ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,357
- 15,116
Sina haja ya kumongopea mtu, uongo wa hivyo hauna faida wala hasara, sasa kwanini nijisumbue nao?Kwanza hii story unaipenda kweli et tangu una miaka minne ulianza kutafakari habari za mungu....tafuta wa kuwaongopea.
Halafu bado wewe ni mfuata mkumbo tu.
Halafu kitu kingine, kama ukiniuliza swali lazima ni kujibu, lakini kuamini au kutokuamini juu ya jibu langu ni hiari na si lazima.