Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,255
- 123,669
Hapa umeongea nini?Na mimi ndio nakuonyesha uongo wa kauli yako,na usiwe una andika jambo usilo kuwa na ujuzi nalo sababu unakuwa unaiokosea adabu elimu.
Lazima uulizwe maswali na uyajibu ili ujue uongo na ujinga wako ulipo,na ujue kutofautisha mambo na uijue mipaka yake,sio kila linalo kujia akili mwako unaliandika,wenye akili timamu lazima wachuje.
Na usiwe unasema hovyo bila kuhakiki kauli zako,ulitakiwa ujue ukweli wa kauli yako kabla ya kuiandika. Lazima ujue kutofautisha uumbaji,uundaji na utengenezaji. Wewe kwa akili yako ya kitoto unaweza kusema Gari nalo ni kiumbe ? Ukiulizwa utasema ni kiumbe kisicho hai,hivi una akili wewe ?
Hakuna lugha yoyote inayoyaweka sehemu moja kujenga,kutengeneza na kuumba kisha yakaleta maana moja. Misingi ya lugha nayo uhukumu.
Kila siku nakwambia juu ya umakini na kuhakiki mambo kabla ya kuandika,ili uepuke kuonekana kituko na mjinga.
Eti sijui naikosea adabu elimu na blah blah mingi.
Kwanza Elimu gani unayoikusudia hapa ambayo unahisi imekosewa adabu?