Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta


Kaka umeuliza swali sana,heshima kwako.

Akikujibu nistue. Ila ujue nini mimi hawa jamaa kuna muda huwa nawauliza maswali sio lengo wanijibu sababu huwa najua hawawezi kujibu,ila nafanya hivyo kwa sababu kuu mbili :

1. Kwamba katika kujaribu kujibu huenda wakaona majibu na ukweli au
2. Kuonyesha ujinga wao ni wapi ulipo.
 
Mbona nilishakupa andiko kuhusu hao mitume 12 wa Yesu mpaka ukauliza Yakobo wa Zebedayo ni nani au unaugonjwa wa kusahau ? Nilikupa mathayo 10:1- 3 tunarudia kitu kimoja mda wote

Itakuwa nimesahau,niwekee tena au nirudishe kwenye hiyo post.
 
Lugha ndio huanza na maana ya kilugha ina uwanja mpaka kuliko maana ya kifani.

Rudi kasome na ujue kwamba lugha inahukumu pia.

Kaka Kiswahili gani kimetarjumu kwamba SEMEN ni Shahawa na SPERM ni manii

Usiweke maana zako hapa,ninukulie toka Kamusi ya Kiswahili na Kiingereza.

Hapa nimekuwekea kiporo cha kuja kumalizia mjadala juu ya tamko "MADHII".

Hili jambo limekuzidi umri mzee,achana nalo mpaka siku ukipata ushahidi uliweke hapa.

Nakupa faidia sasa tafuta kitabu "Aslu Shia", tafuta "Usul al Kafi",tafuta kitabu "Furu'i al Kafi" vyote vya Kishia kisha usome sio unaandika mambo usio kuwa na elimu nayo na kupotezea watu muda hapa.


Nacheka sana,wewe hata ukatae huwezi kubadilisha ukweli nilio uweka hapa. Kwahiyo ukikataa ni juu yako.

Namaliza mjadala sasa hivi.
1. Lugha ina maaana pana lakini fani ni sehemu iliokusudiwa ndio maana unapata tabu unapoambiwa SEMEN( shahawa) imeundwa na nini ? ujui chochote kuhusu Seminal fluid lazima uangaike sio kosa lako

2.Nimeshakwambia Nenda OXFORD living Dictionary kiswahili na kiingereza mbona jambo lipo wazi kule , wenye kiingereza chao wameweka Wazi SPERM sio SEMEN , mbona uelewi jambo dogo hili

3.Umeona sasa shida yako kwahiyo kwa kusoma vitabu hivyo ndio unakuwa Shia , wewe shia ni pana , ndio maana kuna wasomi kibao wanazungumzia maulidi ayafai na wengine wanazungumzia yanafaa kwani lazima kila mtu afatilie mambo hayo usikariri , mambo utapata tabu wewe , shia wanaamini kwenye mambo yote ya mtume ila yale yenye utata lazima waseme kama linawatatiza

4. Unalazimisha uongo uwe ukweli hili ndio tatizo lako
 
2.Nimeshakwambia Nenda OXFORD living Dictionary kiswahili na kiingereza mbona jambo lipo wazi kule , wenye kiingereza chao wameweka Wazi SPERM sio SEMEN , mbona uelewi jambo dogo hili
Screenshot_20191006-122257.png
IMG_20191006_122949.jpg
IMG_20191006_123304.jpg


Siku nyingine tuheshimiane,nyinyi kama hamsomi na tukiwapuuza sio kwamba tunawakimbia au vipi,yaani huwa tunawaona nyinyi ni wajinga.

Hakuna tofauti kati ya Shahawa na Manii.
 
Itakuwa nimesahau,niwekee tena au nirudishe kwenye hiyo post.
Nimekupa rejea kasome Mathayo 10:1-3 kama kuna sehemu ujaelewa utarudi humu , siwezi rudia jambo moja mda wote halafu post nyingi zimepita ila andiko ni ilo
 
View attachment 1224870View attachment 1224874View attachment 1224875

Siku nyingine tuheshimiane,nyinyi kama hamsomi na tukiwapuuza sio kwamba tunawakimbia au vipi,yaani huwa tunawaona nyinyi ni wajinga.

Hakuna tofauti kati ya Shahawa na Manii.
Hivi wewe umeelewa kilichoandikwa hapo kweli mbona jambo lipo wazi sana

Ukisoma kwenye SPERM baada ya neno " ATOZOA" wamekupa maana ya manii hii hapa
MANII : seli za gameti za kiume zilizopevuka

Ukienda kwenye SEMEN hii ndio shahawa sasa

SHAHAWA: Giligili ambazo hutolewa kutoka kwenye tezi katika pumbu na gameti za kiume

" Gameti za kiume" ndio manii ipo ndani ya Shahawa wewe umeshindwa kuelewa jambo hili ni hatari

hivi unajua kweli kusoma DICTIONARY au ndio umevamia , Shahawa ina giligili na gameti za kiume( manii) ahahahahahahajahaaha wewe jamaaa sifuri kagua vizuri kamusi sio unacopy bila kuelewa inasomwaje
 
Nimekupa rejea kasome Mathayo 10:1-3 kama kuna sehemu ujaelewa utarudi humu , siwezi rudia jambo moja mda wote halafu post nyingi zimepita ila andiko ni ilo
Swali langu bado liko pale pale. Maandiko yametumia tamko wanafunzi na tamko utume. Lakini hayajaonyesha huo utume waliupata wapi na vipi na je binadamu anatoa utume ?

Andiko hili hapa :

Basi akawaita wanafunzi wake 12 na kuwapa mamlaka ya kuwafukuza roho waovu+ na kuponya kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu.2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo; 3 Filipo na Bartholomayo;+ Tomasi+ na Mathayo+mkusanya kodi; Yakobo mwana wa Alfayo; Thadayo; 4 Simoni Mkananayo;* na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.+
 
Nithibitishe kitu gani wakati wewe ukimuingilia mkeo ndipo mtoto upatikana , mtu wa mwanzo na wa mwisho hakuna,
Sasa ndio utuambie umejuaje ya kuwa mtu wa mwanzo hakuna ? Usiwe mjinga kiadi hicho na utuambie umejuaje ya kuwa hakuna mtu wa mwisho ?

Suala la mimi kumuingilia mke wangu na kupata mtoto ni matokeo sasa rudi nyuma mpaka pale ambapo ilikuwaje mpaka sisi tukawepo ? Hili swali ndio mwenzako analikimbia mpaka muda huu na wewe ndio wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa na hakuna atake weza kujibu swali hilo.
 
Sasa ndio utuambie umejuaje ya kuwa mtu wa mwanzo hakuna ? Usiwe mjinga kiadi hicho na utuambie umejuaje ya kuwa hakuna mtu wa mwisho ?

Suala la mimi kumuingilia mke wangu na kupata mtoto ni matokeo sasa rudi nyuma mpaka pale ambapo ilikuwaje mpaka sisi tukawepo ? Hili swali ndio mwenzako analikimbia mpaka muda huu na wewe ndio wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa na hakuna atake weza kujibu swali hilo.
Hili mbona liko wazi ili mtu apatikane ni lazima mbegu zirutubishwe kwenye yai , sasa mtu wa mwanzo nani amemuingiza mwenzie mbegu wakati yuko peke yake ata hili uelewi
 
Hivi wewe umeelewa kilichoandikwa hapo kweli mbona jambo lipo wazi sana
MANII : seli za gameti za kiume zilizopevuka
SHAHAWA: Giligili ambazo hutolewa kutoka kwenye tezi katika pumbu na gameti za kiume

hivi unajua kweli kusoma DICTIONARY au ndio umevamia , Shahawa ina giligili na gameti za kiume( manii) ahahahahahahajahaaha wewe jamaaa sifuri kagua vizuri kamusi sio unacopy bila kuelewa inasomwaje
Namaliza mjadala sasa. Weka kilichonukuliwa katika hiyo Kamusi inayo onyesha utofsuti kati ya Manii na Shahawa.

Maana ya mkato katika kamusi humaanisha "au" kwa matamko yenye kufuatana.

Ulipoandikiwa "Semen,manii,shahawa" na ulipoandikiwa "Sperm,manii,sahawa" maana yake ni "Semen au manii au shahawa" na "Sperm au manii au shahawa" maelezo yaliyoongezeka ni ziada ya ufafanuzi.

Screen shot hiyo kamusi yako kama nilivyofanya mimi tuone kwamba Manii na Shahawa ni vitu viwili tofauti.

Nakufundisha sasa.
 
Swali langu bado liko pale pale. Maandiko yametumia tamko wanafunzi na tamko utume. Lakini hayajaonyesha huo utume waliupata wapi na vipi na je binadamu anatoa utume ?

Andiko hili hapa :

Basi akawaita wanafunzi wake 12 na kuwapa mamlaka ya kuwafukuza roho waovu+ na kuponya kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu.2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo; 3 Filipo na Bartholomayo;+ Tomasi+ na Mathayo+mkusanya kodi; Yakobo mwana wa Alfayo; Thadayo; 4 Simoni Mkananayo;* na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.+
Yesu alikuwa na wanafunzi wengi tu kama ni msomi wa biblia ila katika hao akachagua 12 akawapa utume , Yesu ni Mungu akitoa utume anatoa kama hapo alivyotoa , Yesu ni mwanzo na mwisho alpha na Omega unauliza maswali gani hayo ya kitoto
 
Hili mbona liko wazi ili mtu apatikane ni lazima mbegu zirutubishwe kwenye yai , sasa mtu wa mwanzo nani amemuingiza mwenzie mbegu wakati yuko peke yake ata hili uelewi
Ndio utuonyeshe sasa kwanini hakuna mtu wa mwanzo,tatizo hamfikirii embu jaribu kujiuliza je hakuna mtu wa mwanzo na hawa mababu zetu mpaka huko mwisho ilikuwaje wakatokea ?

Wewe unafaa kupigwa viboko.
 
Namaliza mjadala sasa. Weka kilichonukuliwa katika hiyo Kamusi inayo onyesha utofsuti kati ya Manii na Shahawa.

Maana ya mkato katika kamusi humaanisha "au" kwa matamko yenye kufuatana.

Ulipoandikiwa "Semen,manii,shahawa" na ulipoandikiwa "Sperm,manii,sahawa" maana yake ni "Semen au manii au shahawa" na "Sperm au manii au shahawa" maelezo yaliyoongezeka ni ziada ya ufafanuzi.

Nakufundisha sasa.
Unaambiwa kabisa hii ni giligili na hii ni seli halafu unasema kitu kimoja wewe jamaa kasome tena , unatia mashaka kweli
Kwenye SPERM chini kuna neno ATOZOA pale chini manii imeekwa peke yake , nakutolewa maana yake kuwa

Manii- ni seli za gameti za kiume zilizopevuka , hii ndio maana yake sasa vip seli iwe giligili tena ? muwe mnajifunza kwa kuelewa sio kukariri
 
Ndio utuonyeshe sasa kwanini hakuna mtu wa mwanzo,tatizo hamfikirii embu jaribu kujiuliza je hakuna mtu wa mwanzo na hawa mababu zetu mpaka huko mwisho ilikuwaje wakatokea ?

Wewe unafaa kupigwa viboko.
Tatizo mnalazimisha mambo watu wapo kama walivyo hakuna wa mwanzo wala wa mwisho , ili tupate mtu mbegu lazima zifike kwenye yai, sasa.mtu wa mwanzo mbegu zilifika kwenye yai la kuku au njiwa acha porojo
 
Unaambiwa kabisa hii ni giligili na hii ni seli halafu unasema kitu kimoja wewe jamaa kasome tena , unatia mashaka kweli
Kwenye SPERM chini kuna neno ATOZOA pale chini manii imeekwa peke yake , nakutolewa maana yake kuwa

Manii- ni seli za gameti za kiume zilizopevuka , hii ndio maana yake sasa vip seli iwe giligili tena ? muwe mnajifunza kwa kuelewa sio kukariri
Kijana unapata tabu sana,unaona kuwa ni wajinga walivyoambatanisha manii na shahawa katika mzizi wa maana huko juu ? Hivi hujiulizi tu hilo au mpaka nikusaidie kufikiri ?
 
Tatizo mnalazimisha mambo watu wapo kama walivyo hakuna wa mwanzo wala wa mwisho , ili tupate mtu mbegu lazima zifike kwenye yai, sasa.mtu wa mwanzo mbegu zilifika kwenye yai la kuku au njiwa acha porojo
Bado hujatuonyesha hilo jambo.

Na hatusogei mbele mpaka uthibitishe kauliyako.
 
Yesu alikuwa na wanafunzi wengi tu kama ni msomi wa biblia ila katika hao akachagua 12 akawapa utume , Yesu ni Mungu akitoa utume anatoa kama hapo alivyotoa , Yesu ni mwanzo na mwisho alpha na Omega unauliza maswali gani hayo ya kitoto
Kwahiyo una kubali ya kuwa kuna mwanzo sio ?

Safi kabisa,sasa ndio utuonyeshe kwanini hakuna wa mwanzo katika mtu na huku unakubali Yesu ni wa Mwanzo na wa Mwisho ?

Au unawasikisha mawazo ya Wakristo huku wewe ukiwa ni mkana Mungu ?
 
Back
Top Bottom