Nimetoa kwenye vitabu vya lugha.Hiyo maana umeitoa wapi?
Nimetoa kwenye vitabu vya lugha.Hiyo maana umeitoa wapi?
Hili tamko mawanda ni tamko maarufu sana kwa mtu msomaji na mfatiliaji wa mambo ya kielimu.
Lengo langu huwa ni kutumia lugha nyepesi kadiri ya haja ili nieleweke.
Nipe sourceNimetoa kwenye vitabu vya lugha.
Nikakaa pembeni itasaidia kubadili mitazamo yako dhaifu ?Mwakitwange ungekaa pembeni kuwapisha wenzako naona wewe huoneshi hata afadhali kwenye tatizo lako
IrrelevantHata mkiunganisha stuli na meza hamtapata kitanda
Tafuta kamusi yoyote ya Kiswahili itakupa majibu.Nipe source
Hoja dhaifu haziwezi kubadilisha mtazamo wa mtu. uko hapa kwa ajili ya kujipigia promo kanisa lako upate waumini?Nikakaa pembeni itasaidia kubadili mitazamo yako dhaifu ?
Nipe linkTafuta kamusi yoyote ya Kiswahili itakupa majibu.
Sasa huu utoto mzee. Tafuta Kamusi yoyote,sina link.Nipe link
Kamusi sina, ningekua nayo nisingekusumbua kukuomba unipe link kwasababu lengo langu ni kujuaSasa huu utoto mzee. Tafuta Kamusi yoyote,sina link.
Usisahu kujibu maswali yangu.
Link sina. Ukipata tafuta ujisomee upate faida.Kamusi sina, ningekua nayo nisingekusumbua kukuomba unipe link kwasababu lengo langu ni kujua
Haya bishana na kamusiLink sina. Ukipata tafuta ujisomee upate faida.
Naomba ujibu maswali yote niliyo kuuliza mzee.
Mkuu muundaji wa gari tuseme Ferrari linalokimbia kilomita labda 500 akisema alijua gari hilo lingekimbia umbali huo lakini akasema hakulitengeneza likimbie hivyo ataonekana punguani kama siyo muongo.Lengo la kukuuliza ilo swali, nataka ujue tofauti ya kupanga na kujua. Mungu mjuzi wa yote anajua kama wewe utasali au la kabla ya kukuumba, kwa sababu yeye ndio mmiliki wa ulimwengu na anawajua viumbe wake. Elimu yake haina mfano.
Nipate waumini ili niwafanyie au wanifanyie nini ?Hoja dhaifu haziwezi kubadilisha mtazamo wa mtu. uko hapa kwa ajili ya kujipigia promo kanisa lako upate waumini?
Siku ukiwa freethinker utakuja kuelewa
Haya bishana na kamusiView attachment 1219165
Shehe nakuona..Safi kabisa sasa rejea katika kile nilichokuelezea nyuma na kule nilipotumia tamko "Mawanda".
Tunapowaambia msome huwa tunamaanisha.
Nipate waumini ili niwafanyie au wanifanyie nini ?
Napigia promo kanisa lipi ?
you need to seek medical help before hujawa certified mad maana unaniambia mambo ambayo siyajui na hiyo ni dalili kwamba una tatizo kichwani
Is that what you call free thinking ?
Muungwana akivuliwa nguo huchutana ila nakuona umesizi tu ni kama huelewi kinacho endeleaSafi kabisa sasa rejea katika kile nilichokuelezea nyuma na kule nilipotumia tamko "Mawanda".
Tunapowaambia msome huwa tunamaanisha.
Safi tu shehe.Tupo,tunawekana sawa na wadau.
Nipe habari.