika kumwelezea hivyo hujikuta wakiacha maswali mengi kwa kuacha kusimulia baadhi ya matukio ya Msingi.

Musa alikuwa na athari ya elimu za kimisri hivyo lazima umakini uwepo katika kusoma habari zake na lengo lake na nafasi yake.
Babu zetu hawakubudu huyo mungu

Waliishi kwa muda mrefu kwa sheria na tamamudi zao


Hao waisrael na wenyewe walikuwa na taratibu na utamaduni wao, vilevile kwa waarabu..

Kama.MUNGU angekuwepo toka enzi na enzi asinge ruhusu watu wake wachapwe,wauwawe na kuteshwa sana kisa kufwata neno lake...maana ana UPENDO KAdr msemavyo


Angetumia nguvu zake na uwezo kutufikishia neno lake kiustaraharabu na kwa aman...maana ana NGUVU NA UWEZO huo but mpk navyo sema hv sasa huko saudia nk kuna watu wanalazimishwa kumuabudu kimabavu

Hayo maandishi meng uliyo andika umenukuu na kumeza toka kwe.ye vitabu


Uwepo tuu wa SHETANI unaleta ukakasi wa kuto kuamin uwepo wake

Au kwa vile MUNGU anaweza fanya chochote...
So akaamua kuumba kiumbe ambacho hata weza kukicontrol..??

Na kama kwann katuumba na kutuweka mitegon, n km yupo tuu anatutaza tuu kama game
Mshindi anapewa tuzo...maisha ya milele
Alieshindwa.....anaunguzwa na moto milele yote

Maisha ya woga ni utumwa
 
Ndio ukweli wenyewe.... Mungu ana uwezo mkubwa mkubwa sana asingechoose njia hii ya kumjua yeye. This one is not the best approach kuwaweka wazi viumbe, kuna watu use religion belief kama njia ya kurubuni watu wasio na hatia. Wanamiliki mali nyingi kutokana na kubrainwash innocent people...they demand vitu vya thamani kwa kuwatisha watu hawhatia

Mungu alikuwa na uwezo wa kutufikishia meseji kupitia ndoto...kupitia malaika wake its very simple. Hivi kuna anabisha suala la kwenda chooni?? iko obvious, why Mungu mpka mtumie mtu mwingine kutufikishia meseji alafu mtu huyo aache watu wengine wasimuliane... hii ni moja ya sayansi yenye udhaifu. How do u know the scriptures has not changed... kwamba hakuna mtu aliyeweka interest zake ndani yake?? Uislamu unasema kila binadamu anatembea na malaika wawili.. mmoja anaandika maovu yako na mwengine anaandika mema yako... embu jiulize mbona teknolojia hii ya Mungu inapinga na uwezo wake... kwa maana hiyo Mungu ana wasaidizi wake, how come Mungu asaidiwe kuandikiwa zambi na mema za waja wake / viumbe vyake??? Alafu anakuja kupewa a compiled report kuhusu mienendo yetu au mnampa Mungu ukurugenzi au?... yaani haina tofauti na mtu alieajiri walinzi wamlindie mali zake. Why Mungu tunamvisha ubinadamu, awe na matendo ya kibinadamu how???
Hawata kuelewa hawa watu...maana wamegoma kuelewa wanacho kuamin wameamua kukubali

Maswali n mengi sana ,yanayo tiria shaka uwepo wa huyu GOD/ALLA

vita
Magonjwa
Mafuriko
Matetemeko
Na natural disasters kibao

Ila kuna mungu mwenye nguvu wa kutuepusha na hayo,ila bado hatuepushi alafu unadhid kusema ana UPENDO na ANAJUA KILA KITU

Kuja kuamini uwepo wa huyu jamaa my b yeye aje mwenyewe kuniambia
 
Kwa hiyo uko tayari tutembee UCHI dunia nzima na tuabudu mababu zetu chini ya MITI? Hiyo ndio AKILI yako kweli???
Akili ya uelewa wako ndio imekupeleka huko...

Nilikuwa na jibu hoja yako ya kusema atheist na uvaa milegezo kuwa wanaiga kwa wazungu

But ukashindwa kueleza kuwa hata dini yako unayo abudu imetok kwao hao hao jamaaa


Sasa km ww unadhan nmeconclud kuwa kuvaa uchi au mlegezo n sahihi basi nitakupuuza hivyohivyo

Tuwashakuru kwa elimu zao na utandawazi wa mitandao

Ni swala la sisi kuamka

Mungu hayupo I swear
 
Ilikuelewa kitu inabidi tutumie milango mitano ya fahamu.....sasa Mungu hafit hapo.
Huyo UHURU JR anakazana watu wadhibishe kuto kuwepo kwa MUNGU kwan ATHEIST walianza anza tuu kusema kuwa mungu hayupo??

Waliaminishwa bila uelewa now wamekuwa wanahoji, hata historia za kwenye vitabu(bible na Quran) watu walihoji,

Mtu umezaliwa na kukuta hizi dini,ukiwa mtoto ukalamiswa kwenda kanisan au msikitini

Sasa mtu umekuwa unaupeo wa kufahamu na kuelewa huwez kuhoji??

Uliambiwa mungu wakat hauna upeo sasa unapeo wa kuomba udhibisho wa uwepo wa hicho kiumbe alafu tena ww dhibisha kama hakipo huku uliambiwa kipo si ujinga huo..???


Sifa na uwezo nao ambiwa kuhusu MUNGU haiendani na hali halisi ukihoji wanaona unakufuru...wakati matendo halisi ya hapa duniani yanatia shaka kabisa uwepo wa huyo mtu mwenye NGUVU,UPENDO NA AJUAE KILA KITU ya jana ,leo ,kesho na hata milele


Uhuru.jr
Atoe udhibisho au toa maelezo yasio na shaka maaana kama kuamin tunaamini vingi

Ila Mungu kajazwa sifa na uwezo ambao unaleta ukakasi kwamba yupo au hayupo??


Wao ndio wadhibishe uwepo wa MUNGU maana wao ndio walio anza kutueleza kama yupo.
 
Wewe jitoe tu ufahamu. Wapo watu wasio na elimu but wana maendeleo makubwa kutokana na msaada wa Mungu. Vipi wale wanaoiona miujiza ya Mungu live, hiyo miujiza inatoka wapi?
 
Wewe jitoe tu ufahamu. Wapo watu wasio na elimu but wana maendeleo makubwa kutokana na msaada wa Mungu. Vipi wale wanaoiona miujiza ya Mungu live, hiyo miujiza inatoka wapi?
Kuwa na ELIMU sio kiashiria cha kuto au kuwa na maendeleo..
Waweza kuwa na elimu ila ukawa hujaelimika..

Dunian kuendelea n ujanja ujanja,yes wajanja ni kama wakina ngwajima,kakobe nk wanapiga pesa haswaa haswaa za wajinga wanao kesha kutwa nzima wakisali na kuomba

Cheki km mzee wa upako,Mzee jibapa

Hv miujiza ni nini??

Na.waweza dhibitisha kuwa hao wameiona.hiyo miujiza??

Nasikia ngwajima alifufua Mtu au ndio kama hiyoo
 
Kwan uwongo sasa??

Mababu zetu walikuwa wanaabudu chini miti au makabulini au mapangoni etc

Hao wajanja janja wazungu na.waarabu wamekuja baadae na.vitabu vyao

Wamechapa na kupiga na.kuuwa sana babu zetu kisa kuabudu MUNGU wao

Nw mambo kibao yapo waz.but watu hawaelewi kaz kweli kweli
Ndio hivyo Mkuu, kama jamii ya waafrika ingekuwa na akili na nguvu, ingeenda kutawala Ulaya na Asia.Huko ingepeleka tamaduni za kiafrika kama lugha, na Dini.Lakini kutokana na udhaifu wa mwaafrika, amelazimishwa kufuata tamaduni za waarabu na wazungu ikiwemo kuabudu hiyo mizimu yao.
 
Huyo UHURU JR anakazana watu wadhibishe kuto kuwepo kwa MUNGU kwan ATHEIST walianza anza tuu kusema kuwa mungu hayupo??

Waliaminishwa bila uelewa now wamekuwa wanahoji, hata historia za kwenye vitabu(bible na Quran) watu walihoji,

Mtu umezaliwa na kukuta hizi dini,ukiwa mtoto ukalamiswa kwenda kanisan au msikitini

Sasa mtu umekuwa unaupeo wa kufahamu na kuelewa huwez kuhoji??

Uliambiwa mungu wakat hauna upeo sasa unapeo wa kuomba udhibisho wa uwepo wa hicho kiumbe alafu tena ww dhibisha kama hakipo huku uliambiwa kipo si ujinga huo..???


Sifa na uwezo nao ambiwa kuhusu MUNGU haiendani na hali halisi ukihoji wanaona unakufuru...wakati matendo halisi ya hapa duniani yanatia shaka kabisa uwepo wa huyo mtu mwenye NGUVU,UPENDO NA AJUAE KILA KITU ya jana ,leo ,kesho na hata milele


Uhuru.jr
Atoe udhibisho au toa maelezo yasio na shaka maaana kama kuamin tunaamini vingi

Ila Mungu kajazwa sifa na uwezo ambao unaleta ukakasi kwamba yupo au hayupo??


Wao ndio wadhibishe uwepo wa MUNGU maana wao ndio walio anza kutueleza kama yupo
Umenena vema kabisa, Theist ndo wanatakiwa wathibitishe uwepo wa Mungu na sii Atheist wasibitishe kutokuwepo kwa Mungu.

Mfano, mimi nikija kwako nikakwambia nimegundua Chemical Element mpya inayoitwa Tanzanium, halafu ukataka uthibitisho wa uwepo wa ile Element, mimi ndio natakiwa nithibitishe uwepo wa hiyo Element na siyo nikwambie wewe eti thibitisha kwamba Tanzanium haipo.
 
Wewe jitoe tu ufahamu. Wapo watu wasio na elimu but wana maendeleo makubwa kutokana na msaada wa Mungu. Vipi wale wanaoiona miujiza ya Mungu live, hiyo miujiza inatoka wapi?
Hao wanaoiona miujiza wao waendelee tu... hata uchawi nao ni muujiza.
 
Umenena vema kabisa, Theist ndo wanatakiwa wathibitishe uwepo wa Mungu na sii Atheist wasibitishe kutokuwepo kwa Mungu.

Mfano, mimi nikija kwako nikakwambia nimegundua Chemical Element mpya inayoitwa Tanzanium, halafu ukataka uthibitisho wa uwepo wa ile Element, mimi ndio natakiwa nithibitishe uwepo wa hiyo Element na siyo nikuambie wewe eti thibitisha kwamba Tanzanium haipo.
Tell people there's an invisible man in the sky who created the universe, and vast majority will believe you. Tell them the paint is wet, and they have to touch it to be sure.
 
Hawa waigaji tu. Hakuna lolote. Wanatazama tv na michezo ya kizungu kisha wanaiga bila ya kuelewa chochote.

Sijajua misingi ya mafundisho ya hawa jamaa mkuu, sikuzote wanasema wabishane kwa fact...hawaelezi watu nini hasa wanachotakiwa waamini, kazi yao ni kuwaambia watu hakuna Mungu lakin hawasemi na kutoa mbadala elekezi wakuwafanya watu wawe na euelekeo flani ambao wanakusudia, wanaacha watu in suspense watumainie science na akili zisizo na tumaini, manufaa na upotevu mtupu, Minataka niwaulize tumaini lao ni nini?

kama mwanadamu ni self existing na mtatuzi na responsible kwa kila matatizo yanayo mkabili, tuseme sawa ana uwezo huo akishayatatua na kuyakabili mazingira yake alafu inakuwaje?

Bado kuna zaidi ya kitu ambacho mwanadamu yuko subjected to....ambacho ni zaidi ya argument ambazo Atheist wanajaribu kuibua, kunamaswali na fact zaidi ya mnazojiuliza ambazo bado hamjajiuliza
 
Sijajua misingi ya mafundisho ya hawa jamaa mkuu, sikuzote wanasema wabishane kwa fact...hawaelezi watu nini hasa wanachotakiwa waamini, kazi yao ni kuwaambia watu hakuna Mungu lakin hawasemi na kutoa mbadala elekezi wakuwafanya watu wawe na euelekeo flani ambao wanakusudia, wanaacha watu in suspense watumainie science na akili zisizo na tumaini, manufaa na upotevu mtupu, Minataka niwaulize tumaini lao ni nini?

kama mwanadamu ni self existing na mtatuzi na responsible kwa kila matatizo yanayo mkabili, tuseme sawa ana uwezo huo akishayatatua na kuyakabili mazingira yake alafu inakuwaje?

Bado kuna zaidi ya kitu ambacho mwanadamu yuko subjected to....ambacho ni zaidi ya argument ambazo Atheist wanajaribu kuibua, kunamaswali na fact zaidi ya mnazojiuliza ambazo bado hamjajiuliza
Maisha ya kila mtu yanaanzia unapozaliwa na kuishia unapokufa. Anything beyond that is non of ur business...anything beyond that can be a lie.... anything u can not comprehend u leave them. Just live as you are made of... God is imaginary believe in God represent delusion.
 
Proof #1 - Statistically analyze prayer
The fact is, God never answers any prayers. The entire idea that "God answers prayers" is an illusion created by human imagination.

How do we know that "answered prayers" are illusions? We simply perform scientific experiments. We ask a group of believers to pray for something and then we watch what happens. What we find, whenever we test the efficacy of prayer scientifically, is that prayer has zero effect:

It does not matter who prays.
It does not matter if we pray to God, Allah, Vishnu, Zeus, Ra or any other human god.
It does not matter what we pray about.
If we perform scientific, double-blind tests on prayer, and if the prayers involve something concrete and measurable (for example, healing people with cancer), we know that there is zero effect from prayer. Every single "answered prayer" is nothing more than a coincidence. Both scientific experiments and your everyday observations of the world show this to be the case every single time.
For example, this article says:

One of the most scientifically rigorous studies yet, published earlier this month, found that the prayers of a distant congregation did not reduce the major complications or death rate in patients hospitalized for heart treatments.
And:
A review of 17 past studies of ''distant healing," published in 2003 by a British researcher, found no significant effect for prayer or other healing methods.
This article from March, 2006 discusses the fact that the same conclusion was reached in another study:

In the largest study of its kind, researchers found that having people pray for heart bypass surgery patients had no effect on their recovery. In fact, patients who knew they were being prayed for had a slightly higher rate of complications.
In this article we find an amazing quote where theologians and religious leaders declare that prayer has no actual effect:
Religious leaders will breathe a sigh of relief at the news that so-called intercessory prayer is medically ineffective. In a large and much touted scientific study, one group of patients was told that strangers would pray for them, a second group was told strangers might or might not pray for them, and a third group was not prayed for at all. The $2.4 million study found that the strangers' prayers did not help patients' recovery.
This is a remarkable example of "positive spin" -- religious leaders are "breathing a sigh of relief" because prayer has been shown to be meaningless. The fact that prayer is a total waste of time does not matter to them. It does not matter that all of Jesus' promises about prayer in the Bible have been proven completely false.
A peer-reviewed scientific study published in 2001 did indicate that prayer works. According to this article:

"On October 2, 2001, the New York Times reported that researchers at prestigious Columbia University Medical Center in New York had discovered something quite extraordinary. Using virtually foolproof scientific methods the researchers had demonstrated that infertile women who were prayed for by Christian prayer groups became pregnant twice as often as those who did not have people praying for them. The study was published in the Journal of Reproductive Medicine. Even the researchers were shocked. The study's results could only be described as miraculous."
This study was later proven to be completely fraudulent. However, everyone who cut out the original article in the NYTimes and posted it on their refrigerators still has that article as "proof" that prayer works.
This article entitled A prayer before dying uncovers another case where a "scientific study" of prayer is unmasked as fraudulent.

It's not just prayer that is ineffective. Not even a hopeful attitude helps. According to this article:

A positive attitude does not improve the chances of surviving cancer and doctors who encourage patients to keep up hope may be burdening them, according to the results of research released Monday.
The dictionary defines the word "superstition" in this way:

An irrational belief that an object, action, or circumstance not logically related to a course of events influences its outcome. [ref]
The belief in prayer is a superstition. It has been proven scientifically over and over again. When a prayer appears to be answered, it is a coincidence. Quite simply, prayer has absolutely no effect on the outcome of any event. The "power of prayer" is actually "the power of coincidence."
Therefore, as in Proof #1, one of two things must be happening:

God is imaginary.
God does exist, but he never answers prayers. Unfortunately, God is defined by the Bible to be a prayer-answering being. The contradiction between the reality of God and the definition of God proves that God is imaginary.
Prayer does not work because God is completely imaginary
 
Proof #1 - Statistically analyze prayer
The fact is, God never answers any prayers. The entire idea that "God answers prayers" is an illusion created by human imagination.

How do we know that "answered prayers" are illusions? We simply perform scientific experiments. We ask a group of believers to pray for something and then we watch what happens. What we find, whenever we test the efficacy of prayer scientifically, is that prayer has zero effect:

It does not matter who prays.
It does not matter if we pray to God, Allah, Vishnu, Zeus, Ra or any other human god.
It does not matter what we pray about.
If we perform scientific, double-blind tests on prayer, and if the prayers involve something concrete and measurable (for example, healing people with cancer), we know that there is zero effect from prayer. Every single "answered prayer" is nothing more than a coincidence. Both scientific experiments and your everyday observations of the world show this to be the case every single time.
For example, this article says:

One of the most scientifically rigorous studies yet, published earlier this month, found that the prayers of a distant congregation did not reduce the major complications or death rate in patients hospitalized for heart treatments.
And:
A review of 17 past studies of ''distant healing," published in 2003 by a British researcher, found no significant effect for prayer or other healing methods.
This article from March, 2006 discusses the fact that the same conclusion was reached in another study:

In the largest study of its kind, researchers found that having people pray for heart bypass surgery patients had no effect on their recovery. In fact, patients who knew they were being prayed for had a slightly higher rate of complications.
In this article we find an amazing quote where theologians and religious leaders declare that prayer has no actual effect:
Religious leaders will breathe a sigh of relief at the news that so-called intercessory prayer is medically ineffective. In a large and much touted scientific study, one group of patients was told that strangers would pray for them, a second group was told strangers might or might not pray for them, and a third group was not prayed for at all. The $2.4 million study found that the strangers' prayers did not help patients' recovery.
This is a remarkable example of "positive spin" -- religious leaders are "breathing a sigh of relief" because prayer has been shown to be meaningless. The fact that prayer is a total waste of time does not matter to them. It does not matter that all of Jesus' promises about prayer in the Bible have been proven completely false.
A peer-reviewed scientific study published in 2001 did indicate that prayer works. According to this article:

"On October 2, 2001, the New York Times reported that researchers at prestigious Columbia University Medical Center in New York had discovered something quite extraordinary. Using virtually foolproof scientific methods the researchers had demonstrated that infertile women who were prayed for by Christian prayer groups became pregnant twice as often as those who did not have people praying for them. The study was published in the Journal of Reproductive Medicine. Even the researchers were shocked. The study's results could only be described as miraculous."
This study was later proven to be completely fraudulent. However, everyone who cut out the original article in the NYTimes and posted it on their refrigerators still has that article as "proof" that prayer works.
This article entitled A prayer before dying uncovers another case where a "scientific study" of prayer is unmasked as fraudulent.

It's not just prayer that is ineffective. Not even a hopeful attitude helps. According to this article:

A positive attitude does not improve the chances of surviving cancer and doctors who encourage patients to keep up hope may be burdening them, according to the results of research released Monday.
The dictionary defines the word "superstition" in this way:

An irrational belief that an object, action, or circumstance not logically related to a course of events influences its outcome. [ref]
The belief in prayer is a superstition. It has been proven scientifically over and over again. When a prayer appears to be answered, it is a coincidence. Quite simply, prayer has absolutely no effect on the outcome of any event. The "power of prayer" is actually "the power of coincidence."
Therefore, as in Proof #1, one of two things must be happening:

God is imaginary.
God does exist, but he never answers prayers. Unfortunately, God is defined by the Bible to be a prayer-answering being. The contradiction between the reality of God and the definition of God proves that God is imaginary.
Prayer does not work because God is completely imaginary
Understanding the Rationalizations
You can find many believers who will say, "The reason why scientific experiments fail to detect God is because God must remain hidden. He does not answer prayers if he knows that he will be detected."

In order to see the truth, you need to accept that this explanation is silly. If God must remain hidden, then he cannot answer any prayers. Any "answered prayer" would expose God.

The whole notion that "God" must remain "hidden" is a total cross-threading of religious doctrine. On the one hand, believers will say that "God wrote the Bible, God incarnated himself and died on the cross for us, and God answers millions of prayers on earth every day." Then in the next breath they will say, "God must remain hidden." God obviously cannot "remain hidden" and "incarnate himself." These two items are mutually exclusive. Therefore, the explanation that "God must remain hidden" is impossible. As soon as you accept how impossible it is, you can begin to see see that God is imaginary.

In order to see the truth, you need to accept the fact that the scientific evidence is accurate and irrefutable. We have scientifically proven that God does not answer any prayers on earth. Every single "answered prayer" is nothing more than a coincidence.

We can see reality by looking at a simple example. Imagine that the rate of remission for some particularly nasty type of cancer is 5%. That means that if 20 people get this type of cancer, it is almost always fatal. Only one in twenty of the people who get the disease will survive. Knowing this, you can see what happens if we actually analyze prayer:

20 believers contract the disease
All of them have read James 5:15, so all of them pray.
19 of them die
The one who lives proclaims, "I prayed to the Lord and the Lord answered my prayers! My disease is cured! It is a miracle! I KNEW God would answer my prayers!"
You never hear about the 19 who died. No one ever writes about them in a magazine. "Person prays, then dies" is not a great headline. And since they are dead, you will never hear from any of these people.
Therefore, if you don't look at all the facts around the "answered prayer," and you only hear about the one out of twenty prayers that succeed, it appears that prayer is successful.
The fact is, believers who pray die from this disease at exactly the same rate as people who do not.
We can see the reality of this situation simply by opening our eyes and looking at the data. But we do have to open our eyes -- We have to look at both the successes AND the failures of prayer to see the reality of our world. When we take a scientific approach and we do look at both sides, we see what is really happening. God does not answer any prayers because God is imaginary.
 
Proof #2 - Think about science
Notice what happens when anyone is "miraculously cured". A person is sick, the person prays (or a prayer circle prays for the person) and the person is cured. A religious person looks at it and says, "God performed a miracle because of prayer!" That is the end of it.

A scientist looks at it in a very different way. A scientist looks at it and says, "Prayer had nothing to do with it - there is a natural cause for what we see here. If we understand the natural cause, then we can heal many more people suffering from the same condition."

In other words, it is only by assuming that the belief in prayer is a superstition and therefore God is imaginary that science can proceed.

You can see a direct example of science at work in this article:

Fleming had so much going on in his lab that it was often in a jumble. This disorder proved very fortunate. In 1928, he was straightening up a pile of Petri dishes where he had been growing bacteria, but which had been piled in the sink. He opened each one and examined it before tossing it into the cleaning solution. One made him stop and say, "That's funny."
Some mold was growing on one of the dishes... not too unusual, but all around the mold, the staph bacteria had been killed... very unusual. He took a sample of the mold. He found that it was from the penicillium family, later specified as Penicillium notatum. Fleming presented his findings in 1929, but they raised little interest. He published a report on penicillin and its potential uses in the British Journal of Experimental Pathology.

Fleming worked with the mold for some time, but refining and growing it was a difficult process better suited to a chemist. The work was taken over by a team of chemists and mold specialists, but was cut short when several of them died or relocated.

In 1935, Australian Howard Florey was appointed professor of pathology at Oxford University where he headed up a laboratory. This was a daunting task in an economically depressed time, and seeking funding for the researchers and work he hoped to do took much of his time. One researcher he hired soon after his arrival was Ernst Chain. Chain was paid to do cancer research, and work that spilled over into Florey's own interest and work on lysozyme. Chain became quite enthusiastic about the search for antibacterial chemicals. In looking back at old articles written about lysozyme, including those by Fleming in the 1920s, he happened across Fleming's paper on penicillin. "I had come across this paper early in 1938 and on reading it I immediately became interested," he wrote.

The Oxford team, as Florey's researchers have become known, began experimenting with the penicillin mold. They took it one step further than Fleming did: they did not just try it topically or in a petri dish, but injected it in live mice. With controlled experimentation, they found it cured mice with bacterial infections. They went on to try it on a few human subjects and saw amazing results. By now it was 1941, and England was at war. As Fleming first foresaw, the wartime need for an antibacterial was great, but resources were tight and penicillin still very experimental. Florey had connections at the Rockefeller Foundation in the United States, however, and it funded further research.

Did Fleming or Floring say, as a religious person would, "The death of this bacteria is a miracle! God has reached down and killed it in response to our prayers!" Of course not. Instead, they completely ignored "God" and prayer and understood that the belief in prayer is a superstition. They determined what was actually happening through experimentation and then made useful medicines from the mold. They took a rational approach rather than a religious approach and we all benefit from penicillin and its many derivatives today.
All of science works in this way. Only by assuming that prayer is meaningless and that the universe is free of miracles from God can science proceed. And as expected, we find not a single theistic explanation in science.

The reason why the entire body of science contains not a single theistic explanation or equation is because God is imaginary
 
Akili ya uelewa wako ndio imekupeleka huko...

Nilikuwa na jibu hoja yako ya kusema atheist na uvaa milegezo kuwa wanaiga kwa wazungu

But ukashindwa kueleza kuwa hata dini yako unayo abudu imetok kwao hao hao jamaaa


Sasa km ww unadhan nmeconclud kuwa kuvaa uchi au mlegezo n sahihi basi nitakupuuza hivyohivyo

Tuwashakuru kwa elimu zao na utandawazi wa mitandao

Ni swala la sisi kuamka

Mungu hayupo I swear
Dini yangu imetoka kwa hao hao jamaa ni kina nani??

Mimi nikuulize wewe Kwanini uamini hakuna Mungu??
 
mtu aliyesoma biblia vzr akamaliza anAjua kwann Mungu yupo ila hawa wanafundishwa meditation wao wanaamini ktk mungu jua na ndo biblia iliwatabiri vzr sn na tulionywa kabisa mapema...Mungu alikua wise enough kutupa baadhi ya vitabu vya unabii wa siku za mwisho yaan utabiri wa miaka zaid ya 1000mbele huko akijua tu watakuja watu ambao watajifanya watabe lkn kuonyesha mimi kiboko nakutabiria ya mbeleni miaka mingi sana mbele lkn wao watashindwa kujitabiriwa kesho yao tu ipoje?haya ya kuabudu miungu yapo toka zmn na mara kadhaa Mungu alionya...kushindwa kusoma biblia vzr kumeleta shida kubwa watu wanaangamia kwakukosa maarifa leo hii mtu hajui ht mafungu kumi kwenye biblia ila anafundishwa kupinga biblia ili kupokea imani nyingine simple coz hakuijua vzr lzm haone chenga chenga....yataibuka mengi sn ila mafunzo yote mtapinga ila pale kwenye kitu kinaitwa unabii ndo Mungu anaprove yupo..
Taja unabii mmoja uliothibitishwa navkungu
 
Back
Top Bottom