ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 11,016
- 9,720
Mimi nimeshakuonyesha ata leo muingilie mkeo mbegu zikifika kwenye yai zikarutubishwa utapata mtoto , huyo wa mwanzo mbegu alizitoa nani kwenda kwa kwani ili apatikane huyo mtu wa kwanza ? hili kwangu mbona hakuna tena uthibitisho ni wewe kujibu swaliBado hujatuonyesha hilo jambo.
Na hatusogei mbele mpaka uthibitishe kauliyako.