Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

At least saizi umejaribu kujibu

Kwaiyo leo ukiamua kuenda au kutoenda kanisani au msikitini hujabadili chochote alichokiona mungu kwasababu hakuna kipya kitachofanyika ambacho yeye hakukijua kabla kwasababu hauna uhuru wa kubadili chochote kiwe unavyotaka mpaka upangiwe na mungu siyo??
leo ukiamua kuenda au kutoenda kanisani au msikitini hujabadili chochote alichokiona mungu kwasababu hakuna kipya kitachofanyika ambacho yeye hakukijua kabla kwasababu ya uhuru alokupa ufanye utakavyo mana hakupangii ufanyee jema au baya.
 
Kujua sio kupanga. Mfano, unaweza kumuona mtoto ukasema "huyo atazima tv saivi" Akiizima TV manake wewe umepanga?
Utakua hujapanga kwasababu huna ujuzi wote na uwezo wote wa kupanga vitu vitakavyotokea 100%. Pengine hilo tukio la mtoto kuzima tv ulianza kubashiri baada ya kumuona mtoto ameshika remote au anaisogelea Tv, lakini mungu alikwisha jua tukio hilo litatokea hata kabla wewe hujazaliwa na ndio maana wewe na huyo mtoto hamkuweza kuliepuka kwasababu lilishapangwa kua litatokea

Haya nijibu namimi swali langu
 
Mwanzo ulianza kulalama kua atheist wanakimbia maswali, nilipokuuliza swali ukakimbia kulijibu kwa kusema unajibu kwa mtindo wa kuuliza swali

Sasa namimi nikikwambia nimekujibu kwa mtindo wa swali utakubali?
Naama theist mnakimbia maswali, kazi yenu kuruka ruka tu. kama umejibu kupitia swali, basi jibu la swali lako ni hili:

Ndio naweza kumuadhibu mtoto ikiwa nimemuekea mazingira makusudi ya kutenda kosa. Mfano, naweza kueka mazingira kuona kama je mtoto wangu wa kike atafanya zinaa au la baada ya tayari nishamwambia kuwa ukifanya zinaa nitakuchapa. Akifanya basi nitamchapa. Kwenye uislam hio tunaita MITIHANI, unajipima je unaweza?

Sasa na wewe utanijibu au ndio utaruka kwenda kwengine?
 
Mshahara wa dhambi ni mauti ni mtoto mdogo kazaliwa na kufa kapata mshahara wake kwa dhambi ipi aliyoifanya....?
Hivi pale edeni simba nae alikula tunda maana naye anakufa wakati aliykula tunda na mwanadam
Aaah kwanza inachosha vingine ni uchwara tu
Mungu hakunaga kitu kama hicho popote pale
Stupid comment i never read before.
 
Utakua hujapanga kwasababu huna ujuzi wote na uwezo wote wa kupanga vitu vitakavyotokea 100%. Pengine hilo tukio la mtoto kuzima tv ulianza kubashiri baada ya kumuona mtoto ameshika remote au anaisogelea Tv, lakini mungu alikwisha jua tukio hilo litatokea hata kabla wewe hujazaliwa na ndio maana wewe na huyo mtoto hamkuweza kuliepuka kwasababu lilishapangwa kua litatokea

Haya nijibu namimi swali langu
Lengo la kukuuliza ilo swali, nataka ujue tofauti ya kupanga na kujua. Mungu mjuzi wa yote anajua kama wewe utasali au la kabla ya kukuumba, kwa sababu yeye ndio mmiliki wa ulimwengu na anawajua viumbe wake. Elimu yake haina mfano.
 
leo ukiamua kuenda au kutoenda kanisani au msikitini hujabadili chochote alichokiona mungu kwasababu hakuna kipya kitachofanyika ambacho yeye hakukijua kabla kwasababu ya uhuru alokupa ufanye utakavyo mana hakupangii ufanyee jema au baya.
Uhuru unakujaje kwenye vitu ambavyo haviepukiki?
 
Naama theist mnakimbia maswali, kazi yenu kuruka ruka tu. kama umejibu kupitia swali, basi jibu la swali lako ni hili:

Ndio naweza kumuadhibu mtoto ikiwa nimemuekea mazingira makusudi ya kutenda kosa. Mfano, naweza kueka mazingira kuona kama je mtoto wangu wa kike atafanya zinaa au la baada ya tayari nishamwambia kuwa ukifanya zinaa nitakuchapa. Akifanya basi nitamchapa. Kwenye uislam hio tunaita MITIHANI, unajipima je unaweza?

Sasa na wewe utanijibu au ndio utaruka kwenda kwengine?

Naama theist mnakimbia maswali, kazi yenu kuruka ruka tu. kama umejibu kupitia swali, basi jibu la swali lako ni hili:

Ndio naweza kumuadhibu mtoto ikiwa nimemuekea mazingira makusudi ya kutenda kosa. Mfano, naweza kueka mazingira kuona kama je mtoto wangu wa kike atafanya zinaa au la baada ya tayari nishamwambia kuwa ukifanya zinaa nitakuchapa. Akifanya basi nitamchapa. Kwenye uislam hio tunaita MITIHANI, unajipima je unaweza?

Sasa na wewe utanijibu au ndio utaruka kwenda kwengine?

Utamuadhibu kwa kosa ulilopandikiza wewe kwa fitna zako ili alifanye??

Kama kosa likifanyika lazima ashurutishwe aliuefanya hilo kosa basi hata wewe kwa kufanya kosa la kutengeneza kosa kwa makusudi huku ujijua wazi kua ni kosa na target victim hawezi kuepuka basi ni lazima ushurutishwe vile vile, kwasababu pasipo kufanya hilo kosa huyo binti asingefanya kosa

Sasa hapo kati ya wewe na mtoto nani kafanya kosa?

Itakuingia akilini mtoto wako wa darasa la pili kuadhibiwa na mwalimu kwa kosa la kufeli mtihani wa mathematics form six kwa kigezo kwamba alipewa ili kupima uelewa wake wakati alikwishajua kua hatafaulu mtihani ule???
 
Utamuadhibu kwa kosa ulilopandikiza wewe kwa fitna zako ili alifanye??

Kama kosa likifanyika lazima ashurutishwe aliuefanya hilo kosa basi hata wewe kwa kufanya kosa la kutengeneza kosa kwa makusudi huku ujijua wazi kua ni kosa na target victim hawezi kuepuka basi ni lazima ushurutishwe vile vile, kwasababu pasipo kufanya hilo kosa huyo binti asingefanya kosa

Sasa hapo kati ya wewe na mtoto nani kafanya kosa?

Itakuingia akilini mtoto wako wa darasa la pili kuadhibiwa na mwalimu kwa kosa la kufeli mtihani wa mathematics form six kwa kigezo kwamba alipewa ili kupima uelewa wake wakati alikwishajua kua hatafaulu mtihani ule???
Haingii akilini mtoto wa darasa la pili kuadhibiwa kwa kosa la kufeli mathematics form six. Vile vile Mungu wetu hampi mtu adhabu ikiwa jambo fulani hakulijua ama hakuupata ujumbe. Lakini tambua kuwa, mfano ulioutoa hauendani na jibu nlilokupa.

Ona nlichokwambia;
Mfano, naweza kueka mazingira kuona kama je mtoto wangu wa kike atafanya zinaa au la baada ya tayari nishamwambia kuwa ukifanya zinaa nitakuchapa . Sasa kupitia mfano wako, mtoto huyo ulimsomesha izo hesabu za form six? hata umuadhibu?

Allah anasema katika surat Israa aya ya 15;

"Anaye ongoka basi anaongoka kwa ajili ya nafsi yake. Na anaye potea basi anapotea kwa khasara yake mwenyewe. Wala habebi mbebaji mzigo wa mwengine. Wala Sisi hatuadhibu mpaka tumpeleke Mtume."
 
Vile vile uhuru unakuja ikiwa mungu hajui nacho taka kuchagua
Freedom "the power or right to act, speak, or think as one wants. " Na Allah ametupa huo uhuru.

Kitendo cha mtu kujua nini utafanya hakiondoi uhuru wako.
 
Freedom "the power or right to act, speak, or think as one wants. " Na Allah ametupa huo uhuru.

Kitendo cha mtu kujua nini utafanya hakiondoi uhuru wako.

Kitendo cha mungu kujua nini nitafanya na kwakujua huko kukawa hakuwezi kubadilishika kwenda tofauti basi hapo hakuna uhuru
 
Kitendo cha mungu kujua nini nitafanya na kwakujua huko kukawa hakuwezi kubadilishika kwenda tofauti basi hapo hakuna uhuru

Nimekuletea maana ya uhuru/freedom.

Kitendo cha Mungu kujua nini utafanya hakuondoshi uhuru wako. Kwani unamaamuzi yako kuchagua kufanya wema au uovu, hakuna anaekulazimisha. Suala la yeye kujua wapi utaishia halihusiani na uhuru. Ingelikuwa anakuzuia usifanye jema ungelisema huna uhuru.

Kwani Mungu amekulazimisha ukatae uwepo wake? si umeamua tu mwenyewe kutokubaliana nae?
 
Haingii akilini mtoto wa darasa la pili kuadhibiwa kwa kosa la kufeli mathematics form six. Vile vile Mungu wetu hampi mtu adhabu ikiwa jambo fulani hakulijua ama hakuupata ujumbe. Lakini tambua kuwa, mfano ulioutoa hauendani na jibu nlilokupa.

Ishu sio kuupata ujumbe, hapo huna tofauti na huyo mwalimu aliyemuadhibu mtoto maana hata yeye atajitetea kua alitoa ujumbe siku tatu kabla ya mtihani ili kumpa mda huyo mtoto aweze kusoma vizuri past papers aweze kujibu vyema mtihani wake je utamuelewa??

Ona nlichokwambia;
Mfano, naweza kueka mazingira kuona kama je mtoto wangu wa kike atafanya zinaa au la

mpaka hapa mfano wako ni mfu, kwasababu hujajua kwa hakika kile kitachokwenda kutokea na ndio maana umesema atafanya zinaa au la. Hiyo inamaanisha huna uhakika unafanya betting au pata potea hivyo ikitokea jambo limeenda tofauti na ulivyotaraji kumuadhibu kwako mtoto utakua uko sahihi kwasababu ulichokitegemea kua kitakua kimeenda tofauti.

Lakini mungu yeye alijua kwa hakika na ujuzi wake ni 100% perfect kabla hata hujazaliwa alikwisha jua kua utakosea

baada ya tayari nishamwambia kuwa ukifanya zinaa nitakuchapa .Sasa kupitia mfano wako, mtoto huyo ulimsomesha izo hesabu za form six? hata umuadhibu?

kumsomesha mtu ni kitu kingine na kumsomesha mtu akajua ulichomfundisha ni ishu nyingine

Mungu kama anaadhibu watu kwasababu alishawafundisha basi sio mjuzi wa yote kwasababu hakujua kua watu wake hawakuelewa mafundisho yake, na kama ni mjuzi wa yote kwamba aliweza kujua kua watu wake hawajamuelewa kwenye mafundisho yake basi mungu sio muweza wa yote kwasababu alishindwa kufanya watu wote waelewe

Mwalimu akikwambia kua alimfundisha huyo mtoto utarizika na adhabu aliyopewa mwanao???

Allah anasema katika surat Israa aya ya 15; Anaye ongoka basi anaongoka kwa ajili ya nafsi yake. Na anaye potea basi anapotea kwa khasara yake mwenyewe. Wala habebi mbebaji mzigo wa mwengine. (184, 49, 47)]Wala Sisi hatuadhibu mpaka tumpeleke Mtume.

Haya sasa mahubiri, jenga hoja nje ya viroja
 
Back
Top Bottom