Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Kwahiyo AYA ndio uthibitisho kuwa Mungu yupo ,na mimi nakupa AYA kuwa YESU kasulubiwa utakubali hilo jambo ?
Unauliza maswali ya kitoto sana.

Weka aya hiyo kisha uthibitishe ukweli wa habari hiyo,na mimi nitakupa aya kuonyesha hakusulubiwa na nitakupa uthibitisho wa ukweli wa ninacho kisema.

Twende kazi. Anza kisha namaliza.
 
Kivipi ni jibu maswali ambayo hayanihusu??
Uoga jambo baya sana na humfanya mtu kuwa mjinga zaidi.

Weww sio mwanadamu ? Wewe huna chanzo ? Wewe umejiumba ? Sasa vili useme yale maswali hayakuhusu ?

Wewe si unakanusha uwepo wa Mola ? Au leo unajikana ?

Nasema hivi hatuendi mbele mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.
 
Unauliza maswali ya kitoto sana.

Weka aya hiyo kisha uthibitishe ukweli wa habari hiyo,na mimi nitakupa aya kuonyesha hakusulubiwa na nitakupa uthibitisho wa ukweli wa ninacho kisema.

Twende kazi. Anza kisha namaliza.

Aya utaipimaje kujua ni kweli??
 
Unauliza maswali ya kitoto sana.

Weka aya hiyo kisha uthibitishe ukweli wa habari hiyo,na mimi nitakupa aya kuonyesha hakusulubiwa na nitakupa uthibitisho wa ukweli wa ninacho kisema.

Twende kazi. Anza kisha namaliza.
Mathayo 28:5-8
" Lakini yule malaika akawaambia wale wanawake, “Nyinyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa. Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala. Basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka kwa wafu, na sasa anawatangulieni kule Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni.” Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake."

Hiyo aya inasema wazi tena msemaji malaika kuwa Yesu kasulubiwa na kafufuka "
Swali langu unaiamini ? maana umempa jamaa AYA kwamba eti Allah kasema ndio uthibitisho wako kuwa eti Mungu yupo masikhara makubwa aya
 
hali halisi we unaijuaje

Naijua kwa yenyewe kuanza kutangulia na kuwepo.
nikakazia, nini kimekufanya ufikiri kua ni lazima tuwe tumeumbwa?? Kwani haiwezekani kitu kikawepo bila chanzo??
Haya maswali ulitakiwa kuuliza baada ya kujibu maswali yangu.

Sasa jibu maswali yangu kisha ndio uulize maswali yako na mimi nakujibu,sababu nimechagua hilo na sitaacha kujibu hata swali moja na mkiona sijajibu mnikumbushe.
utoto huu we hujaufanya??

Jibu swali upate kujua jibu lako
Sijaacha hata swali moja.
Leo siachi kitu na quote hadi porojo za mlevi
Na mimi siachi kukujibu swali hata moja na mimi siendi mbele mpaka ujibu maswali yangu.
 
Uoga jambo baya sana humfanya mtu kuwa mjinga zaidi.
mtu anaye jinadi kua yeye sio muoga au kuita wengine waoga mara kwa mara mtu huyo ni muoga sana.

Wewe sio mwanadamu?
Mimi mtu

Wewe huna chanzo?
Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo??

Wewe umejiumba?
Kwani haiwezekani kitu kikawepo bila chanzo??

Sasa vili useme yale maswali hayakuhusu?
maswali yametoka kwenye kitabu cha imani tena waisilamu inamaana hata mkristo tu hakimuhusu, utaniambieje mimi kua yananihusu

Hujathibitisha mungu yupo

Wewe si unakanusha uwepo wa Mola ? Au leo unajikana ?
Navyokanusha mungu hayupo nakua Nakanusha hadi hizo riwaya kua zimeandika uwongo

Nasema hivi hatuendi mbele mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.

Hujathibitisha mungu yupo. Hizo karatasi za riwaya uzoziita ufunuo wa imani naziona kama lizla tu
 
Naijua kwa yenyewe kuanza kutangulia na kuwepo.

utajuaje kwamba imetangulia, na unatumia mfumo upi kujua hilo??

Haya maswali ulitakiwa kuuliza baada ya kujibu maswali yangu.
hilo sio jukumu lako, huwezi nipangia kipi kianze kipi kifate

ushazingua sasa vipi unichagulie silaha??

Sasa jibu maswali yangu kisha ndio uulize maswali yako na mimi nakujibu,sababu nimechagua hilo na sitaacha kujibu hata swali moja na mkiona sijajibu mnikumbushe.
unakumbuka nilivyokuuliza uthibitishe mungu yupo hukujibu ila ukauliza swali?? Unalikumbuka swali ulilouliza?


Sijaacha hata swali moja.

hili hapa

Thibitisha mungu yupo

Na mimi siachi kukujibu swali hata moja na mimi siendi mbele mpaka ujibu maswali yangu.

Hujathibitisha mungu yupo
 
Thibitisha mungu yupo
Hili nililijibu mzee kisha nikakuwekea aya nikakuuliza na maswali hukujibu.

Hapa nasubiri yale maswali uyajibu kisha tuendelee.
Hali halisi unaipimaje?
Hali halisi haipimwi sababu ipo.

Ni sawa leo hii uulize unapimaje jua kama lioo wakati jua lipo kila siku tunaliona isipokuwa kwa hali maalumu.

Unakwama wapi kijana ?
 
Shida za kujitokeza ni nyingi atawasaidia ata bokoharam wanaodai ni wafuasi wa Allah waache kujivika mabomu , yapo mengi anatakiwa aje awaambia wafuasi wake wayafanye , ataondoa ugomvi wa suni na shia , sasa yeye anasubir mpaka wafe ndio akawachome wakati watu awaelewi huku kipi ni kipi ahahahhahahahaha
Hujaeleza hata shida yake yeye moja yenye kulazimu ajitokeze,kwani hayo unayoeleza yakifanyika yeye anapata hasara gani au anadhulika na nini?
 
hilo sio jukumu lako, huwezi nipangia kipi kianze kipi kifate

ushazingua sasa vipi unichagulie silaha??
Sijakuchagulia silaha huo ni utaratibu kijana.

Hivi inakuwaje mimi uniulize maswali halafu nisikujibu nikwambie usinichagulie silaha ? Nitakuwa na akili au utoto ?

Jifunze kuweka kila kitu mahala pake,hiyo kauli umeielewa vibaya.

Jibu maswali niliyo kuuliza.
unakumbuka nilivyokuuliza uthibitishe mungu yupo hukujibu ila ukauliza swali?? Unalikumbuka swali ulilouliza?
Sio kweli nilijibu kisha nikaweka aya kisha ndio nikauliza maswali.

Rejea nilipo kujibu utaona,niko makini sana kuliko unavyofikiria.

Tuendelee.
 
Sijakuchagulia silaha huo ni utaratibu kijana.

Hivi inakuwaje mimi uniulize maswali halafu nisikujibu nikwambie usinichagulie silaha ? Nitakuwa na akili au utoto ?
Kwanza Hakuna swali umejibu na hutoweza. Hujaweza kithibitisha mungu yupo, sheria gani imekupa kibali hicho??

Jifunze kuweka kila kitu mahala pake,hiyo kauli umeielewa vibaya.

kama umeshindwa kujibu maswali yangu umekosa hata vigezo vya kunishauri

Jibu maswali niliyo kuuliza.
Yangu yaliyotangulia ushayajibu??

Sio kweli nilijibu kisha nikaweka aya kisha ndio nikauliza maswali.
Nimekubia habari za aya sijui kuraan na upupu mwingine wenye mfanano kama huo peleka sehemu za imani. Vitabu vya imani havijibu maswali yenye kutaka majibu ya fact wala kufikirika

Rejea nilipo kujibu utaona,niko makini sana kuliko unavyofikiria.

Tuendelee.

Hujajibu na sina haja ya kurejea huko

Hujathibitisha mungu yupo
 
Mathayo 28:5-8
" Lakini yule malaika akawaambia wale wanawake, “Nyinyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa. Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala. Basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka kwa wafu, na sasa anawatangulieni kule Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni.” Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake."
Safi kabisa,nakufundisha sasa,haya maneno inaonekana anasimulia Mathayo au mtu mwingine.

Kwanza tunahakiki habari hii ili tuweze kuiamini na kuifanyia kazi. Sasa naomba ujibu maswali haya :

1. Mathayi aliyapata wapi hayo maneno ?
2. Aliyaandika lini maneno hayo ?
3. Je huyo Mathayo alikuwa ni katika wanafunzi wa Yesu au nani ?
4. Nani aliye muona malaika hapo ?
Hiyo aya inasema wazi tena msemaji malaika kuwa Yesu kasulubiwa na kafufuka "
Swali langu unaiamini ? maana umempa jamaa AYA kwamba eti Allah kasema ndio uthibitisho wako kuwa eti Mungu yupo masikhara makubwa aya
Jibu maswali ya hapo juu.
 
Kwanza Hakuna swali umejibu na hutoweza. Hujaweza kithibitisha mungu yupo, sheria gani imekupa kibali hicho??



kama umeshindwa kujibu maswali yangu umekosa hata vigezo vya kunishauri


Yangu yaliyotangulia ushayajibu??


Nimekubia habari za aya sijui kuraan na upupu mwingine wenye mfanano kama huo peleka sehemu za imani. Vitabu vya imani havijibu maswali yenye kutaka majibu ya fact wala kufikirika



Hujajibu na sina haja ya kurejea huko

Hujathibitisha mungu yupo
Nacheka sana,hivi ndivyo tunamalizaga mijadala na watu msiojua.

Ukijibu maswali yangu,nitag tuje tuendelee na nikujibi maswali yako.

Niliwadekeza sana mpaka mkajisahau,nilikuwa najibu tu nikaona huu ujinga.

Mwendo sasa ni swali kisha jibu kisha swali.

Nipo .....
 
Hili nililijibu mzee kisha nikakuwekea aya nikakuuliza na maswali hukujibu.

Aya yakufikilika haiwezi kujibu hoja zangu. Nataka fact

Hapa nasubiri yale maswali uyajibu kisha tuendelee.
hakuna swali hapo

Hali halisi haipimwi sababu ipo.
unawezaje kujua kua ipo?

Ni sawa leo hii uulize unapimaje jua kama lioo wakati jua lipo kila siku tunaliona isipokuwa kwa hali maalumu.

Unakwama wapi kijana ?

Kwanini kusiwepo na njia yakupima jua kama lipo??

Mbona zipo njia nyingi zinapima jua kua lipo ikiwemo kwa njia ya macho???


Hujathibitisha mungu yupo
 
Nacheka sana,hivi ndivyo tunamalizaga mijadala na watu msiojua.

Ukijibu maswali yangu,nitag tuje tuendelee na nikujibi maswali yako.

Niliwadekeza sana mpaka mkajisahau,nilikuwa najibu tu nikaona huu ujinga.

Mwendo sasa ni swali kisha jibu kisha swali.

Nipo .....
Ukimaliza kucheka uje uthibitishe mungu yupo
 
Halafu unataka ujadiliane na mimi ?

Naomba unipe tofauti kati ya mtu na mwanadamu,na unipe asili ya maneno hayo. Ujinga mzigo.

Ukijibu swali hili naacha kutumia hii Id ya Zurri.
mtu anaye jinadi kua yeye sio muoga au kuita wengine waoga mara kwa mara mtu huyo ni muoga sana.
Safi sana,kaka kwa heshima na taadhima niko chini ya miguu yako aisee,naomba unijibu tu yale maswali yangu mawili niliyo kuuliza baada ya ile aya,pamoja na uoga wangu msaada tafadhali.
Kwani chanzo kina umuhimu wowote ili kitu kiwepo??
Jibu swali kijana,unajua kuna muda unapojibu swali unalo ulizwa ndio unaona jibu humo na utajua kwanini umeulizwa hivyo.

Sasa leo mjinga kama wewe huoni umuhimu wa kujua chanzo wakati kila siku watu katika kutatua matatizo wanatafuta chanzo cha jambo au kitu.


Huwezi kuvaa viatu vyangu kijana,ona vinavyo kupwaya.

Jibu swali,wewe huna chanzo ?
Kwani haiwezekani kitu kikawepo bila chanzo??
Unajua mpaka najiuliza kwanini hujibu ninacho kuuliza ?

Ukija na majibu ya maswali niliyo kuuliza tutaendelea kutokea hapo.
maswali yametoka kwenye kitabu cha imani tena waisilamu inamaana hata mkristo tu hakimuhusu, utaniambieje mimi kua yananihusu

Hujathibitisha mungu yupo
Swali ni rahisi je kile kilicho andikwa mule cha uongo ?

Kama cha uongo,sasa ndio ujibu yale maswali a uonyeshe uongo wake.

Kinyume na hapo wewe ni mjinga na unabisha ujinga.
Navyokanusha mungu hayupo nakua Nakanusha hadi hizo riwaya kua zimeandika uwongo
Sasa unapo kanusha ndio uwe unakosoa kielimu kisha unatupa ukweli.

Sasa unapokanusha bila kukosoa na kuweka ukweli wewe unaitukana elimu na unakuwa unaitumia akili vibaya.
Hujathibitisha mungu yupo. Hizo karatasi za riwaya uzoziita ufunuo wa imani naziona kama lizla
Safi kabisa,ni nini maana ya Riwaya,maana kila kitu kimeandikwa mpaka maana ya riwaya inajulikana.

Tuendelee.
 
Aya yakufikilika haiwezi kujibu hoja zangu. Nataka fact
Sasa ndio ujibu kile kilicho ulizwa mzee. Mbona unakwepa kwepa ?
unawezaje kujua kua ipo?
Usirudie swali ambalo nimeshakujibu.
Kwanini kusiwepo na njia yakupima jua kama lipo??
Kijana laiti kama ungekuwa unajibu maswali yangu sikufichi huu ujinga usingekuwa unauuliza.

Unakubali kama jua lipo ? Au hata kusikia kwa watu tu ?
Mbona zipo njia nyingi zinapima jua kua lipo ikiwemo kwa njia ya macho???
Jua halipimwi mzee,jua lipo na kutazama hakuitei kupimwa ndio maana pakawa na vipimo.

Uwepo wa jambo ndio uhalisia.

Nakuja kuendelea hapa niliposhia.

Ila usisahau kujibi maswali uangu.
 
Back
Top Bottom