ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 2,546
- 3,134
Huu nao ni usumbufuRejea ulichokiandika mpaka nikakujibu.
Huu nao ni usumbufuRejea ulichokiandika mpaka nikakujibu.
mtu ni mimi, na binadamu ni wewe unayeamini riwaya ya kuraan iliyoandika utumbo kua mtu wa kwanza ni adam
Unahisi bado hujajibiwa??
Hakuna swali umeuliza sa kivipi nikujibu??
Hujathibitisha mungu yupo
Kwa principle hiyo ukijibu swali hili utakua umepata jibu lako
Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo??
Kwaiyo kila kilichopo kina chanzo na hakuna kilichopo kikakosa chanzo??
viatu vya ujinga hata kuvigusa siwezi
Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo?? kila kilichopp ni lazima kiwe na chanzo??
Ni kwasababu ukipewa jibu hujui kama umejibiwa
hujauliza swali sa kivipi nijibu??
we unajuaje kama ni ukweli?
Kimejikita kwenye hekaya za imani na sio fact
Kwaiyo hiwezi kuthibitisha mungu yupo nje ya kuran
Hujathibitisha mungu yupo
hizi habari za kusema sijui kanusha kielimu hupaswi hata kuzizungumzia maana ulishindwa kuelezea nini maana ya elimu
Btw hujathibitisha mungu yupo
Ukweli niliokupa, mungu hayupo
Kujua maana ya riwaya hakukusaidii wewe uweze kuthibitisha mungu yupi
Hujathibitisha mungu yupo kwasababu hayupo
Kazi yangu imeisha.
Nasubiri majibu tu hapa ili uulize maswali yako kisha niendelee.
--Mathayo ni mwanafunzi wa Yesu kasome MATHAYO 10:2-4Naendelea kukufundisha,usiweke maneno tupu weka na marejeo hatupigi story za vijiweni.
Maneno hayo umeyapata wapi ? Na kupitia kwa nani yamekufikia wewe.
Naendelea kuhakiki habari,mpaka ukweli utakapo fichuka.
Nipe ushahidi wa haya.
Liko wapi hili ?
Hujaweka andiko kuonyesha hilo.
Swali la msingi bado hujatoa uthibitisho.
Nasubiri.
Nimekwambia Mungu huo mda wa kuandaa moto ni vyema akautumia kwa kazi nyingine , hiyo hasara umesema wewe, kwani matatizo ya mashia ni masuni mtume aliyaacha au yalikuja baadae ? na Mungu wenu kasitisha mitume sasa ni wakati umefika aje mwenyewe tumechoka kuona mkiuana kwa kisa maandiko mliyokunywa kama ulevi , tena amuelewi kipi na kipi , mnabaki kutuletea tabu duniani , ashuke amalize matatizo yake aliyoyaasisiAnauwandaa vp huo moto maana unasema anapata hasara?na katika huo uumbaji wa siku 6 huo moto hukuwepo?
Huo ushahidi au mtazamo wako? Sasa hawa wanaoitwa mitume walikuwa na kazi gani kama unasema Mungu kawaacha watu hawaelewi kipi ni kipi?
Safi kabisa.Huu nao ni usumbufu
Hujajibu maswali yangu,sijui kwanini ?Hujathibitisha mungu yupo
Hili tatizo lingine sasa. Hawa ni mitume na utume wa hawa wameupata wapi na wamepewa na nani ?MATHAYO 10:2-4
"Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya : wa kwanza Simoni alieitwa Petro, na Andrea Nduguye ; Yakobo wa zebedayo , na Yohana nduguye, Filipo na Bartholomayo ; Tomaso , na MATHAYO mtozo ushuru ,
Hujajibu swali langu nilokuuliza mapemaHujajibu maswali yangu,sijui kwanini ?
Jambo nimelithibitisha kitambo sana.
Unang'ang'ania anauwandaa moto ila huelezi anauwandaa vp kiasi cha kuona unampotezea muda na ndiyo hasara yenyewe.Nimekwambia Mungu huo mda wa kuandaa moto ni vyema akautumia kwa kazi nyingine , hiyo hasara umesema wewe, kwani matatizo ya mashia ni masuni mtume aliyaacha au yalikuja baadae ? na Mungu wenu kasitisha mitume sasa ni wakati umefika aje mwenyewe tumechoka kuona mkiuana kwa kisa maandiko mliyokunywa kama ulevi , tena amuelewi kipi na kipi , mnabaki kutuletea tabu duniani , ashuke amalize matatizo yake aliyoyaasisi
kwani wewe utume unajua ni kitu gani mpaka unauliza maswali mengi kiasi hiko ? Upande huu ata wanawake ni manabii, Yakobo wa Zebedayo si mwanafunzi wa Yesu au ujaona hapo jina lake wewe vip ahahahaahaaaaHili tatizo lingine sasa. Hawa ni mitume na utume wa hawa wameupata wapi na wamepewa na nani ?
Huyu Yakobo wa Zebedayo ni nani ?
Badala ya kusubir kuwachoma watu huo muda, wa kuandaa huo moto ni bora angeshuka kuja kuwapatanisha mashia na masuni, na kwa mafundisho yenu hayo kama atoshuka Mungu wenu mtaendelea kuuana kama kuku maana akili zenu finyu kutokana na ulevi wa maandiko yasieleweka kwa maana moja kwa wote, ukweli mchungu kumeza huuUnang'ang'ania anauwandaa moto ila huelezi anauwandaa vp kiasi cha kuona unampotezea muda na ndiyo hasara yenyewe.
Si yatima tu yule aliyefiwa na mzazi/wazazi! Bali yatima hasa ni yatima wa kukosa elimu na adabu.Kwahiyo kwa akili yako yeyote anaehoji Mungu ni atheists ? acha kukariri na kuwapa watu majina wasiyo kutajia
Hujajibu swali langu nilokuuliza mapema
Thibitisha mungu yupo
Nani alikwambia Atheists wanahoji ? Wale wanakanusha na si kuhoji.Kwahiyo kwa akili yako yeyote anaehoji Mungu ni atheists ? acha kukariri na kuwapa watu majina wasiyo kutajia
Twende taratibu tu mkuu,kwani Mungu anapata hasara gani akiwachoma hao watu moto?hebu nijibu kwanza.Badala ya kusubir kuwachoma watu huo muda, wa kuandaa huo moto ni bora angeshuka kuja kuwapatanisha mashia na masuni, na kwa mafundisho yenu hayo kama atoshuka Mungu wenu mtaendelea kuuana kama kuku maana akili zenu finyu kutokana na ulevi wa maandiko yasieleweka kwa maana moja kwa wote, ukweli mchungu kumeza huu
Hujauliza swaliJambo jepesi sana. Ukijibu maswali yangu.
Utauliza yako kisha tutaendelea.
Wanahoji mkishindwa kuwapa majibu automatically madai yenu yanakuwa uongo ndipo ukanusho unapoingiaNani alikwambia Atheists wanahoji ? Wale wanakanusha na si kuhoji.
Sio anapata hasara bali amekosa busara ata ya kuchambia chooni mkuu, ndio maana wafuasi wake wamekuwa wapuuzi wakauana ovyo angali yeye akikodoa macho kama kabanwa na mlangoTwende taratibu tu mkuu,kwani Mungu anapata hasara gani akiwachoma hao watu moto?hebu nijibu kwanza.
Ahahahahahaaaha narudia tena kila anaehoji uwepo wa Mungu ni atheists? Miungu imejaa duniani lazima tuhoji kijana au ujui kuwa ata Yehova ni Mungu , na je unafahamu kuna Mungu anaitwa Brahman huko India acha kukariri weweSi yatima tu yule aliyefiwa na mzazi/wazazi! Bali yatima hasa ni yatima wa kukosa elimu na adabu.
Ungelikuwa si miongoni mwa atheist ungelimuhoji Mungu au kumjengea mada Mungu kwa adabu. Kwa sababu shauku ya mwenye kuhoji ya anayetaka kujua ipo wazi.
Kingine, unajibiwa kwa logic! Na logic inakutoa point A inakupeleka point B kwa umaridhawa. Lakini wewe hutaki kusafiri na logic, bali lengo lako ni kusoma alichokiandika mtu ili umjibu vipi!
Hakika ya uzuri ni uzuri wa adabu na akili! Wewe umevikosa hivi vyote! Logic iko wazi, imagination ipo wazi. Na kwa hivyo viwili utajua lengo la unayeweka munakasha liko wapi.
Na kingine mnachukulia ni sifa. Kwamba ile dah! Yule jamaa ni mpingaji wa uwepo wa Mungu. Sasa kwa hayo yote nifanye munakasha na mtu wa namna hiyo ili iweje?
Kaburu ni kaburu tu! Na mpingaji wa uwepo wa Mungu ni mpingaji tu wa uwepo wa Mungu.