Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Muungwana akivuliwa nguo huchutana ila nakuona umesizi tu ni kama huelewi kinacho endelea
Nacheka sana.

Nilitaka ujihukumu mwenyewe lakini naona umekataa,sasa ngoja nikufundishe usio ya jua.

Kwanza maana uliyo itoa haina mashiko sababu imeacha ukweli mzima na kuchukua sehemu ndog katika maana ya elimu.

Maana ya Elimu sio mfumo. Hapa nakupa swali su nakupa akina ya maneno katila uhalisia na matumizi ya tamko lenyewe.

Ukitafsiri Elimu kama mfumo utaulizwa ni nini mfumo wa Elimu fulani na Elimu yenyewe ni nini ? Kwa maana, Maana uliyo itoa haijatoa maana halisi ya Elimu. Tamko Elimu linatokana na tamko la kiarabu "العلم" yaani kujua au kufahamu.

Mawanda maana yake ni hali fulani au aina zote,na hapa zinaingia zile elimu za ufundi na mfano wake.
 
Nacheka sana.

Nilitaka ujihukumu mwenyewe lakini naona umekataa,sasa ngoja nikufundishe usio ya jua.

Kwanza maana uliyo itoa haina mashiko sababu imeacha ukweli mzima na kuchukua sehemu ndog katika maana ya elimu.

Maana ya Elimu sio mfumo. Hapa nakupa swali su nakupa akina ya maneno katila uhalisia na matumizi ya tamko lenyewe.

Ukitafsiri Elimu kama mfumo utaulizwa ni nini mfumo wa Elimu fulani na Elimu yenyewe ni nini ? Kwa maana, Maana uliyo itoa haijatoa maana halisi ya Elimu. Tamko Elimu linatokana na tamko la kiarabu "العلم" yaani kujua au kufahamu.

Mawanda maana yake ni hali fulani au aina zote,na hapa zinaingia zile elimu za ufundi na mfano wake.

Naona umepagawa baada ya kuona jibu la kamusi halija match na jibu lako ulilookoteza vichochoroni

Umejichagulia silaha ya kukuadhibu mwenyewe, nakupa na hii
IMG_20190930_000719_748.JPG
 
Naona umepagawa baada ya kuona jibu la kamusi halija match na jibu lako ulilookoteza vichochoroni

Umejichagulia silaha ya kukuadhibu mwenyewe, nakupa na hii View attachment 1219244

Hivi kwanza huwa unaelewa ninacho kiandika ? Soma nilicho andika na ukielewe vizuri.

Kwa maana nyingine hakuna kiumbe ambacho sio hai,umeelewa hiyo maana ? Nani amekwambia kuna kiumbe kisicho hai ? Biology sio ?

Swali lingine unajua kwanini hivyo vimeitwa viumbe ukiacha huo uhai ?
 
Hivi kwanza huwa unaelewa ninacho kiandika ? Soma nilicho andika na ukielewe vizuri.

Kwa maana nyingine hakuna kiumbe ambacho sio hai,umeelewa hiyo maana ? Nani amekwambia kuna kiumbe kisicho hai ? Biology sio ?

Swali lingine unajua kwanini hivyo vimeitwa viumbe ukiacha huo uhai ?
Hakuna kiumbe kisicho hai, hii ni kwa mujibu wa allah na kuran sio??
 
Hakuna kiumbe kisicho hai, hii ni kwa mujibu wa allah na kuran sio??
Naona umejihukumu mwenyewe. Hiyo maana ya kiumbe uliyoiweka kwanza umeilewa ? Maana tatizo la kutoelewa unalo. Elewa kwanza maana uliyoiweka kisha ujiulize kuna kiumbe kisicho hsi ?
 
Naona umejihukumu mwenyewe. Hiyo maana ya kiumbe uliyoiweka kwanza umeilewa ? Maana tatizo la kutoelewa unalo. Elewa kwanza maana uliyoiweka kisha ujiulize kuna kiumbe kisicho hsi ?
Hujajibu swali nililokuuliza

Hakuna kiumbe kisicho hai hiyo ni kwa mujibu wa allah na kuran?

Napia neno "hai" wewe unalielewa vipi??
 
Hujajibu swali nililokuuliza

Hakuna kiumbe kisicho hai hiyo ni kwa mujibu wa allah na kuran?

Napia neno "hai" wewe unalielewa vipi??
Haya matatizo ya kujadiliana na watu ambao hawajui wanachokiandika.

Hiyo maana ya kiumbe uliyoiweka ni kwa mujibu wa nini ? Inaonekana hata unacho kinukuu hukielewi.
 
Haya matatizo ya kujadiliana na watu ambao hawajui wanachokiandika.

Hiyo maana ya kiumbe uliyoiweka ni kwa mujibu wa nini ? Inaonekana hata unacho kinukuu hukielewi.
Nimekuwekea hadi picha umeshindwa kujiongeza?

Hujajibu swali nililokuuliza

Hakuna kiumbe kisicho hai hiyo ni kwa mujibu wa allah na kuran?

Napia neno "hai" wewe unalielewa vipi??
 
Nimekuwekea hadi picha umeshindwa kujiongeza?
Huu utoto mwingine,hii ni elimu,ujiongeze vipi wakati kila kitu kipo wazi ?

Nimekuuliza umeisoma maana uliyoiweka na ukaielewa unasema mambo ya kujiongeza ? Kwa lipi ?
Hakuna kiumbe kisicho hai hiyo ni kwa mujibu wa allah na kuran?
Maswali mkiulizwa hamjibu,mnapenda muulize kisha mjibiwe. Naokoa muda,najibu swali lako kisha ujibu maswali yangu niliyo kuuliza.

Hakuna kiumbe kisicho hai kwa mujibu wa :
1. Uhalisia
2. Misingi ya lugha
3. Qur'aan

Embu jiongeze wewe nikuone katika ile maana ya Kiumbe uliyoiweka na unionyeshe kisicho kuwa na uhai nacho hitwa kiumbe ?

Usiulize swali kabla hujajibu maswali niliyokuuliza.
 
Hilo sio jibu linalosaidia mitizamo ya hao wafuasi wa kitu kisichokuepo
Nikupe pole kwa kutokua muelewa
 
Huu utoto mwingine,hii ni elimu,ujiongeze vipi wakati kila kitu kipo wazi ?

Nimekuuliza umeisoma maana uliyoiweka na ukaielewa unasema mambo ya kujiongeza ? Kwa lipi ?

Maswali mkiulizwa hamjibu,mnapenda muulize kisha mjibiwe. Naokoa muda,najibu swali lako kisha ujibu maswali yangu niliyo kuuliza.

Hakuna kiumbe kisicho hai kwa mujibu wa :
1. Uhalisia
2. Misingi ya lugha
3. Qur'aan

Embu jiongeze wewe nikuone katika ile maana ya Kiumbe uliyoiweka na unionyeshe kisicho kuwa na uhai nacho hitwa kiumbe ?

Usiulize swali kabla hujajibu maswali niliyokuuliza.

Huu utoto mwingine,hii ni elimu,ujiongeze vipi wakati kila kitu kipo wazi ?

Nimekuuliza umeisoma maana uliyoiweka na ukaielewa unasema mambo ya kujiongeza ? Kwa lipi ?

Maswali mkiulizwa hamjibu,mnapenda muulize kisha mjibiwe. Naokoa muda,najibu swali lako kisha ujibu maswali yangu niliyo kuuliza.

Hakuna kiumbe kisicho hai kwa mujibu wa :
1. Uhalisia
2. Misingi ya lugha
3. Qur'aan

Embu jiongeze wewe nikuone katika ile maana ya Kiumbe uliyoiweka na unionyeshe kisicho kuwa na uhai nacho hitwa kiumbe ?

Usiulize swali kabla hujajibu maswali niliyokuuliza.

Kwanini nisiulize swali wakati majibu yako hayajitoshelezi?? Hujaeleza nini maana ya neno "hai"

Hujafafanua unawezaje kujua hiki ni kiumbe katika uhalisia

Hujaeleza Misingi ya lugha gani inasema hakuna kiumbe kisicho hai???
 
Kwanini nisiulize swali wakati majibu yako hayajitoshelezi?? Hujaeleza nini maana ya neno "hai"

Hujafafanua unawezaje kujua hiki ni kiumbe katika uhalisia

Hujaeleza Misingi ya lugha gani inasema hakuna kiumbe kisicho hai???
Haya maswali ya ziada,ila swali lako halikutaka maelezo.


Maelezo haya nitakupa,ila mpaka ujibu maswali yangu.

Twende kazi.
 
Haya maswali ya ziada,ila swali lako halikutaka maelezo.


Maelezo haya nitakupa,ila mpaka ujibu maswali yangu.

Twende kazi.
Ulitakiwa utoe majibu yaliyo clear kiasi cha kutoacha uwezekano wa swali kuulizika. Kwanini hukufanya hivyo?

Hujaeleza nini maana ya neno "hai"

Hujafafanua unawezaje kujua hiki ni kiumbe katika uhalisia

Hujaeleza Misingi ya lugha gani inasema hakuna kiumbe kisicho hai???

Ukishindwa mara ya kwanza basi yapili fanya makusudi, kujifanya unajua kila kitu sio mchongo kujifunza hauna budi
 
Hivi Mungu anaogopa nini mpaka ajifiche?

Anyway hili jukwaa naomba libadilishwe jina badala ya intelligence liwe la WAPINGA MUNGU. Maana maada za hivyo zimezidi.
 
Ulitakiwa utoe majibu yaliyo clear kiasi cha kutoacha uwezekano wa swali kuulizika. Kwanini hukufanya hivyo?

Hujaeleza nini maana ya neno "hai"

Hujafafanua unawezaje kujua hiki ni kiumbe katika uhalisia

Hujaeleza Misingi ya lugha gani inasema hakuna kiumbe kisicho hai???

Ukishindwa mara ya kwanza basi yapili fanya makusudi, kujifanya unajua kila kitu sio mchongo kujifunza hauna budi
Twende sawa haya ni maswali mengine baada ya kujibiwa maswali yako.

Ufafanuzi unafsta,ila kwa sharti ujibu maswali yangu ya nyuma niliyo kuuliza. Sababu nakujua wewe huwa ni muoga na unakimbia maswali,naomba ujibu maswali niliyokuuliza kisha nakuja kukupa ufafanuzi.

Nasubiri majibu.
 
Twende sawa haya ni maswali mengine baada ya kujibiwa maswali yako.

Ufafanuzi unafsta,ila kwa sharti ujibu maswali yangu ya nyuma niliyo kuuliza. Sababu nakujua wewe huwa ni muoga na unakimbia maswali,naomba ujibu maswali niliyokuuliza kisha nakuja kukupa ufafanuzi.

Nasubiri majibu.
Hujaeleza nini maana ya neno "hai"

Hujafafanua unawezaje kujua hiki ni kiumbe katika uhalisia

Hujaeleza Misingi ya lugha gani inasema hakuna kiumbe kisicho hai???

Ukishindwa mara ya kwanza basi yapili fanya makusudi, kujifanya unajua kila kitu sio mchongo kujifunza hauna budi
 
Transformation ya wewe kutoka kwenye Shahawa hadi kuwa binadamu hii ni dalili tosha.

Quran 75:37
"Je hukuwa ni tone la manii(Shahawa) lililoshushwa?"

Tone la shahawa linakuwa pande la damu iliyoganda.

Damu iliyoganda inakuwa pande la nyama lenye umbo na lisolokuwa na umbo.

Hilo pande la nyama linawekwa kwenye tumbo la kizazi mpaka muda uliowekwa kuzaliwa mtoto.

Kisha unazaliwa na kukomaaa.

NB:
Kuna mengi sana hutokea katoka transfomation hii ambayo laiti mwanasayansi angeweza kufanya kasi ingekuwa identical. Lakini kwa uwezo wake muumba kila mwanadamu anakuwa na mitihani tofauti kwenye transition hii.
Swali na Hoja!

Thibitisha uwepo wa Mungu.
 
kama Mungu yupo, kwa nini kuna watu wanateseka na maradhi mahospitalini? hao walimkosea nini Mungu?

Hiyo ndio raha ya maisha, em fikiria kwamba kama maisha yangekuwepo bila harakati na mikakati yaani shida na raha yaani ungeamka asubuhi unachuma chakula na kula kisha unarudi kulala, wala usingetafuta pesa kwa ajili ya kwenda hospitalini
Je! Maisha kama hayo yangekuwa ya duniani?!!! Na Mungu asingewaahidi wanadamu kuwa wanaomsikiza na kumtii watakuja kuingia katika ufalme wake.
 
Back
Top Bottom