Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Ewaaa! Sasa umekuja! Na tutamjua ni nani aliyekariri baina yangu na yako.

Mungu tutakayemzungumzia ni Allah!

Tuingie kwenye mjadala. Twende kazi.

Ok twende taratibu ili uweze kunikamata vizuri kama lengo lako unavyotaka

Umesema mungu unayetaka kuthibitishiwa kua hayupo katika hao niliokutajia ni allah. Kwaiyo katika hiyo list allah tu ndiye ambaye unaamini kua yupo sio??
 
Nimekwambia kama una maana nyengine ya neno kujificha tofauti na lile tulilozoea waswahili bainisha, tatizo ni nini Mufti..!?
Inakuwaje unarudia swali ambalo nimeshalijibu ?

Kwanza maswali niliyokuuliza hujajibu,pili maelezo niliyokupa yamejitosheleza,tatu nimetilia mkazo kwamba tamko "kujificha" si sahihi kutumika kwa Mola muumba,kama ilivyo leo hivi hatuwezi kusema "Binadamu anaumba" sababu tamko "Kuumba" si kwa mwanadamu.

Sasa nakupa kazi utunge sentensi yenye tamko "kujificha" huku dhamira ikienda kwa Mola,kisha uchambue kwa misingi ya lugha ya Kiswahili na ukawaulize Wataalamu wa Kiswahili wakuonyeshe usahihi wa Sentensi hiyo.

Lugha inahukumu mzee,sasa wewe nataka unipe maana ya kujificha na unithibitishie kwamba kwanini useme Mola amejificha ?

Kumbuka kujibu maswali ninayo kuuliza.

Ukishindwa kujibu maswali yangu nakuja kukupa mifano zaidi ya kwanini misingi ya Lugha inakataa kutumia tamko "Kujificha" kwa Mola.


Inabidi msomeshwe lugha kama njia ya kuhukumu jambo,na kujua mipaka ya maneno.

Nipo ....
 
Ok twende taratibu ili uweze kunikamata vizuri kama lengo lako unavyotaka

Umesema mungu unayetaka kuthibitishiwa kua hayupo katika hao niliokutajia ni allah. Kwaiyo katika hiyo list allah tu ndiye ambaye unaamini kua yupo sio??
Nimekujibu kulingana na ulivyoniuliza! Nimekujibu kulingana na imani yangu.
 
Kwaiyo imani yako inaamini yawe na jehova hawapo?
Hayo maswali mimi hayanihusu brother!

Ya yawe(sijui) wapatie akina yawe!

Ya Jehovah waulize akina Jehovah!

Mi ni wa Allah! Kwa hiyo niulize kuhusiana na Allah.

Hao wengine ikifika time yao utawauliza kwa muda wao.
 
Hayo maswali mimi hayanihusu brother!

Ya yawe(sijui) wapatie akina yawe!

Ya Jehovah waulize akina Jehovah!

Mi ni wa Allah! Kwa hiyo niulize kuhusiana na Allah.

Hao wengine ikifika time yao utawauliza kwa muda wao.

Sijauliza kama maswali yanakuhusu au lah

Nakuuliza tena

Katika list hiyo kwanini umchague allah tu kama ndiye mungu ambaye yupo na kuwaacha wengine inamaana hao wengine hawapo???
 
Sijauliza kama maswali yanakuhusu au lah

Nakuuliza tena

Katika list hiyo kwanini umchague allah tu kama ndiye mungu ambaye yupo na kuwaacha wengine inamaana hao wengine hawapo???
Hao wengine sijawahi kuwasikia! Hata ukiniuliza kuhusu hao sitoweza kukujibu. Nitaweza kukujibu kwa huyo(Mungu) ambaye ninayemjua.

Ukitaka habari nyengine kama hao ni miungu au siyo miungu waulize wanaowajua.

Mimi namjua Allah pekee.

Ndiyo maana nikakujibu hayo mengine hayanihusu kwa sababu siyajui. Kwa hiyo, kama unataka kuniuliza kuhusu Mungu niulize kwa yule ambaye niliyemsikia na ninayemjua.
 
Hao wengine sijawahi kuwasikia! Hata ukiniuliza kuhusu hao sitoweza kukujibu. Nitaweza kukujibu kwa huyo(Mungu) ambaye ninayemjua.

Ukitaka habari nyengine kama hao ni miungu au siyo miungu waulize wanaowajua.

Mimi namjua Allah pekee.

Ndiyo maana nikakujibu hayo mengine hayanihusu kwa sababu siyajui. Kwa hiyo, kama unataka kuniuliza kuhusu Mungu niulize kwa yule ambaye niliyemsikia na ninayemjua.
Nikikuambia mungu huyo yupo na wote wanaompinga kwa kuabudu miungu mingine kama allah wamepotea, utakubali kua mungu huyo yupo??
 
Nikikuambia mungu huyo yupo na wote wanaompinga kwa kuabudu miungu mingine kama allah wamepotea, utakubali kua mungu huyo yupo??
Kwa hiyo hapo ndiyo umethibitisha Allah hayupo?
 
Kwa hiyo hapo ndiyo umethibitisha Allah hayupo?
Ndio nako elekea, soon utaelewa

Ikiwa kama kuna mtu akajitokeza akisema kua yehova ndiye mungu wa kweli ambaye yupo na yeyote atakayeabudu miungu mingine amepotoka, utakubali kua mungu huyo yupo???
 
Sasa nakupa kazi utunge sentensi yenye tamko "kujificha" huku dhamira ikienda kwa Mola,kisha uchambue kwa misingi ya lugha ya Kiswahili na ukawaulize Wataalamu wa Kiswahili wakuonyeshe usahihi wa Sentensi hiyo.

"Mungu wa zuri kajificha"_sentensi sahili

'Mungu wa zuri'_Kiima

Mungu=kiwakilishi

Wa=kiunganishi

Zuri=Nomino

'Kajificha' Kiarifu

Kajificha=kielezi

Haya sema tena nini unataka au nini hujaelewa..?
 
"Mungu wa zuri kajificha"_sentensi sahili

'Mungu wa zuri'_Kiima

Mungu=kiwakilishi

Wa=kiunganishi

Zuri=Nomino

'Kajificha' Kiarifu

Kajificha=kielezi

Haya sema tena nini unataka au nini hujaelewa..?

Najiuliza kwanini hujibu nilicho kuuliza ? Nilikuuliza utunge sentensi yanye kuleta maana,na hii umeitunga kifata mjengeko wa na muunganiko wa maneno ila haina maana. Sasa tunga sentensi ilete maana.

Ona sasa ulivyokuwa mjinga,nani alikwambia uchanganuz wa sentensi unaishia katika mjengeko tu ?

Changanua na maana ya Sentensi. Sentesi haina maana wala hafidishi kabisa. Hapo hujachambua sentensi bali umetoa majina ya maneno katika hiyo sentensi. Kazi yangu bado iko pale pale,nenda kawaulize wataalamu wa Kiswahili,wakwambie kwamba hoyo sentensi ina maana au haina maana.

Kisha sasa rudi kwenye msingi mama ujihukumu,kuihukumu hiyo sentensi yako,nao msingi wa WASWAHILI. Kwamba ukiwazungumzisha sentensi hiyo wanaukuelewa.

Sababu bado huelewi wapi ulipoegemea,nakuuliza maswali yafuatayo :
1. Ili kitu kiwe kimejificha hutakiwa kikidhi sifa gani ?
2. Je kila kisicho onekana kimejificha ? Hapa unatakiwa uthibitishe hilo.
3. Sababu wewe umeonekana kama umeidandia hii hoja,kwa kulusaidia naomba ujibu swali hili,je ni kweli Mola wetu sisi amejificha na je unakubaliana na kauli hiyo ?

Pili,nukukumbusha naona umerudia tamko "Kiarifu" na "Kielezi" yote yana maana moja na ilitosheleza tu aidha kutumia "Kiarifu" au "Kielezi". Kurudia kwako maneno hayo mawili,kunaonyesha wazi ulichokiandika umekikariri ns hukijui.

Nipo ...
 
Ikiwa kama kuna mtu akajitokeza akisema kua yehova ndiye mungu wa kweli ambaye yupo na yeyote atakayeabudu miungu mingine amepotoka, utakubali kua mungu huyo yupo???
Sitakanusha wala sitakubali bali nitakuwa kati na kati kwa kuhoji,ili nipate kuujua Ukweli juu ya huyo Jehova.
 
Nikikuambia mungu huyo yupo na wote wanaompinga kwa kuabudu miungu mingine kama allah wamepotea, utakubali kua mungu huyo yupo??
Mintarafu uhalisia na kila kitu kipo wazi,hapa utatakiwa uthibitishe hilo sio kusema tu kisa umependa kusema.

Tunasema kilichoandikwa kimeandikwa na ukweli upo tayari,kwahiyo kubahatisha hakuna nafasi zaidi ya kuleta hoja zako kama wewe unasema ukweli.
 
Kwa hiyo hapo ndiyo umethibitisha Allah hayupo?
Ukiwafatilia hawa jamaa utaona ya kuwa kilicho wafikisha hapo walipo ni ujinga na kutotumia akili zao inavyotakiwa.

Hawajui maana za maneno wala mipaka yake,hawajui wanacho kikanusha,hawajibu maswali wanayo ulizwa.


Hakuna jambo gumu kama kujadiliana na mtu mjinga. Hapo yeye ndio anaona amethibitisha,analeta "story" za vijiweni.
 
Mintarafu uhalisia na kila kitu kipo wazi,hapa utatakiwa uthibitishe hilo sio kusema tu kisa umependa kusema.

Tunasema kilichoandikwa kimeandikwa na ukweli upo tayari,kwahiyo kubahatisha hakuna nafasi zaidi ya kuleta hoja zako kama wewe unasema ukweli.

Nitatakiwa kuthibitisha hilo sio kusema tu kisa nimependa kusema sio???

Kumbe wajibu wa kuthibitha upo mabegani kwa yule anayesema kipo siyo??

Sasa nikikuambia uthibitishe mungu huyo hayupo utaweza??
 
Sitakanusha wala sitakubali bali nitakuwa kati na kati kwa kuhoji,ili nipate kuujua Ukweli juu ya huyo Jehova.
Utanihoji vipi?

Ukinihoji nikashindwa kuthibitisha yupo utakubali kua yehova hayupo??
 
Nabishana na watu kwa sababu uwezo wao naumudu lakini Mungu wako muweza wa yote vip asijitokeze yeye kila siku anamitoa nyinyi chambo mpaka mnatia huruma humu
Ajitokeze kwa shida gani? Wewe kama hauamini ni shida zako wewe na si kwamba yeye ana shida na wewe sasa unaposema ajitokeze ili iweje?

Nakushangaa wewe kutumia nguvu nyingiiiingi kusema kitu hakipo,hivi kweli unaweza kutumia nguvu zako kama kubishana na mtu anayesema Nyerere ndio rais wa Tz hali ya kuwa inajulikana Nyerere hayupo?
 
Kumbe wajibu wa kuthibitha upo mabegani kwa yule anayesema kipo siyo??
Anaesema kipo atatakiwa yeye athibitishe endapo atahojiwa kwanza ila atakae kanusha lile aliloambiwa na wa kwanza,huyu wa pili ndio atakae takiwa kuthibitisha.
 
Back
Top Bottom