Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Hili limeisha kama utakuwa na swali lingine baada ya kujibu maswali yangu,nitag nikujibu.

Nipo ....
Hilo lilikua sio swali ulikua unakumbushwa tu

Swali hili hapa

Thibitisha mungu yupo
 
Sasa ndio ujibu kile kilicho ulizwa mzee. Mbona unakwepa kwepa ?

Usirudie swali ambalo nimeshakujibu.

Kijana laiti kama ungekuwa unajibu maswali yangu sikufichi huu ujinga usingekuwa unauuliza.

Unakubali kama jua lipo ? Au hata kusikia kwa watu tu ?

Jua halipimwi mzee,jua lipo na kutazama hakuitei kupimwa ndio maana pakawa na vipimo.

Uwepo wa jambo ndio uhalisia.

Nakuja kuendelea hapa niliposhia.

Ila usisahau kujibi maswali uangu.
Hujathibitisha mungu yupo, naona unaamisha magoli kwenye jua

Thibitisha mungu yupo kwanza
 
Safi kabisa,nakufundisha sasa,haya maneno inaonekana anasimulia Mathayo au mtu mwingine.

Kwanza tunahakiki habari hii ili tuweze kuiamini na kuifanyia kazi. Sasa naomba ujibu maswali haya :

1. Mathayi aliyapata wapi hayo maneno ?
2. Aliyaandika lini maneno hayo ?
3. Je huyo Mathayo alikuwa ni katika wanafunzi wa Yesu au nani ?
4. Nani aliye muona malaika hapo ?

Jibu maswali ya hapo juu.
Hapa umekutana na chuma kweli kweli utaelewa tu
1.Mathayo alipata maneno toka kwa mama mzazi wa Yesu mwenyewe na Maria mwengine walioenda kuona kaburi la Yesu na kutokewa na malaika , kisha kupewa amri ya kutangaza jambo lile kuwa Yesu kafufuka , tena ukisoma mbele Yesu akawatokea mwenyewe mama yake na Maria mwengine nakuwaambia kweli amefufuka waende galilaya huko akawatokea tena na wanafunzi wote kukiri kuwa Yesu kafufuka

2.Aliandika wakati mambo hayo yalipotokea( zaidi ya miaka 1500 imepita )

3.Mathayo Alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu katika wale 12 aliowachagua

4. Mama wa Yesu alimuona malaika na Maria mwengine

Kuna swali jingine hapa ndipo maarifa yalipo
 
Hujaeleza hata shida yake yeye moja yenye kulazimu ajitokeze,kwani hayo unayoeleza yakifanyika yeye anapata hasara gani au anadhulika na nini?
Kwahiyo watu kudhurika kwa maelezo aliyoyaleta kwa watu wewe unaona jambo hilo ni sawa !! Suni na shia huu mgogoro ni mwepesi kama atashuka nakusema ukweli mmoja tu wote wakaufata , hawezi kudhurika kwasababu ayupo ata dhiki zinazowapata wafuasi wake kwa kutoelewa maandiko yaliyojaa uuaji na ukatili mkubwa wao kwa wao na wasio wao , ajali anasubiri siku ya hukumu awachome moto watu wasiolewa ukweli upi badala ya kushuka kuwaeleza anawasubir awachome hopeless kabisaa ahahahaaaaaaha
 
Hujathibitisha mungu yupo, naona unaamisha magoli kwenye jua

Thibitisha mungu yupo kwanza
Atakwambia AYA ndio uthibitisho , ukimtolea AYA za wengine Yesu kafufuka anaingia huku anatokea huku maana aya izo aziamini halafu anakulazimisha wewe uwe muumini wa AYA zake hopeless kabisa ahahahhhahahahaha
 
Halafu unataka ujadiliane na mimi ?

Najadiana na wewe kivipi usema nataka

Naomba unipe tofauti kati ya mtu na mwanadamu,na unipe asili ya maneno hayo. Ujinga mzigo.[/QUOTE]

mtu ni mimi, na binadamu ni wewe unayeamini riwaya ya kuraan iliyoandika utumbo kua mtu wa kwanza ni adam

Ukijibu swali hili naacha kutumia hii Id ya Zurri.

Unahisi bado hujajibiwa??



Safi sana,kaka kwa heshima na taadhima niko chini ya miguu yako aisee,naomba unijibu tu yale maswali yangu mawili niliyo kuuliza baada ya ile aya,pamoja na uoga wangu msaada tafadhali.
Hakuna swali umeuliza sa kivipi nikujibu??

Hujathibitisha mungu yupo



Jibu swali kijana,unajua kuna muda unapojibu swali unalo ulizwa ndio unaona jibu humo na utajua kwanini umeulizwa hivyo.
Kwa principle hiyo ukijibu swali hili utakua umepata jibu lako

Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo??

Sasa leo mjinga kama wewe huoni umuhimu wa kujua chanzo wakati kila siku watu katika kutatua matatizo wanatafuta chanzo cha jambo au kitu.
Kwaiyo kila kilichopo kina chanzo na hakuna kilichopo kikakosa chanzo??


Huwezi kuvaa viatu vyangu kijana,ona vinavyo kupwaya.

viatu vya ujinga hata kuvigusa siwezi

Jibu swali,wewe huna chanzo ?

Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo?? kila kilichopp ni lazima kiwe na chanzo??

Unajua mpaka najiuliza kwanini hujibu ninacho kuuliza ?

Ni kwasababu ukipewa jibu hujui kama umejibiwa

Ukija na majibu ya maswali niliyo kuuliza tutaendelea kutokea hapo.

hujauliza swali sa kivipi nijibu??

Swali ni rahisi je kile kilicho andikwa mule cha uongo ?
we unajuaje kama ni ukweli?

Kama cha uongo,sasa ndio ujibu yale maswali a uonyeshe uongo wake.
Kimejikita kwenye hekaya za imani na sio fact

Kwaiyo hiwezi kuthibitisha mungu yupo nje ya kuran

Kinyume na hapo wewe ni mjinga na unabisha ujinga.
Hujathibitisha mungu yupo

Sasa unapo kanusha ndio uwe unakosoa kielimu kisha unatupa ukweli.
hizi habari za kusema sijui kanusha kielimu hupaswi hata kuzizungumzia maana ulishindwa kuelezea nini maana ya elimu

Btw hujathibitisha mungu yupo

Sasa unapokanusha bila kukosoa na kuweka ukweli wewe unaitukana elimu na unakuwa unaitumia akili vibaya.
Ukweli niliokupa, mungu hayupo


Safi kabisa,ni nini maana ya Riwaya,maana kila kitu kimeandikwa mpaka maana ya riwaya inajulikana.

Tuendelee.
Kujua maana ya riwaya hakukusaidii wewe uweze kuthibitisha mungu yupi

Hujathibitisha mungu yupo kwasababu hayupo
 
Kwahiyo watu kudhurika kwa maelezo aliyoyaleta kwa watu wewe unaona jambo hilo ni sawa !! Suni na shia huu mgogoro ni mwepesi kama atashuka nakusema ukweli mmoja tu wote wakaufata , hawezi kudhurika kwasababu ayupo ata dhiki zinazowapata wafuasi wake kwa kutoelewa maandiko yaliyojaa uuaji na ukatili mkubwa wao kwa wao na wasio wao , ajali anasubiri siku ya hukumu awachome moto watu wasiolewa ukweli upi badala ya kushuka kuwaeleza anawasubir awachome hopeless kabisaa ahahahaaaaaaha
Nimekuuliza hayo yote yana mpa hasara gani au kumdhuru nini au alazimike kujitokeza? Hujajibu hili swali naona unawazungumzia watu badala ya kueleza ni vp Mungu analazimika kujitokeza.
Kwa sababu ni kana kwamba unataka kutuambia ya kwamba Mungu hakuweza kufanya hali iwe vile atakavyo na kwahiyo yanayoendelea duniani analazimika kujitokeza ili ndio mambo yake yawe sawa.
 
Nimekuuliza hayo yote yana mpa hasara gani au kumdhuru nini au alazimike kujitokeza? Hujajibu hili swali naona unawazungumzia watu badala ya kueleza ni vp Mungu analazimika kujitokeza.
Kwa sababu ni kana kwamba unataka kutuambia ya kwamba Mungu hakuweza kufanya hali iwe vile atakavyo na kwahiyo yanayoendelea duniani analazimika kujitokeza ili ndio mambo yake yawe sawa.
Hasara kwa Mungu mwenyewe huo mda anaotumia kuandaa moto ni vyema angekuja kuwaeleza angalau wale wanaomuamini kwenye vitabu vyake kuwa msigombane usahihi huko hivi , sasa ata hilo limemshinda anaacha watu wanatoana roho kwa kigezo kitabu cha Mungu , huu upuuzi aje aumaliza anatuletea tabu huku kusaidia chakula waumini wake wakiuana
 
Acha kukimbia kimbia eleza unachotaka kueleza upewe majibu
Kama unachoelezwa hukielewi, majibu utayatolea wapi?

Ninyi atheists wa humu Jf hoja za wanaoamini uwepo wa Mungu mnazisoma kwa jicho la nimjibu vipi!

Huwa hamsomi na kuangalia mantiki ya hoja iliyoandikwa ni ipi!

Sasa wengine tuna mengi ya kufanya! Usimba na Uyanga hatuna!
 
Hasara kwa Mungu mwenyewe huo mda anaotumia kuandaa moto ni vyema angekuja kuwaeleza angalau wale wanaomuamini kwenye vitabu vyake kuwa msigombane usahihi huko hivi , sasa ata hilo limemshinda anaacha watu wanatoana roho kwa kigezo kitabu cha Mungu , huu upuuzi aje aumaliza anatuletea tabu huku kusaidia chakula waumini wake wakiuana
Wewe unajua huo moto anauwaanda vp hadi useme anapata hasara?hebu eleza ni vp huo moto anavyouandaa ili tuweze kujua anapataje hasara?

Una ushahidi gani kuwa limemshinda ?maana hichi ndio nilikuwa nasema, hivyo unavyotaka Mungu ajitokeze ni kana kwamba kuna jambo limemshinda hana uwezo wa kulifanya liwe kama atakavyo kwa maana hiyo analazimika kuja. Kama aliweka pepo na moto kwa watakaomuamini na wasiomuamini iweje tena wewe useme ajitokeze?hapo tena ndio kutaleta maana gani?
 
Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.

Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.

Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!

Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.

Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.

Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo
Nimekuelewa vizuri sana.
 
Wewe unajua huo moto anauwaanda vp hadi useme anapata hasara?hebu eleza ni vp huo moto anavyouandaa ili tuweze kujua anapataje hasara?

Una ushahidi gani kuwa limemshinda ?maana hichi ndio nilikuwa nasema, hivyo unavyotaka Mungu ajitokeze ni kana kwamba kuna jambo limemshinda hana uwezo wa kulifanya liwe kama atakavyo kwa maana hiyo analazimika kuja. Kama aliweka pepo na moto kwa watakaomuamini na wasiomuamini iweje tena wewe useme ajitokeze?hapo tena ndio kutaleta maana gani?
Kama kuumba alitumia siku 6 sasa unashangaa nini kutumia muda kuandaa moto !! Ushahidi wa kushindwa ni kitendo cha kuwaacha ata waumini wake wawe kama walevi awaelewi kipi ni kipi , mpaka wanatoana roho , ata hili la kuwapa tafsiri ameshindwa sasa ataweza lipi ?
 
Kama unachoelezwa hukielewi, majibu utayatolea wapi?

Ninyi atheists wa humu Jf hoja za wanaoamini uwepo wa Mungu mnazisoma kwa jicho la nimjibu vipi!

Huwa hamsomi na kuangalia mantiki ya hoja iliyoandikwa ni ipi!

Sasa wengine tuna mengi ya kufanya! Usimba na Uyanga hatuna!
Kwahiyo kwa akili yako yeyote anaehoji Mungu ni atheists ? acha kukariri na kuwapa watu majina wasiyo kutajia
 
Najadiana na wewe kivipi usema nataka

Naomba unipe tofauti kati ya mtu na mwanadamu,na unipe asili ya maneno hayo. Ujinga mzigo.

mtu ni mimi, na binadamu ni wewe unayeamini riwaya ya kuraan iliyoandika utumbo kua mtu wa kwanza ni adam



Unahisi bado hujajibiwa??




Hakuna swali umeuliza sa kivipi nikujibu??

Hujathibitisha mungu yupo




Kwa principle hiyo ukijibu swali hili utakua umepata jibu lako

Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo??


Kwaiyo kila kilichopo kina chanzo na hakuna kilichopo kikakosa chanzo??




viatu vya ujinga hata kuvigusa siwezi



Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo?? kila kilichopp ni lazima kiwe na chanzo??



Ni kwasababu ukipewa jibu hujui kama umejibiwa



hujauliza swali sa kivipi nijibu??


we unajuaje kama ni ukweli?


Kimejikita kwenye hekaya za imani na sio fact

Kwaiyo hiwezi kuthibitisha mungu yupo nje ya kuran


Hujathibitisha mungu yupo


hizi habari za kusema sijui kanusha kielimu hupaswi hata kuzizungumzia maana ulishindwa kuelezea nini maana ya elimu

Btw hujathibitisha mungu yupo


Ukweli niliokupa, mungu hayupo



Kujua maana ya riwaya hakukusaidii wewe uweze kuthibitisha mungu yupi

Hujathibitisha mungu yupo kwasababu hayupo
[/QUOTE]
Kazi yangu imeisha.

Nasubiri majibu tu hapa ili uulize maswali yako kisha niendelee.
 
Kama kuumba alitumia siku 6 sasa unashangaa nini kutumia muda kuandaa moto !! Ushahidi wa kushindwa ni kitendo cha kuwaacha ata waumini wake wawe kama walevi awaelewi kipi ni kipi , mpaka wanatoana roho , ata hili la kuwapa tafsiri ameshindwa sasa ataweza lipi ?
Anauwandaa vp huo moto maana unasema anapata hasara?na katika huo uumbaji wa siku 6 huo moto hukuwepo?

Huo ushahidi au mtazamo wako? Sasa hawa wanaoitwa mitume walikuwa na kazi gani kama unasema Mungu kawaacha watu hawaelewi kipi ni kipi?
 
1.Mathayo alipata maneno toka kwa mama mzazi wa Yesu mwenyewe na Maria mwengine walioenda kuona kaburi la Yesu na kutokewa na malaika , kisha kupewa amri ya kutangaza jambo lile kuwa Yesu kafufuka , tena ukisoma mbele Yesu akawatokea mwenyewe mama yake na Maria mwengine nakuwaambia kweli amefufuka waende galilaya huko akawatokea tena na wanafunzi wote kukiri kuwa Yesu kafufuka
Naendelea kukufundisha,usiweke maneno tupu weka na marejeo hatupigi story za vijiweni.

Maneno hayo umeyapata wapi ? Na kupitia kwa nani yamekufikia wewe.


Naendelea kuhakiki habari,mpaka ukweli utakapo fichuka.
2.Aliandika wakati mambo hayo yalipotokea( zaidi ya miaka 1500 imepita )
Nipe ushahidi wa haya.
3.Mathayo Alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu katika wale 12 aliowachagua
Liko wapi hili ?
4. Mama wa Yesu alimuona malaika na Maria mwengine
Hujaweka andiko kuonyesha hilo.
Kuna swali jingine hapa ndipo maarifa
Swali la msingi bado hujatoa uthibitisho.

Nasubiri.
 
Najiuliza kwanini hujibu nilicho kuuliza ? Nilikuuliza utunge sentensi yanye kuleta maana,na hii umeitunga kifata mjengeko wa na muunganiko wa maneno ila haina maana. Sasa tunga sentensi ilete maana.

Ona sasa ulivyokuwa mjinga,nani alikwambia uchanganuz wa sentensi unaishia katika mjengeko tu ?

Changanua na maana ya Sentensi. Sentesi haina maana wala hafidishi kabisa. Hapo hujachambua sentensi bali umetoa majina ya maneno katika hiyo sentensi. Kazi yangu bado iko pale pale,nenda kawaulize wataalamu wa Kiswahili,wakwambie kwamba hoyo sentensi ina maana au haina maana.

Kisha sasa rudi kwenye msingi mama ujihukumu,kuihukumu hiyo sentensi yako,nao msingi wa WASWAHILI. Kwamba ukiwazungumzisha sentensi hiyo wanaukuelewa.

Sababu bado huelewi wapi ulipoegemea,nakuuliza maswali yafuatayo :
1. Ili kitu kiwe kimejificha hutakiwa kikidhi sifa gani ?
2. Je kila kisicho onekana kimejificha ? Hapa unatakiwa uthibitishe hilo.
3. Sababu wewe umeonekana kama umeidandia hii hoja,kwa kulusaidia naomba ujibu swali hili,je ni kweli Mola wetu sisi amejificha na je unakubaliana na kauli hiyo ?

Pili,nukukumbusha naona umerudia tamko "Kiarifu" na "Kielezi" yote yana maana moja na ilitosheleza tu aidha kutumia "Kiarifu" au "Kielezi". Kurudia kwako maneno hayo mawili,kunaonyesha wazi ulichokiandika umekikariri ns hukijui.

Nipo ...
Mufti 'wewe ni Msumbufu'
 
Back
Top Bottom