Ukishindwa ni ujinga wako na kwanini ushindwe ?Utanihoji vipi?
Ukinihoji nikashindwa kuthibitisha yupo utakubali kua yehova hayupo??
Sitakubali wala sitakanusha mpaka nitakapothibitishiwa ukweli wa hilo.
Ukishindwa ni ujinga wako na kwanini ushindwe ?Utanihoji vipi?
Ukinihoji nikashindwa kuthibitisha yupo utakubali kua yehova hayupo??
Sasa thibitisha mungu yupoAnaesema kipo atatakiwa yeye athibitishe endapo atahojiwa kwanza ila atakae kanusha lile aliloambiwa na wa kwanza,huyu wa pili ndio atakae takiwa kuthibitisha.
Ok tusiende mbali thibitisha mungu yupoUkishindwa ni ujinga wako na kwanini ushindwe ?
Sitakubali wala sitakanusha mpaka nitakapothibitishiwa ukweli wa hilo.
Kwanini nithibitishe ?Sasa thibitisha mungu yupo
Kwanini useme yupo?Kwanini nithibitishe ?
GoodMshahara wa dhambi ni mauti ni mtoto mdogo kazaliwa na kufa kapata mshahara wake kwa dhambi ipi aliyoifanya....?
Hivi pale edeni simba nae alikula tunda maana naye anakufa wakati aliykula tunda na mwanadam
Aaah kwanza inachosha vingine ni uchwara tu
Mungu hakunaga kitu kama hicho popote pale
Swali zuri.Kwanini useme yupo?
hapa unge hubiri wakati tayari ushathibitisha.Swali zuri.
Sababu yeye ndio aliyeumba na yeye ndio wa mwanzo asie na chanzo kabla yake na yeye ndio wa mwisho hakuna wa mwisho baada yake.
Hujathibitisha allah yupo, kivipi useme amesema?Anasema Allah aliye juu :
mahubiri yaje baada ya uthibitisho35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (at Tur : 35 )
ushahidi unaupimaje kujua kua ni kweli?? Bila shaka utatengezeza circular reasonsHuo ni ushahidi unaonyesha ya kuwa yupo aliyanzisha huu ulimwengu na kuumba na hilo ni swali au changamoto walio pewa wanao mkana.
Swali zuri, nini kimekufanya uhisi kua lazima tuwe na sababu iliyotufanya tukawepo duniani kwani haiwezekani kitu kikawepo bila chanzo???Nakuiliza swali,wewe sasa,je imekuwaje sisi binadamu tukawepo duniani ? Je tumetokana pasi na kitu au sisi tumejiumba ?
Tuwekeane masharti ambayo tutakubaliana ili huu mjadala uende vizuri.
Upande wangu : Mimi natumia hoja za kiakili,kimazingira na ufunuo kuthibitisha uwepo wa Mola.
najenga hoja kulingana na swali linavyotaka jibu liweUpande wako : Wewe unajenga hoja kwa kutumia nini ? Hapa naomba uniambie kabisa.
Kukimbia swali hakuji kwa kuuliza swali linalolenga swali, kukimbia swali ni kuuliza swali lisiloendana na mjadala. Jua kutofautisha hilo kwanzaSharti lingine : Hakuna kukimbia swali wala kuuliza swali pale unapotakiwa kujibu swali la mwenzako. Yaani unajibu swali kwanza kisha ndio unauliza swali. (Unasemaje kuhusu sharti hili ).
Nipo ....
Hiyo ni kauli ya kuthibitisha na sio mahubiri mzee. Ulitakiwa upinge kwa hoja ya kielimu,kwamba Mola hajaumba halo ndio tungekuzingatia kama huna hoja wewe unabaki kuwa una dai tu.hapa unge hubiri wakati tayari ushathibitisha.
Nimethiibitisha tayari,labda kama hutaki jibu nililo kupa.Hujathibitisha allah yupo, kivipi useme amesema?
Inaonekana hujui maana ya uthibitisho ni nini,hwezi kuthibitisha bila kuwa na marejeo. Ili uone kama sijathibitisha kosoa huo ufunuo.mahubiri yaje baada ya uthibitisho
Inaonekana hujui maana ya uthibitisho ni nini,hwezi kuthibitisha bila kuwa na marejeo. Ili uone kama sijathibitisha kosoa huo ufunuo.
Mambo marahisi sana.
Naendelea .....
Pindi unapoafikiana na hali halisi.ushahidi unaupimaje kujua kua ni kweli?? Bila shaka utatengezeza circular reasons
Huu utoto ndio nisio upenda. Jibu kwanza swali kisha uulize maswali yako.Swali zuri, nini kimekufanya uhisi kua lazima tuwe na sababu iliyotufanya tukawepo duniani kwani haiwezekani kitu kikawepo bila chanzo???
Inaonekana hujui Akili ni nini ?hoja za kiakili haziegemei kwenye vitabu hususani vitabu vya imani. Jenga hoja nje ya hizo riwaya
Huu ni uoga wa kupigwa mfano. Inaonekana huna cha ziada zaidi ya kuanzishiwa.najenga hoja kulingana na swali linavyotaka jibu liwe
hiyo ni kauli ya kuthibitisha kwa mtu ambaye anaamini hiyo riwayaHiyo ni kauli ya kuthibitisha na sio mahubiri mzee. Ulitakiwa upinge kwa hoja ya kielimu,kwamba Mola hajaumba halo ndio tungekuzingatia kama huna hoja wewe unabaki kuwa una dai tu.
Nimethiibitisha tayari,labda kama hutaki jibu nililo kupa.
Hujathibitisha allah yupo, umerukia kusema "allah kasema" sasa huyo allah aliyesema unakua umemthibitishia wapi kuonesha yupo??Nimesema Allah amesema,sababu huo ni ufunuo toka kwake.
Naendelea .....
Ahahahahaaaaha kama ungekuwa msomi asa ata siku moja usingesema huu upuuzi wako kuwa shahawa( Semen) ndio manii( Sperm), labda nikufunze jambo wewe na wenzako wengi msiolewa sayansi ya mambo haya " manii yapo ndani ya shahawa " acha utoto elimika wewe kama lugha ya kiingereza inakushinda basi jaribu ujingaSiku ukiamua kusoma utaelewa hay a mambo mzee.
Wenzako tuliacha kazi tukafanya kazi.
Ila pale uliposema Shahawa sio Manii,nikaona sina haja ya kuendelea kujadiliana na wewe,unanipotezea muda huu ujinga sijui unautoa wapi mzee ?
Acha kukimbia kimbia eleza unachotaka kueleza upewe majibuHahaha...
Concept ya "time" naona unaikimbia..
Una haya kwenye ufahamu wako!
Eidha! Uelewa wako wa kuelewa ni mdogo! Au unafanya makusudi! Au hauna akili!
Kama yote hayo unayo, nithibitishie.
Kukosa maarifa ni ujinga uliochipa mipaka.Ufunuo utakosolewa na muumini mwenzako anayeamini habari za ufunuo, ambaye unatofautiana kiimani kwa kukuonesha ufunuo wake anaouamini ambao unapingana na huo wako.
Hujathibitisha mungu yupo na hujaonesha hata dalili
Shida za kujitokeza ni nyingi atawasaidia ata bokoharam wanaodai ni wafuasi wa Allah waache kujivika mabomu , yapo mengi anatakiwa aje awaambia wafuasi wake wayafanye , ataondoa ugomvi wa suni na shia , sasa yeye anasubir mpaka wafe ndio akawachome wakati watu awaelewi huku kipi ni kipi ahahahhahahahahaAjitokeze kwa shida gani? Wewe kama hauamini ni shida zako wewe na si kwamba yeye ana shida na wewe sasa unaposema ajitokeze ili iweje?
Nakushangaa wewe kutumia nguvu nyingiiiingi kusema kitu hakipo,hivi kweli unaweza kutumia nguvu zako kama kubishana na mtu anayesema Nyerere ndio rais wa Tz hali ya kuwa inajulikana Nyerere hayupo?
Kwahiyo AYA ndio uthibitisho kuwa Mungu yupo ,na mimi nakupa AYA kuwa YESU kasulubiwa utakubali hilo jambo ?Kukosa maarifa ni ujinga uliochipa mipaka.
Nilikuwekea aya,nikakuuliza maswali hukujibu,ajabu bado unasema hujathibitishiwa.
Pindi unapoafikiana na hali halisi.
Ndio maana nikakuuliza wewe umejiumba ?
utoto huu we hujaufanya??Huu utoto ndio nisio upenda. Jibu kwanza swali kisha uulize maswali yako.
Hujajibu maswali yangu niliyokuuliza Miongoni mwa maswali ambayo hujayajibu ni pamoja na uthibitisho kuonesha mungu yupo. Hujajibu swali hili zaidi ukaongeza swali kua kwanini uthibitisheMimi nilianza kujibu maswali ako kisha nikakuuliza maswali. Kama huu utaratibu huuwezi sema tusipotezs muda.
Leo siachi kitu na quote hadi porojo za mleviYaani nimewadekeza sana na mkashindwa kutumia fursa vizuri.
Kushindwa kwako kuthibitisha mungu yupo kunaonesha huna akiliInaonekana hujui Akili ni nini ?
Ufunuo ulikuja kuiweka akili sawa na kupata majibu sahihi.
Kwaiyo huna akili ya kutoa hoja nje ya hiyo riwaya kuonesha mungu yupo??Mfano nimekuwekea ile aya kula juu,hapo ndipo ulitakiwa kutumia akili kutafakari kile kilicho andikwa kule na uangalie kipo au hakipo ?
Huu ni uoga wa kupigwa mfano. Inaonekana huna cha ziada zaidi ya kuanzishiwa.
Hapa ni mwendo wa kuuliza maswali na kujibiwa.
Naendelea ....
Kukosa maarifa ni ujinga uliochipa mipaka.
Nilikuwekea aya,nikakuuliza maswali hukujibu,ajabu bado unasema hujathibitishiwa.